Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Naamua kutokukujubu Ili niwafahamishe wasio na ufahamu kuliko kukujibu unayenijaribu.
Hakuna ulazima wa kutaka kila mtu afate mawazo yako eti kisa una Roho Mtakatifu.
Kwani huyo Roho Mtakatifu unae peke yako? Kisa umeokoka?

Ukitumia akili utajua mantiki ya maswali yangu kwako, nilitaka nikuonyeshe kuwa umekosea kugeneralize kuwa walokole wanaheshimika sana katika ulimwengu wa Roho.
Ulipaswa kusema Walokole wenye kufata misingi ya kristo na wana macho ya Rohoni.

Umeona katika Matendo 8:18-20 Filipo ni mchungaji, ametumiwa na Mungu kufanya miujiza mpaka mchawi Simioni akavutiwa na kuamua kuokoka. Lakini hakuwa na macho ya rohoni kuona roho ovu aliyokuwa nayo Simioni. Ndio maana akashikiriana nae katika hudumuma na Mungu hakuacha kumtumia Filipo kwa vile hana macho ya Rohoni.

Petro kama mtu alieokolewa na kupewa macho ya kiroho aliweza kuona nia ovu na roho chafu ndanu ya Simioni.

SIO KILA MLOKOLE ANAEHESHIMIKA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO, BALI MLOKOLE MWENYE KUFATA MISINGI YA KRISTO NA MWENYE MACHO YA ROHONI.

Usilazimishe kila mtu akubali mawazo yako. Acha kiburi cha uzima
 
Nitishamba si uchawi.

Usiweke mambo ya mitishamba kama mfano kwenye habari ya uchawi.

Mitishamba ina chemical compositions ambazo zinaweza kuchunguzwa na kuthibitishwakisayansi.

Uchawi unathibitishwaje? Unapimwa kwa kipimo gani?
Nimesema kwamba kuna magonjwa yanajulikana hayana dawa ila kwenye mitishamba hayo magonjwa hutibika, kinachofanya iendelee kusemwa hakuna dawa za hayo magonjwa ni kutokuwepo uthibitisho wa kisayansi kwa hiyo mitishamba kutibu hayo magonjwa ndio maana inabaki kutambulika hakuna dawa za hayo magonjwa.

Kwahiyo unakuta dawa zipo (mitishamba) ila hakuna uthibitisho wa kisayansi.
 
Nimesema kwamba kuna magonjwa yanajulikana hayana dawa ila kwenye mitishamba hayo magonjwa hutibika, kinachofanya iendelee kusemwa hakuna dawa za hayo magonjwa ni kutokuwepo uthibitisho wa kisayansi kwa hiyo mitishamba kutibu hayo magonjwa ndio maana inabaki kutambulika hakuna dawa za hayo magonjwa.

Kwahiyo unakuta dawa zipo (mitishamba) ila hakuna uthibitisho wa kisayansi.
Mitishamba kukosa uthibitisho wa kisayansi inawezekana ni kwa sababu hatujajua tu kufanya test nzuri ya chemical za mitishamba hiyo.

Lakini hapo kimsingi mitishamba kutibu ugonjwa kinaweza kuwa explained na chemistry na biology.

Uchawi unaelezewa na nini? Unapimwaje?
 
Issue sio kuelewa bali kupata uhalisia wa unachokieleza.


Uhalisia UPO katika subjective na sio objective , Mimi nimezungumza kupitia maarifa niliyonayo na Experience zangu na Familia na n.k

Unapozungumzia uchawi huwezi kujikita katika objective moja kwa moja Ila unajikita katika subjective na uzoefu wako.

Na hii katika nyanja zote za spiritually zipo hivyo.

Ila nasema ikiwa MTU ataendelea kulogwa au kuogopa uchawi atakuwa anakosea Sana na yupo wrong na hajui how to play this game of mind.
 
Uhalisia UPO katika subjective na sio objective , Mimi nimezungumza kupitia maarifa niliyonayo na Experience zangu na Familia na n.k

Unapozungumzia uchawi huwezi kujikita katika objective moja kwa moja Ila unajikita katika subjective na uzoefu wako.

Na hii katika nyanja zote za spiritually zipo hivyo.

Ila nasema ikiwa MTU ataendelea kulogwa au kuogopa uchawi atakuwa anakosea Sana na yupo wrong na hajui how to play this game of mind.
Mkuu umekuja na kitu ambacho ni tofauti na maarifa na experience za watu wengine humu ndio maana nikasema hivyo.
 
Ubaya wake hao huwa hawajishughulishi kutaka kujua ukweli wao washaweka msimamo wao kisha wanaishia kudai uthibitisho basi.
yaani dunia ukitaka kujua vitu kwa upana wake, fanya majaribio
mimi nshaenda kwa waganga, wapo ambao ukiona vitu vinavyofanyika unaogopa hata kutoka nje, matapeli pia wapo
 
Back
Top Bottom