KabisaaaNaunga mkono hoja.
Na uta enjoy zaid akiwa mchepuko na sio mke.
Kwamba ceo alikua anagawa uroda ili wabaki"honey trap" ilisaidia sana wakati wa Barbra pale unyamani
K-vant hii hii ama?Huyu kaka and midomo mibaya myekundu imechanua kama mashavu ya k-vant,
simuelewagi anaonekana ana kaujinga flani ka kuishi maisha ya wapambe, sipendi mwanaume asie na msimamo
Hivi kumbe na wewe unashushaga maneno ya hivyo?. Nini kimekupanikisha?. Aziz kubaki timu ya wababe?. Mnaweza kusema yote,Hamisa sijui nani?.Naunga mkono hoja....
Kwanza yule dem ana mashavu ka anapuliza moto na pua lake lilonyenyuka ka ananusa harufu mbaya...☹️
Hahahaha changu kwa kujifarijiAnanijua sasa
Nimejifunzia kwa mamako wewe hajakufundisha kwani?Hahahaha changu kwa kujifariji
Napenda sana Mwanamke asiye Mchoyo wa Kutoa Jicho / kwenda Haja Kubwa.yes mbunye haibani, ila huenda jicho likawa linadai bado.. watoto wa mjini hao.. wapewa vyote
Acha kujitekenya wew nan kakwambia mayele akili yote ipo Yanga? Alfu kwenye hii Dunia kila kitu ni pesa mengine mbwembwe tuHivi kumbe na wewe unashushaga maneno ya hivyo?. Nini kimekupanikisha?. Aziz kubaki timu ya wababe?. Mnaweza kusema yote,Hamisa sijui nani?.
Lakini Aziz Ki ni akili kubwa anaona mbele. Hataki yamkute ya Mickson,hataki yamtokee ya Mayele. Mayele anacheza piramid lakini akili iko YANGA. Anapewa mkwanja mrefu Piramid,lakini anatamani arudi YANGA. Analipwa pesa ndefu Piramid lakini hana furaha huko,hana amani huko
KWA HIYO JUENI KWAMBA PESA SI CHOCHOTE MBELE YA AMANI YA MOYO,FURAHA YA MOYO
Acha kujichetua wewe,nani amekuambia wewe Mayele hafikirii kurudi YANGA?.Acha kujitekenya wew nan kakwambia mayele akili yote ipo Yanga? Alfu kwenye hii Dunia kila kitu ni pesa mengine mbwembwe tu
Hiyo hiyoK-vant hii hii ama?
Utasikia usiogope.. ingiza tu.. hakuna anae toa jicho alafu asiwe fundi.. nahisi jicho linawachochea kuwa mafundi zaidi..Napenda sana Mwanamke asiye Mchoyo wa Kutoa Jicho / kwenda Haja Kubwa.
Vipi kuhusu Joyce wa pale Jangwani. Sasa hivi ngoma droo. Nyie mna Joyce na Msimbazi wana Debora 😎Naona unafosi Aziz ifanane na Debora ila wapi.
Chama ndo nani?Kwanini wewe hujambetia chama?
NdiyoTimu???? Timu ya Tanzania awe na mapenzi nayo!!
Naona unahamisha goli!"honey trap" ilisaidia sana wakati wa Barbra pale unyamani
Kweli huyu boya 🤣🤣🤣🤣🤣Kweli stori ya Delila na Samson ina make sense.
Mtu amekataa mshahara wa milioni 94 za waarabu kisa mtoto wa Manzese.
Tuwaheshimu hawa viumbe jamani
🤣🤣🤣🤣 Aisee kwwli waswahili mna maneno.Huyu kaka and midomo mibaya myekundu imechanua kama mashavu ya k-vant,
simuelewagi anaonekana ana kaujinga flani ka kuishi maisha ya wapambe, sipendi mwanaume asie na msimamo
Honey trap ni njia mojawapo ya kupata kile unataka na wanaojua kuitumia inawasaidia kama ilivyokuwa kwa barbraNaona unahamisha goli!