Ni Kweli,Kwa stairi hiyo basi hao manabii wa kweli ni wachache mno maana siku hizi watu wanataka huduma ya miujiza na ndio maana makanisa yamekuwa mengi kuliko villinge vya waganga kwa ajiri ya kutoa huduma ya miujiza.
Watumishi wa Mungu wa Kweli ni Wachache kuliko matapeli,
Ni sawa tu na njia ya Mbinguni, ni nyembamba sana, lakini ya kwenda kuzimu ni Pana, na wengi wanaingia humo,
Mfano mdogo, dini kubwa mbili uzijuazo, ni Mali ya Popee, anahakikisha wote wale waliomo anawapeleka chini, lakini Kwa nje wanaamini wanaenda Mbinguni.
Wengine amewambia ukimchinja kafiri utaona Pepo, wengine anawambia kunywa kidogo usilewe, na sasa amewambia mashoga wanafaa kubarikiwa,
Ndo ujue njia ya Mbinguni ni nyembamba sana.
Ubarikiwe.