Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Waganga wa kienyeji na wachawi ni mawakala wa shetani, kwanini wanapingana

Mathayo 12:25-26
[25]Basi Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, hufanyika ukiwa; tena mji au nyumba yo yote ikifitinika juu ya nafsi yake, haitasimama.

[26]Na Shetani akimtoa Shetani, amefitinika juu ya nafsi yake; basi ufalme wake utasimamaje?
 
yaani dunia ukitaka kujua vitu kwa upana wake, fanya majaribio
mimi nshaenda kwa waganga, wapo ambao ukiona vitu vinavyofanyika unaogopa hata kutoka nje, matapeli pia wapo
Na mimi najua iko hivyo kama hapo wewe una experience yako kuhusu waganga ila wao kwao ni tofauti, mtu hana experience yeyote na kitu anachokipinga ndio maana ni tabu kubishana na watu kama hao.
 
wakuu hebu tusaidiane.
waganga na wachawi ni wakala/agents wa ibilisi/shetani
kwanini wanapingana
mchawi anakuroga ufe, mganga anakutibu usife
cc rakims
ccmshanajr
walker water
Wanachezewa Mchezo smart bila wao kujua. Ni wachawi wa Higher rank au waganga wa higher rank ndio wanajua game nzima ya mchezo.

Ila walio wengi wanajua kuna ka uadui fulani baina yao, ni kama unavyoona Simba na Yanga, huku chini washabiki wanachukulia hayo mambo serious,lakn walio top wanaona ni mbinu ya mchezo.

Mchawi ni nani?? Mganga ni nani??
Mchawi ni mharibifu tu, mafunzo yake na mind yake imekuwa conditioned kuujenga ufalme wa giza kwa njia ya kuharibu , kufunga na kuvuruga. Haijalishi nguvu zake au maagano yake, tools zao zote zinafanya kazi hiyo. Huyu namchukulia kama RUNGU.

Upande wa Mganga huyu ni mharibifu na mtengenezaji. Yaani mchawi aliye ongezewa maarifa ya kutibu pia. Neno kutibu sio lazima limaanishe kuweka Huru. Huyu ni kama Nyundo inayo weza kugonga na kuchomoa misumari.

Hawa jamaa wana bargain, wanatengeneza madili, kwamba huyu usimponyeshe, huyu tuachie wa kwetu, tutakupa fedha etc . Sametimes waganga wenye maarifa hutumiwa na wachawi kufanya uchawi na kuroga. Huko ni ktk kucheza game yao kuwa yenye kuwachangamsha.

Ikifika ktk mambo halisi ya kuugusa utawala wao, wote wanafanya kitu kimoja. Hufanya vikao vya usiku, hupewa assignment ya kuleta matokeo fulani.
Si unao simba na yanga ikifika ktk jambo la Nchi, wanaitwa na mamlaka kuu na wanacheza pamoja tena fresh kabisa.

Unapo enda kwa mganga, huko unasajiliwa kama hospital wanavyo kusajili, isipokuwa tu waganga wanachukua Adress zako za Rohoni ,wakipewa assignment kukuhusu au wakitaka fedha ay kitu kwako wanakuchangamsha tu.

Msihadaike, hakuna mwema kati yao, wanakuhamisha tu office ya kifungo na umiliki, MUNGU ndio true healer na Savior.
 
Wanachezewa Mchezo smart bila wao kujua. Ni wachawi wa Higher rank au waganga wa higher rank ndio wanajua game nzima ya mchezo.

Ila walio wengi wanajua kuna ka uadui fulani baina yao, ni kama unavyoona Simba na Yanga, huku chini washabiki wanachukulia hayo mambo serious,lakn walio top wanaona ni mbinu ya mchezo.

Mchawi ni nani?? Mganga ni nani??
Mchawi ni mharibifu tu, mafunzo yake na mind yake imekuwa conditioned kuujenga ufalme wa giza kwa njia ya kuharibu , kufunga na kuvuruga. Haijalishi nguvu zake au maagano yake, tools zao zote zinafanya kazi hiyo. Huyu namchukulia kama RUNGU.

Upande wa Mganga huyu ni mharibifu na mtengenezaji. Yaani mchawi aliye ongezewa maarifa ya kutibu pia. Neno kutibu sio lazima limaanishe kuweka Huru. Huyu ni kama Nyundo inayo weza kugonga na kuchomoa misumari.

Hawa jamaa wana bargain, wanatengeneza madili, kwamba huyu usimponyeshe, huyu tuachie wa kwetu, tutakupa fedha etc . Sametimes waganga wenye maarifa hutumiwa na wachawi kufanya uchawi na kuroga. Huko ni ktk kucheza game yao kuwa yenye kuwachangamsha.

Ikifika ktk mambo halisi ya kuugusa utawala wao, wote wanafanya kitu kimoja. Hufanya vikao vya usiku, hupewa assignment ya kuleta matokeo fulani.
Si unao simba na yanga ikifika ktk jambo la Nchi, wanaitwa na mamlaka kuu na wanacheza pamoja tena fresh kabisa.

Unapo enda kwa mganga, huko unasajiliwa kama hospital wanavyo kusajili, isipokuwa tu waganga wanachukua Adress zako za Rohoni ,wakipewa assignment kukuhusu au wakitaka fedha ay kitu kwako wanakuchangamsha tu.

Msihadaike, hakuna mwema kati yao, wanakuhamisha tu office ya kifungo na umiliki, MUNGU ndio true healer na Savior.
mkuu umemalizia vizuri
Mungu ndio true healer and savior
ubarikiwe
 
Wanachezewa Mchezo smart bila wao kujua. Ni wachawi wa Higher rank au waganga wa higher rank ndio wanajua game nzima ya mchezo.

Ila walio wengi wanajua kuna ka uadui fulani baina yao, ni kama unavyoona Simba na Yanga, huku chini washabiki wanachukulia hayo mambo serious,lakn walio top wanaona ni mbinu ya mchezo.

Mchawi ni nani?? Mganga ni nani??
Mchawi ni mharibifu tu, mafunzo yake na mind yake imekuwa conditioned kuujenga ufalme wa giza kwa njia ya kuharibu , kufunga na kuvuruga. Haijalishi nguvu zake au maagano yake, tools zao zote zinafanya kazi hiyo. Huyu namchukulia kama RUNGU.

Upande wa Mganga huyu ni mharibifu na mtengenezaji. Yaani mchawi aliye ongezewa maarifa ya kutibu pia. Neno kutibu sio lazima limaanishe kuweka Huru. Huyu ni kama Nyundo inayo weza kugonga na kuchomoa misumari.

Hawa jamaa wana bargain, wanatengeneza madili, kwamba huyu usimponyeshe, huyu tuachie wa kwetu, tutakupa fedha etc . Sametimes waganga wenye maarifa hutumiwa na wachawi kufanya uchawi na kuroga. Huko ni ktk kucheza game yao kuwa yenye kuwachangamsha.

Ikifika ktk mambo halisi ya kuugusa utawala wao, wote wanafanya kitu kimoja. Hufanya vikao vya usiku, hupewa assignment ya kuleta matokeo fulani.
Si unao simba na yanga ikifika ktk jambo la Nchi, wanaitwa na mamlaka kuu na wanacheza pamoja tena fresh kabisa.

Unapo enda kwa mganga, huko unasajiliwa kama hospital wanavyo kusajili, isipokuwa tu waganga wanachukua Adress zako za Rohoni ,wakipewa assignment kukuhusu au wakitaka fedha ay kitu kwako wanakuchangamsha tu.

Msihadaike, hakuna mwema kati yao, wanakuhamisha tu office ya kifungo na umiliki, MUNGU ndio true healer na Savior.
mkuuu unamtibitishiaje Kiranga Kiranga kuwa Mungu yupo?
 
Ni Kweli,

Watumishi wa Mungu wa Kweli ni Wachache kuliko matapeli,

Ni sawa tu na njia ya Mbinguni, ni nyembamba sana, lakini ya kwenda kuzimu ni Pana, na wengi wanaingia humo,

Mfano mdogo, dini kubwa mbili uzijuazo, ni Mali ya Popee, anahakikisha wote wale waliomo anawapeleka chini, lakini Kwa nje wanaamini wanaenda Mbinguni.

Wengine amewambia ukimchinja kafiri utaona Pepo, wengine anawambia kunywa kidogo usilewe, na sasa amewambia mashoga wanafaa kubarikiwa,

Ndo ujue njia ya Mbinguni ni nyembamba sana.

Ubarikiwe.
na wengine akawaambia wanene kwa lugha isiyojulikana
 
Hivi kuna tofauti kati ya mganga wa tiba za asili na mganga wa kienyeji?
 
ila mkuu ipo siku na wewe mwenyewe utatuambia tuthibitishe kama upo 😆 😆 😆
Mimi si issue, ukiweza au usipoweza kuthibitisha uwapo wangu, bado hujathibitisha Mungu yupo.

Issue ni kuthibitisha Mungu yupo, si kuthibitisha mimi nipo.
 
Mganga anapokutibia hutoza fedha kama gharama ya matibabu. Je mchawi naye anaporoga huwa kuna gharama anaingia ili akuroge..??
 
Mganga anapokutibia hutoza fedha kama gharama ya matibabu. Je mchawi naye anaporoga huwa kuna gharama anaingia ili akuroge..??
lazima aingie gharama, sababu dawa zingine hupata kwa waganga na wachawi wenzio
so hawawezi kumpa bure
nadhani hutoa kafara watu wao wa karibu pia
ccmshanajr
 
Ni sawa na kisu unaweza kukitumia kukatia matunda lakini hicho hicho kisu unaweza kukitumia kutoa uhai wa mtu.

Kila mwananadamu anaside mbili ana bad side(evil side) and good side (light side), inategemea yeye ame-base upande upi zaidi.

So, kinacho-matter hapa ni matumizi, unatumiaje kile ulichopewa.
 
Back
Top Bottom