Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Hakuna tofauti sana na kwenye imani ya Kimungu... Kabla ya kujiuliza ya wachawi hebu kwanza jiulize, "kwanini Waislamu wenyewe kwa wenyewe wanapingana? (Kuna madhehebu mengi ila Shia na Sunni ndo makuu na hayo ndo kila uchwao wanatupiana maneno cha ajabu Quran ni moja wanatumia) Uje kwa wakristo napo madhehebu ni mengi sana, wanapishana kila uchwao lakini Biblia ni moja, (jiulize swali hilo, maana hakuna swali lililo kosa jibu.. ukikosa jibu labda hujui tu)

Nilikuwa namsikiliza bwana mmoja anaitwa @Dr riziki mkali malela... Huyu bwana anajishulisaha na hayo mambo ya shirki... Anasema mhanga wa kienyeji ni mchawi pia.. ila tofauti ni kwamba mchawi anatumia uchawi kudhuru watu na kufanya uharibifu na mganga anatumia uchawi kuponya watu na kuwaokoa kutoka kwenye uharibifu uliosababishwa na shirk...

By the way mimi sio mtaalamu wa mambo ya Giza ila nafahamu kiasi... Bila Shaka umeelewa
wenye madhahebu mje mtueleze why yapo mengi na je yote yako sawa au kuna ya uongo
 
Ndio ukubaki sasa kuwa uli generalize kimakosa.
Unaizunguziaje Matendo 8:18-20
Huelewi wewe, ndo 8:18-20

Huyo simoni alikuwa mganga mwenye Pepo la utambuzi na ubaguzi, akiagua watu kichawi,

Alipoona watumishi wa Mungu wanaponya watu Kwa Roho Mtakatifu alidhani wale ni Waganga waliomzidi Cheo,

Akawaomba wampe karama hiyo Kwa kununua Kwa pesa. Watumishi walimkemea na kumtimua wakimwambia, KARAMA ya uponyaji wa Mungu,hainunuliwi Kwa pesa.

Yeyote anayeomba pesa kabla Ili akuombee ni WA UONGO. Anayesema mwenye malaria atoe 20,000 nimwombee, na mwenye ukimwi atoe Mil 20, huyo ni tapeli, agent wa kuzimu.

Umeelewa?
 
Kwahiyo kumbe hawa majini,mizimu,mashetani n.k ni malaika ila na matendo yao ndio yaliyofanya walaaniwe na kuitwa hayo majini mizimu mashetani n.k?
Ni Malaika wa Giza.

Usigeneralize Malaika. Malaika wa Giza kamwe haezi kutubu na kurudi kuwa wa Nuru, sababu wao hawakupewa nafasi ya kutubu,

Shetani angetubu, ingekuwapo nafasi hiyo, ndiyo maana anawaonea WIVU na hasira WANADAMU.
 
Huelewi wewe, ndo 8:18-20

Huyo simoni alikuwa mganga mwenye Pepo la utambuzi na ubaguzi, akiagua watu kichawi,

Alipoona watumishi wa Mungu wanaponya watu Kwa Roho Mtakatifu alidhani wale ni Waganga waliomzidi Cheo,

Akawaomba wampe karama hiyo Kwa kununua Kwa pesa. Watumishi walimkemea na kumtimua wakimwambia, KARAMA ya uponyaji wa Mungu,hainunuliwi Kwa pesa.

Yeyote anayeomba pesa kabla Ili akuombee ni WA UONGO. Anayesema mwenye malaria atoe 20,000 nimwombee, na mwenye ukimwi atoe Mil 20, huyo ni tapeli, agent wa kuzimu.

Umeelewa?

Sawa labda kweli sielewi.

Je unakubaliana na mimi kuwa Simioni wakati anataka kununua hiyo karama tayari alikuwa ameokoka, amebatizwa, ilibaki tu kupokea Roho Mtakatifu?

Utajua kama alikuwa anahudumu kanisani pamoja na mchungaji Filipo baada ya kuokoka?

Hakukemewa na watumishi, alikemewa na mtumishi mmoja tu (Petro) maana mchungaji Filipo alikuwa anamuona Simioni kama mtumishi wa Mungu maana ameacha uchawi na kuokoka. Lakini Kumbuka huyo huyo Filipo alikuwa anatumiwa na Mungu kwa kiwango kikubwa kufanya miujiza ndio maana Simioni akakubali kuokoka.

Kwa nini mchungaji Filipo (alikuwa ameokoka) hakuiona roho ovu iliyokuwa ndani ya simioni mpaka Petro alipokuja ndipo akaiona?
 
Mwalimu Mwakasege, Mchungaji Amiel Katekela, Jackob Steven wa Huduma ya Kristo, Mwalimu Tengwa wa Tengwa Tv, Boniface Victor wa UNYAKUO TV, Mchungaji Mbarikiwa nk nk

Mungu akusaidie kuwatambua maana ni wengi, hata ulipo wapo, maana pia watu hubadilika, anaweza kuamua kubadilika na akawa wa UONGO.

Mungu atubariki.
Umetumia vigezo gani kuwataja hao?
 
Sawa labda kweli sielewi.

Je unakubaliana na mimi kuwa Simioni wakati anataka kununua hiyo karama tayari alikuwa ameokoka, amebatizwa, ilibaki tu kupokea Roho Mtakatifu?

Utajua kama alikuwa anahudumu kanisani pamoja na mchungaji Filipo baada ya kuokoka?

Hakukemewa na watumishi, alikemewa na mtumishi mmoja tu (Petro) maana mchungaji Simioni alikuwa anamuona kama mtumishi wa Mungu maana ameacha uchawi na kuokoka. Lakini Kumbuka huyo huyo Filipo alikuwa anatumiwa na Mungu kwa kiwango kikubwa kufanya miujiza ndio maana Simioni akakubali kuokoka.

Kwa nini mchungaji Filipo (alikuwa ameokoka) hakuiona roho ovu iliyokuwa ndani ya simioni mpaka Petro alipokuja ndipo akaiona?
Simon hakuwa ameokoka, na hakuwahi kuokoka,

Huwezi kuwa mchawi na mtumishi wa Mungu at one,

Ndomana Yesu alisema, huwezi kuwatumikia mabwana wawili,

Ikiwa Kuna Mchungaji Kanisani na ni mchawi, jua uchungaji anazugia tu,

Nuru na Giza havichangamani.

Umeelewa?
 
Kigezo ni ROHO mtakatifu, huwathibitisha.

Ukiwasikiliza, ikiwa unaye Roho mtakatifu, atathibitisha, pia wanapimwa Kwa NENO la Mungu, ikiwa ni WA Mungu, hatoendan kinyume na maelekezo ya BIBLIA.
Usipende sana kudhani kila anaeku challenge hajui. Tunatafuta kuelimisha na kukosoana tulipoelewa tofauti. Maana Roho Mtakatifu hutoa tafsiri ya neno kulingana na wakati husika ili liwe suluhisho sio historia.

Kwa vigezo hivyo hivyo ulivyotumia kuwataja hao, naomba unitajie ukiokwisha wagundua kuwa sio wa kweli.
 
Usipende sana kudhani kila anaeku challenge hajui. Tunatafuta kuelimisha na kukosoana tulipoelewa tofauti. Maana Roho Mtakatifu hutoa tafsiri ya neno kulingana na wakati husika ili liwe suluhisho sio historia.

Kwa vigezo hivyo hivyo ulivyotumia kuwataja hao, naomba unitajie ukiokwisha wagundua kuwa sio wa kweli.
Naamua kutokukujubu Ili niwafahamishe wasio na ufahamu kuliko kukujibu unayenijaribu.
 
Uchawi unaishia dimension 03
Sasa ukiona unalogwa ujue tatizo kubwa lipo kwako wewe unayelogwa.

Maana ili ulogwe lazima lango lako liwe wazi.

Kuna innocence na guilty ukiwa innocence- (Mnyongofu) haumdhuru MTU wala kumuazia MTU mabaya ukiishi hivyo hata Kama hauendi msikitini au kanisani huwezi kulogwa.

Ili ulogwe lazima ulogeke , na njia rahisi ya kulogeka ni kuwa guilty kinyume cha innocence ni guilty.

Ukiona MTU anasema uchawi Una nguvu au amelogwa basi ujue yeye ndo Ana matatizo ameruhsu Giza ndani yake.


Unaweza kuona hii michezo yao wachawi huwa wanafanyiana wao kwa wao na sio watu wengine.


Wanawake huwa wanapitia hizi changamoto za kulogana kwa sababu hawapo innocence.

Dimension zipo nadhani hadi 7+ na uchawi huishia dimension 3 tu sasa ili ulogwe unakuwa umekubali mwenyewe kulogeka.

Ndo wajanja huwa wakiiba wanatubu na kujaribu kutakatisha walichokiiba hii yote hufanya ili kupandisha dimension ili wasiwe guilty na wakitubu huwezi kupiga ramli (dogma) ukawapata.


So uchawi MTU anayesema Una nguvu ni muhongo uchawi umekuzwa na mashekh na wachungaji bila sababu za msingi.
Unaweza ukatoa mifano ya uhalisia kwenye hayo uliyoeleza?
 
Back
Top Bottom