Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Kwa Mungu wapi kwa sababu tunasikia tuhuma za baadhi ya manabii hutumia nguvu za giza kama source ya nguvu zao katika kutenda miujiza.
Hao wanaotumia nguvu za Giza madhabahuni ni agents wa kuzimu,

Ni sawa tu na mganga avue kaniki, avae sauti na kufungua Kanisa.

Mungu ameruhusu hayo maana yapo na yalishataniriwa katika maandiko.

Lakini, Manabii wa Kweli wapo, hawauzi miujiza, wamepewa karama Bure, wanatoa bure.

Ukienda Kwa nabii, anayetoza fee kumuona ni WA UONGO, ikiwa ana kashfa za kuzini na waumini, ni WA UONGO huyo. Nk nk

Mungu akusaidie kuwatofautosha.
 
Yale yale kwa maana ipi ya asili yao au tabia zao?
Asili zao ni kuzimu,

Katika ukoo, ukiambiwa Mizimu ya ukoo inataka hili au lile Ili mfanikiwe katika jambo Fulani, jua ni shetani huyo.

Kwa nje ni kama anawapa ulinzi, lakini anataka aabudiwe, na ndiyo chanzo Cha matatizo, mf magonjwa ya kurithi, vifo vya kijirudia tarehe mwezi, kutolewa, nk nk
 
Mganga wa kweli ana lengo la kuondoa matatizo, mchawi anayaweka, tatizo waganga wengi sikuhizi wameingia tamaa wamegeuza matatizo yawe fursa
Fursa ipo popote tu mkuu ndio maana siku hizi hata nyumba za ibada zimejaa kuliko waganga, kikubwa ni huduma ya miujiza maana ndio habari ya mjini kwa sasa.
 
Amini upendqlavyo, lakini amini kuwa shetani ni mtu mwemyewe mwenye sifa hiyo. Hakuna kiumbe cha tofauti.
Ni sawa na kisu unaweza kukitumia kukatia matunda lakini hicho hicho kisu unaweza kukitumia kutoa uhai wa mtu.

Kila mwananadamu anaside mbili ana bad side(evil side) and good side (light side), inategemea yeye ame-base upande upi zaidi.

So, kinacho-matter hapa ni matumizi, unatumiaje kile ulichopewa.​
 
wakuu hebu tusaidiane.
waganga na wachawi ni wakala/agents wa ibilisi/shetani
kwanini wanapingana
mchawi anakuroga ufe, mganga anakutibu usife
cc rakims
ccmshanajr
walker water


Kwa nini?

1. TAG na EAGT ni zao la ugomvi? Wote ni walokole wa naamini pamoja?

2. Kwa nn manabii wanapingwa na walokole wenzao?

3. Kwa nini Mungu ni mmoja ( Kwa mujibu wa walokole) ila wao na wao wanalumbana?
 
Kwamba Mungu aliumba shetani?
Mungu aliumba Malaika kama watumishi wake,

Walipoasi, wakalaaniwa na kubadilishwa title kuwa mapepo, mashetani nknk.

Mizimu, mapepo ni viumbe vilivyolaaniwa na Mungu, kamwe usikubali kudanganywa upate ulinzi wao, ni waongo.

Mungu ndiye mlinzi wa Kweli.
 
Ufalme wao pia una ranks....
Kinachofanyika ukienda anaangalia hayo makitu uliyonayo km Yana kiwango Cha chini kuliko aliyonayo yeye ,akiona hizo spirit zinazokusumbua ziko chini anayanyanazisha tu Kwa kukuwekea yenye uwezo zaidi Ili Yale uliyonayo yasikusumbue.....

Ndo maana kuna wengine ukienda anaangalia, utasikia hii siwezi nenda sehem Fulani,ujue yamemzidi kiwango 😅

Wengine sikuhizi hawafichi akichungulia akiona huu mziki mnene anakwambia katafute wale Wana maombi watakusaidia....(Nina watu washaambiwa hivyo baada ya kuhangaika ,tabora zenj huko😅)
images (1) (3).jpeg
 
wakuu hebu tusaidiane.
waganga na wachawi ni wakala/agents wa ibilisi/shetani
kwanini wanapingana
mchawi anakuroga ufe, mganga anakutibu usife
cc rakims
ccmshanajr
walker water
Mchawi anaweza kukuroga, ukaenda kwa Mganga, then Mchawi akaenda kwa Mganga ama kumuomba au kumpa Rushwa ili asikutibie, ikiwa Nguvu za Mganga ni kubwa kuliko za Mchawi...!

Source ya Nguvu zao ni Moja...! Ni kama Maigizo ya CCM.
 
Uchawi na ushirikina ni mind of game na ni eneo la ambalo halina nguvu.

Mganga
Mshirikina

Wote hawa ni watu wa kawaida Sana.
Ukielewa haya mambo utajua uchawi unavyofanya kazi.
 
Hao wanaotumia nguvu za Giza madhabahuni ni agents wa kuzimu,

Ni sawa tu na mganga avue kaniki, avae sauti na kufungua Kanisa.

Mungu ameruhusu hayo maana yapo na yalishataniriwa katika maandiko.

Lakini, Manabii wa Kweli wapo, hawauzi miujiza, wamepewa karama Bure, wanatoa bure.

Ukienda Kwa nabii, anayetoza fee kumuona ni WA UONGO, ikiwa ana kashfa za kuzini na waumini, ni WA UONGO huyo. Nk nk

Mungu akusaidie kuwatofautosha.
Kwa stairi hiyo basi hao manabii wa kweli ni wachache mno maana siku hizi watu wanataka huduma ya miujiza na ndio maana makanisa yamekuwa mengi kuliko villinge vya waganga kwa ajiri ya kutoa huduma ya miujiza.
 
Asili zao ni kuzimu,

Katika ukoo, ukiambiwa Mizimu ya ukoo inataka hili au lile Ili mfanikiwe katika jambo Fulani, jua ni shetani huyo.

Kwa nje ni kama anawapa ulinzi, lakini anataka aabudiwe, na ndiyo chanzo Cha matatizo, mf magonjwa ya kurithi, vifo vya kijirudia tarehe mwezi, kutolewa, nk nk
Nimetaka kujua asili yao mfano kuna binaadamu, wanyama, malaika sasa hao majini mashetani na vibwengo nao ni asili yao ipi?
 
Back
Top Bottom