Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Kifupi tu bila kupepesa macho...Waganga na wachawi wako nchi Moja..na ikibidi wanashirikiana..mfano kama Kuna kizimba mganga anakihitaji na kinapatikana kwa wachawi anaenda kunegotiate nao na kuuziwa....na kama wachawi wamemtungua mtu wao na mganga ameletewa huyo mgonjwa ,wanampa rushwa awaachie mgonjwa wao wajipigie😂😂😂....(hapa pesa Ina matter everywhere)....Na ikiwa mganga kawazidi nguvu na Ili kulinda integrity yake anawafulumua na cha kumfanya hawana...ikiwa ana nguvu ndogo anaona Bora apokee pesa kuliko kukosa vyote na kukumbana na balaa la wachawi😂😂
 
Hivi kuna tofauti kati ya mganga wa tiba za asili na mganga wa kienyeji?
Yeah ipo tofauti. Mganga maana yake ni tabibu, Doctor. Hao matabibu wanatoa tiba kwa mtindo tofauti tofauti.

1.Wale waliosomea, MD na wanatumia vifaa na njia zinazo kubalika na mifumo, ktk mitaala mbalimbali.. Kumbuka Tiba inayotolewa humu yaweza kuwa ni Extractions au mavuno ya vitu vya asili viliwekwa ktk dosage na mtindo mbalimbali ya kitaalamu, chemikali za kutengenez, mionzi n.k

2. Kuna wale wa asili, tiba mbadala. Hawa sasa wengi wanatumia elimu walizo jifunza kutoka ktk tamaduni, kuwa miziz flan au gome fulani au njia fulani inaweza kutibu kitu fulani. Hao ukifatilia dawa zao na ukizichek pia sayansi inaweza thibitisha. Wanaweza kukutaka ukapimwe kisha uende kwao ukiwa na hakika na ugonjwa gani. Tiba zao sio za kiimani,ingawa kuna wengine wanaongozw na imani,lakin ukifatilia dawa zao unawez pata Uthibitisho wa kisayansi..

3. Kuna kundi hili la mwisho, ambalo tiba zina ambatana na imani, vipimo vya ugonjwa ni ramli, tunguri. Tiba zao ni imani, huamini sana ktk chanzo cha magonjwa kuwa ni nguvu za giza . Humu pia wanachangany na mifumo ya tiba ya number mbili. Ila vyanzo vya kujua shida, ugonjwa hadi tiba yatokana Mapepo ya utambuzi.

Unaumwa kichwa, unachanjwa Chale,unapakwa dawa au unafukizwa wanasema umepona . Na unaondoka umepona kulingana imani yako , lakin ndio kuna kukamatwa nafsi yako.
 
Yeah ipo tofauti. Mganga maana yake ni tabibu, Doctor. Hao matabibu wanatoa tiba kwa mtindo tofauti tofauti.

1.Wale waliosomea, MD na wanatumia vifaa na njia zinazo kubalika na mifumo, ktk mitaala mbalimbali.. Kumbuka Tiba inayotolewa humu yaweza kuwa ni Extractions au mavuno ya vitu vya asili viliwekwa ktk dosage na mtindo mbalimbali ya kitaalamu, chemikali za kutengenez, mionzi n.k

2. Kuna wale wa asili, tiba mbadala. Hawa sasa wengi wanatumia elimu walizo jifunza kutoka ktk tamaduni, kuwa miziz flan au gome fulani au njia fulani inaweza kutibu kitu fulani. Hao ukifatilia dawa zao na ukizichek pia sayansi inaweza thibitisha. Wanaweza kukutaka ukapimwe kisha uende kwao ukiwa na hakika na ugonjwa gani. Tiba zao sio za kiimani,ingawa kuna wengine wanaongozw na imani,lakin ukifatilia dawa zao unawez pata Uthibitisho wa kisayansi..

3. Kuna kundi hili la mwisho, ambalo tiba zina ambatana na imani, vipimo vya ugonjwa ni ramli, tunguri. Tiba zao ni imani, huamini sana ktk chanzo cha magonjwa kuwa ni nguvu za giza . Humu pia wanachangany na mifumo ya tiba ya number mbili. Ila vyanzo vya kujua shida, ugonjwa hadi tiba yatokana Mapepo ya utambuzi.

Unaumwa kichwa, unachanjwa Chale,unapakwa dawa au unafukizwa wanasema umepona . Na unaondoka umepona kulingana imani yako , lakin ndio kuna kukamatwa nafsi yako.
Ungesema pia kuna magonjwa ya kibaolojia na magonjwa ya kichawi.
 
wakuu hebu tusaidiane.
waganga na wachawi ni wakala/agents wa ibilisi/shetani
kwanini wanapingana
mchawi anakuroga ufe, mganga anakutibu usife
cc rakims
ccmshanajr
walker water
Waganga wa jadi;
Ni wachawi walioamua kujificha kwenye kivuli cha wema.

  1. Lakini ikiwa unaongelea tabibu huyo ni mtu mwingine.
  2. Vile vile Walii (Saint) ni mtu mwingine.
  3. Vile vile Mtumishi ni mtu mwingine.
  4. Mwenye maarifa ni mtu mwingine.
  5. Mnajimu ni mtu mwingine.
Kitanzania wote hawa wanaonekana ni waganga tu. Kama vile mitume walivyokuwa wakionekana wachawi tu kwa wayahudi.
Sasa kwa kuwa mwafrika aliletewa yote kwa pamoja ili apumbazwe asijue mbivu na mbichi ndio wakaamua kujigawa na kutofautisha mganga na mchawi.
Elimu ya kuwachambua hivyo nilivyokuchambulia ukiikuta kwa mwafrika basi ni asilimia 10% kwa kigezo cha kusema dini zimetaja uchawi.

Ukiniuliza tofauti ya Mganga na mchawi nitakwambia mganga ni mchawi aliyeamua kujificha kwenye kivuli cha kusaidia watu.
Lakini mchawi ni mtu aliyeamua kujificha na kudhuru watu, yote kwa yote hukumu yao wawili hawa ni wachawi yaani mchawi mwenye huruma na mchawi mwenye roho mbaya hapo baada ya wao kuna hiyo list nimekupa hapo ambayo hata hiyo list wanadondokea sehemu 1 kati ya 2. Either wameshukuru, au wamekufuru.

Mungu kaumba kila kitu kwa namna mbili kama unaamini uwepo wa Mungu. Lakini kama huamini basi zingatia kuwa hicho hicho unachokiamini basi vitu vyote viko pair.

Asante,

Rakims S.
 
Back
Top Bottom