Wageni na Watanzania wenye asili za Asia wote wana Vitambulisho vya NIDA

Wageni na Watanzania wenye asili za Asia wote wana Vitambulisho vya NIDA

Namba unaipata baada ya miezi 6 ukienda ofisi za kata yako unakuta kitambulisho chako. Wabongo hatupendi kufuatilia mambo ndio maana tunalalamika waasia wanapata vitambulisho wao wamefuatilia. Na swala la wao kupata vitambulisho siwezi semea sana kwakua huenda wanastahili kupata mbali na hapo zipo mamlaka za kudhibiti mambo hayo
 
Namba unaipata baada ya miezi 6 ukienda ofisi za kata yako unakuta kitambulisho chako. Wabongo hatupendi kufuatilia mambo ndio maana tunalalamika waasia wanapata vitambulisho wao wamefuatilia. Na swala la wao kupata vitambulisho siwezi semea sana kwakua huenda wanastahili kupata mbali na hapo zipo mamlaka za kudhibiti mambo hayo
Sio kila kata vipo, nyingi havipo.
 
Mkuu

Usichanganye mambo.

Tuna aina tatu ya vitambulisho vya NIDA.

1) Wazawa hawa wana jaza fomu namba A1
2) Wageni( Legal) / Wakimbizi hawa wana jaza fomu namba A2
3) Mabalozi ( Diplomatics)

Naomba nizungumzie namba (2)

Hiyo kadi unayoisemea wewe iko kwenye kipengele hicho ambavyo vimesajaliwa kwendana na kibali chake cha kuishi hapo nchini. (Miaka miwili)

Hiyo kadi hapewi Bure kama wewe, Inauzwa $55 kwendana na daraja lake la kibali cha makazi.

NIDA wanafanya kazi nzuri sana, wanapaswa kupongezwa na si kubezwa.

ID za wazawa zinachelewa kutokana kwamba zinapita ngazi mbalimbali za kiutendaji.
Hapo kwenye kupita Kila ngazi ya utendaji sidhani kama ni kweli maana watu kibao ambao sio raia wa Tanzania wanavitambulisho vya NIDA
 
Ukienda BRELA kusajiri kampuni na bidhaa mpya kabisa sokoni wanaotuzungusha ili Waukesha idea zetu ni hawahawa ngozi nyeusi,na wanawauzia,ukienda uhamiaji kuomba passport sababu unataka kwenda Dubai kutalii wanakwambia lete barua ya Mualiko,hawa weepe ni shwaaa shwaaaa,hapendwi mtu duniani inapendwa pesa,hao wana watu wao ndani anapiga tu simu ,anafanikisha muamala,over
 
Mkuu

Usichanganye mambo.

Tuna aina tatu ya vitambulisho vya NIDA.

1) Wazawa hawa wana jaza fomu namba A1
2) Wageni( Legal) / Wakimbizi hawa wana jaza fomu namba A2
3) Mabalozi ( Diplomatics)

Naomba nizungumzie namba (2)

Hiyo kadi unayoisemea wewe iko kwenye kipengele hicho ambavyo vimesajaliwa kwendana na kibali chake cha kuishi hapo nchini. (Miaka miwili)

Hiyo kadi hapewi Bure kama wewe, Inauzwa $55 kwendana na daraja lake la kibali cha makazi.

NIDA wanafanya kazi nzuri sana, wanapaswa kupongezwa na si kubezwa.

ID za wazawa zinachelewa kutokana kwamba zinapita ngazi mbalimbali za kiutendaji.
Waarabu wengi ni wazawa wageni hawafiki hata theluthi ya wazawa,kama wanalipishwa mbona kuna mchina alihukumiwa kisutu kwa kumiliki kitambulisho cha NIDA,au yeye hana haki?
 
Ungewabana hao wa-Asia,wakuibie Siri,wanavipataje ili nawe upate.
Usichojua nini sasa,network plus mpunga ndio habari ya mjini ,hao jamaa wanaongoza Kwa shortcuts mjini mishe zao zote na hasa wakifanya kazi na mtu mweusi
 
Angalia nyumba za asia zilizojengwa mjini na mikoani za ghorofa zimeandika mwaka 1904 nyumba ilipojenga kabla hata ya uhuru na kabla hata ya wewe mkimbizi kutoka burundi babu yako hajazaliwa unasemaje wao sio raia
 
Ukisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nachojua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?

NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.

Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.

Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.
Waarabu wengi wana NIDA ila watu wa kigoma na kagera wanaambiwa uraia wao una utata so hawawezi pata NIDA ontime.
 
Back
Top Bottom