BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
- #21
NIDA ipi inafanya kazi vizuri? Huwajui NIDA au wamekutuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya nini wakati ni haki? Haya maisha ya kuwafuatilia hadi lini? na kwa nini tuwafuatilie?Daaah! inasikitisha.Jaribu kutenga muda,ufuatilie hadi waone umekua kero,wakupe.Ni suala la kuprint tu,sijui hawa wenzetu wanakwama wapi?
Siwezi toa rushwa, haiwezekani kila kitu tutoe rushwa haiwezekani this is too much? Sisi ndio tunao hamasisha rushwa na baadae tunaa za kulalamika, mimi sitoi wacha wasinipe KADIUkweli ni kwamba wanatoa rushwa hata kama wana uraia au awana uraia wanatoa rushwa.
hata wewe ukitoa rushwa unapata NIDA chap.
mkiniteka mniteke fresh tu lakini mambo yapo ivyo.
Darasa lipi? Hivi unajua maana ya Watanzania wenye asili ya Asia? Wahindi sio wageni ni daia kamili ndio manaa wako hadi Bungeni
Kwani hadi unapewa number ya NIDA si maana yake uko apprived? Kwa hio wanapewa kwa sababu wana Documents zote? Hii iko kwenye Mashariti ya NIDA au ndio akili zako zinakutuma
nchi imefeli kwenye rushwa ndo ipo hivyo kila idara inanuka rushwa.Siwezi toa rushwa, haiwezekani kila kitu tutoe rushwa haiwezekani this is too much? Sisi ndio tunao hamasisha rushwa na baadae tunaa za kulalamika, mimi sitoi wacha wasinipe KADI
Ndio maana wahindi wengi wanaishi town tu, posta na mailala huko sisi tumejazana mbagala kajamba nani
NIDA hata kurekebisha taarifa zako walizo kosea wenyewe ni swala gumu sana yaan kifupi idara za serikali nyingi ni za hovyo na zina watu wa hovyonchi imefeli kwenye rushwa ndo ipo hivyo kila idara inanuka rushwa.
Yote haya kasababisha jiwe......Ukisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nacho jua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?
NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.
Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.
Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.
Naongelea Watanzania wenye asili ya Asia, haya maelezo yako nayalewa sana, naongelea Watanzania siongelei Diplomacy, na oia tambua kuna Wagenni nji za jirani wana Vitambulisho vya urai hao ndio ninao zungumzia,
wanakosea taarifa za watu hasa majina.NIDA hata kurekebisha taarifa zako walizo kosea wenyewe ni swala gumu sana yaan kifupi idara za serikali nyingi ni za hovyo na zina watu wa hovyo
Hakuna mgeni anayepewa kitambulisho cha NIDA .Wote walionavyo ni watanzania.Unaweza ukawaona watu wanafanana na watu wa huko unakosema lakini hawajawahi kuvuka hata mpaka wa Tanzania.Tumesoma nao kiswahili na stori zo ni za humu humu Kigamboni na KisutuUkisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nacho jua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?
NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.
Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.
Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.
Mtahonga sana kwa sababu mmekubali uwe mfumo wenu wa maisha.Ni pesa wanahonga, ila kwa nini kuhonga? Yaani kila kiti cha kupata kwa haki inabidi tuhonge?
Huna unacho jua kaaa kimya tu endelea kula UgariHakuna mgeni anayepewa kitambulisho cha NIDA .Wote walionavyo ni watanzania.Unaweza ukawaona watu wanafanana na watu wa huko unakosema lakini hawajawahi kuvuka hata mpaka wa Tanzania.Tumesoma nao kiswahili na stori zo ni za humu humu Kigamboni na Kisutu
Sikiliza wacha kutetea NIDA process za kusajili watu wote hadi upate number ni moja tu. Hakuna process za Wahundi na za Watanganyika, ishu ni kwamba Jamaa sanahonga wana printiwa, shids iko kwenye kuprint kadi, tu na sio number,Mkuu
Watajwa wengi wao Wamekuwa Granted Citizenship by Naturalisation.
Wakishafanikiwa hilo wanakunjua mikono yao kwenye facilitation (Swaping process). Kadi inakuwa printed kwa uharaka.
Kwa Mzawa Kuna vituo vya NIDA ambavyo ukijiandikishia lazima upate NIN na Kadi kwa uharaka zaidi.
Tatizo letu sisi Watanganyika Attachment zenyewe hatuna then unataka ID yako itembee kwa uharaka zaidi.
Kuna watumishi wamefukuzwa kazi na wengine wako in cell, kwa kutokuwa waaminifu.
Vimemo vinaharibu sana
Duh! Yale yale ya passport nchi ngumu hii.Nina rafiki yangu anaishi Australia alikuja siku moja nchini aka'apply' kupata kitambulisho cha taifa NIDA na akapewa ndani ya masaa 24! Nadhani ni hela yako tu!
Kwa hivyo nida kuna njaaDuh! Yale yale ya passport nchi ngumu hii.