Wageni na Watanzania wenye asili za Asia wote wana Vitambulisho vya NIDA

Wageni na Watanzania wenye asili za Asia wote wana Vitambulisho vya NIDA

We mjinga sikiliza, ni haki ya Raia kuwa na Kitambulisho sio swala la pesa wala nini? Nchi imejaa vilaza sana hii, kwamba kika kitu lazima uhonge? Hata vile ambayo wewe ni haki yako kuvipata? Kwa akili zako fupi unaona ni ujanja?
Sawa kilaza.
Sasa usituletee malalamiko yako hapa kisa waAsia wote wana vitambulisho vya taifa, kama unajua ni haki yako na hupati unadhani hiyo haki yako itakuletea?.

Kaa kwa kutulia hii ni Afrika, ukitaka haki yako lazima uipambanie hata kwa kuhonga siyo kupiga kelele kama mbuzi mwenye njaa!.
 
Juzi nimepigiwa simu na mwekezaji mmoja kutoka Norway aliyefika Tanzania mwaka jana (2022) August, akiwa na namba ya simu ya mtandao wa Vodacom iliyosajiliwa kwa majina yake yote ya kwenye passport.

Nilipokutana naye, nilimuuliza amesajiri vipi namba yake ya simu,akaniambia ana kitambulisho cha NIDA, kitambukisho na sio namba!.

Serikali haiwajali Watanzania.
 
Hakuna mgeni anayepewa kitambulisho cha NIDA .Wote walionavyo ni watanzania.Unaweza ukawaona watu wanafanana na watu wa huko unakosema lakini hawajawahi kuvuka hata mpaka wa Tanzania.Tumesoma nao kiswahili na stori zo ni za humu humu Kigamboni na Kisutu
Swali ni kwanini wao wapewe na ikienda mtu unapata namba tu bila kitambulisho?

Acheni kuzunguka hao NIDA wamejaa rushwa. Nilishawahi kwenda mikono mitupu kwa ajili ya kitambulisho nikapewa maneno ooh sahv material ya kuprint hakuna na bla bla.

Nikamcheki dada mmoja tukaongea akadai nimpe hela nikampa mbona nilikipata fasta tu tena kwa kuletewa na mtu mpaka nilipo.
 
Swali ni kwanini wao wapewe na ikienda mtu unapata namba tu bila kitambulisho?

Acheni kuzunguka hao NIDA wamejaa rushwa. Nilishawahi kwenda mikono mitupu kwa ajili ya kitambulisho nikapewa maneno ooh sahv material ya kuprint hakuna na bla bla.

Nikamcheki dada mmoja tukaongea akadai nimpe hela nikampa mbona nilikipata fasta tu tena kwa kuletewa na mtu mpaka nilipo.
Kuna watu wanawatetea sana hawa jamaa ni wala rushwa wakuu
 
Juzi nimepigiwa simu na mwekezaji mmoja kutoka Norway aliyefika Tanzania mwaka jana (2022) August, akiwa na namba ya simu ya mtandao wa Vodacom iliyosajiliwa kwa majina yake yote ya kwenye passport.

Nilipokutana naye, nilimuuliza amesajiri vipi namba yake ya simu,akaniambia ana kitambulisho cha NIDA, kitambukisho na sio namba!.

Serikali haiwajali Watanzania.
Mbona nina Wakenyabwana vitambulisho vya NIDA vya uraia sio vya ukaazi.
 
Sawa kilaza.
Sasa usituletee malalamiko yako hapa kisa waAsia wote wana vitambulisho vya taifa, kama unajua no haki yako na hupati unadhani hiyo haki yako itakuletea?.

Kaa kwa kutulia hii ni Afrika, ukitaka haki yako lazima uipambanie hata kwa kuhonga siyo kupiga kelele kama mbuzi mwenye njaa!.
Kilaza ni wewe hapo, Unaweza kujiona umeongea point kumbe utumbo mtupu, kwa kifupi weww ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, endelea na project ya kulamba wanaume miguu Chawa wewe
 
Kwa sababu Wahindi na Waarabu ni first class citizens Tanzania ni urithi wa Ukoloni, Wahindi wana kila kitu wana documents zote za kuthibitisha Utanzania wao tangia Ukoloni, Watanzania weusi > 85% hawana chochote, kwa kifupi nchi ninya Wahindi ingawaje wengi hawalitambui hilo, wakati wa Ukoloni sisi hatukuwa raia wa English monarchy tulikuwa third class, na baada ya Uhuru hakuna kilichobadilika, …
Tatizo ni CCM
 
Ukisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nachojua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?

NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.

Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.

Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.
Watanzania tunakosa Kadi za NIDA kwa sababu ya CCM.
 
Kilaza ni wewe hapo, Unaweza kujiona umeongea point kumbe utumbo mtupu, kwa kifupi weww ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine, endelea na project ya kulamba wanaume miguu Chawa wewe
Naona unapanic, soon utavunja simu.

Kaa kwa kutulia hii ni Afrika, ukitaka haki yako lazima uipambanie hata kwa kuhonga siyo kupiga kelele kama pimbi maji mwenye njaa!.
 
Tatizo hapa nchini wakimbizi wengi, wanyarwanda, warundi, wakongo, wamachinga, wanyasa, wazambia, waethiopia, wasudani, waganda, wakenya nk nk, halafu wao pia weusi kama sisi, kipilipili kama kawa, sasa hapo unamtambuaje kirahisi? Na pia asilimia 80 hawana documents, hao waasia wajanja sana, mtoto akizaliwa leo tu kesho tayari yupo rita anchukua cheti cha kuzaliwa, sie mpaka unazeeka huna na hata wazazi wako pia hawana
Kaaaaaaazi Kweli kweli
 
Ukisikia uhaba wa Vitambulisho vya NIDA usifikiri ni kwa wote, ni Watanganyika pekeee ndio wanao tembea na number badala ya Kitambulisho, wageni wanavyo sasa sijajua Wageni na Watanzania wenye asili ya Asia wana vipata vipi ila nachojua wao wana vitambulisho wote, Sasa jiulize wao wanavipataje? Na kwa nini Watanganyika na wao wasvipate kama hao wageni?

NIDA ni bahati mbaya kwamba inaoenekana ina Backup kutoka juu kwa ujinga wanao ufanya, haiwezekani ni Watanganyika pekee ndio wanao kosa vitambulisho huku Wageni na watu wengine wakipewa bila tatizo.

Mwezi uliopita nilishangaa Mtanzania mmoja mwenye asili ya Asia lipoteza NIDA yake na akapata mpya ndani ya siku 6, ndani ya siku 6 aka printiwa KADI mpya wakati Watanganyika wana miaka 5 hawajapata hizo kadi.

Pale Dododoma kila Mwaka wale Wabunge wamekuwa wana danganywa tu kuhusu Vitambulisho na wao wanaishia kupiga makofi tu.
Vitambulisho vipi na vinapatikana saivi
 
Sio vitambulisho tu vya nida wana mpaka pasport za kitanzania Na uongozi mzima wa serikali unajua na hakuna wa kuwafanya chochote kibaya zaidi sio raia rasmi wa Tanzania yaani hawana uraia kisheria wa kitanzania fucktap country ukiwa na pesa tu unaweza kulala na wena na ukamkataa ubaya
Kuna tatizo kubwa la watumishi wengi wa serikali na taasisi zake kuwa watiifu, submissive na kujipendekeza kwa wageni (hii inaanzia ngazi za chini hadi viongozi).
Hali hii Ina uhusiano mkubwa sana na umasikini wa nchi na Afrika kwa ujumla. Wanaohudumiwa haraka na kwa heshima ni wageni kuliko wenye nchi. Zipo bado fikra za kitumwa maeneo mengi.
Tunahitaji kuwafundisha watu wetu kujiona superior hasa wakiwa nyumbani.
 
Back
Top Bottom