Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Ninavyotambua upasuaji ulianzia Japan na India. Wahindi walitumia pombe na bangi kumfanya mgonjwa alale. Mgonjwa alipewa pombe anywe kwenye chumba ambacho bangi iko kwenye kigae cha moto. Mara nyingi wagonjwa waliamua kabla upasuaji haujaisha.
 
Huu udini sasa, yule wa kwetu hana akili?
 
Ninavyotambua upasuaji ulianzia Japan na India. Wahindi walitumia pombe na bangi kumfanya mgonjwa alale. Mgonjwa alipewa pombe anywe kwenye chumba ambacho bangi iko kwenye kigae cha moto. Mara nyingi wagonjwa waliamua kabla upasuaji haujaisha.
Hiyo njia ya pombe ilikua inatumika poa na jamii za kitanzania miaka ya nyuma (maybe kabla ya ukoloni?). Kama ni mzazi alinyweshwa pombe na nyingine wanampaka tumboni kisha upasuaji unafanyika...Ila hiyo ya bangi ndio naisikia, Labda waliigundua wajamaica😅

Nimegundua jamii nyingi duniani zilikua na utaratibu wake wa kufanya upasuaji! Ila kihistoria inaonyesha upasuaji wa misri ndio wa zamani zaidi
Surgical texts from ancient Egypt date back about 3500 years ago. Surgical operations were performed by priests, specialized in medical treatments similar to today
 
Heshima yako mkuu!
Kwa historia ulipaswa upewe PHD ya heshima ila nashangaa wamempatia mh Kasheku Musukuma wanawaacha watu wanaostahili.
Taifa letu halimtambui wala kumthamini mwenye kipaji na uwezo.
Ndio maana bungeni hupelekwa walevi kama pierre liquid ila watu wenye potential chanya kwa taifa hawaujui hata mlango wa bongo.
Mwenyewe si uliona Amber rutty kafanywa mgeni rasmi Kwenye shule moja hivi kama vile alichofanya ni kitu cha kujivunia!
 
Umemtaja Marco Polo umenikumbusha huyu jamaa na Silk road. Wachina wamemtemgenezea muvi nyingi sana..Ila Japan na England naziheshimu sana hizi nchi, ni visiwa tu ila mambo yake noma sana. Sasa hivi ndio wamepunguza makali
Japanese waliiconguer China na rest of Asia kwa Administration yao pamoja na technology

English people waliiconguer dunia kwaajili ya Administration, Education na Legal system yaani uongozi bora wa kisheria...effect yao ipo duniani kote mpaka dakika hii
 
Naam hichi ndio kinafanya niheshimu sana hizi nchi mbili. Yaani kama waliambiana Mzungu achuke America/Africa halafu mjapan achukue Asia. Ilifika muda mjep anaanza kuingia ulaya, kanchi kadogo kamejawa na majanga ya asili ila mambo yake balaa sana
 
Naam hichi ndio kinafanya niheshimu sana hizi nchi mbili. Yaani kama waliambiana Mzungu achuke America/Africa halafu mjapan achukue Asia. Ilifika muda mjep anaanza kuingia ulaya, kanchi kadogo kamejawa na majanga ya asili ila mambo yake balaa sana
Wako Aggressive sana hao. Hawaamini kwenye kushindwa, hata wakikutana na nchi yenye Large population.
 
Wamezidiwa ujanja na Wainglishi. Hawa jamaa ni hodari kwa propaganda na warubuni wazuri tu kwa kukufanya uone chao ni kizuri kuliko chako.
 
Mtume wetu SAW yuko namba ngapi yakhe
 
Wako Aggressive sana hao. Hawaamini kwenye kushindwa, hata wakikutana na nchi yenye Large population.
Halafu japanese wapo very Disciplined ndio maana wapo tofauti kwav mambo mengi na wanadamu wengine. Napenda sana stori zao za Samurai and so on
Toka vita ya pili iishe wapo zao bize na na masuala ya technology. Ila Kamikaze technique was so badass
 
Yesu amefanya ugunduzi gani ambao mpaka sasa Dunia inajua.

Binafsi najua Yesu amepaishwa kwa kupewa ukuu

Ali- disobey kanuni ya Archemedes na sheria ya Flotation kwa kutembea juu ya maji panapo bahari ya Galilaya.

Mkuu Yesu ni mambo yote ndani ya yote. Ukimpata yeye umepata vyote(Munishi).
 

Asante mkuu Da’Vinci.

Ku instill imani kubwa kiasi hicho ndani ya mioyo ya watu ni zaidi ya vumbuzi nyingi za kuunganisha dots tu, hata kama zinaonekana kama ndio zinaiendesha dunia kwa mtazamo wa juu juu.
 

Mkuu Kasomi heshima kwako.
Mungu ni mwema.

Uvumbuzi wote wa kisayansi kwetu Africa ni miujiza.

Aeroplanes, computers, simu za viganjani, internet painkillers, antibiotics, chanjo,n.k n.k.

Yote ni miujiza tu kwetu sawasawa na kufufua wafu au kuponya wagonjwa kwa neno.

Hivyo twaweza mpima Yesu kwenye mzani mmoja na hao Newton, Galileo, etc na kum declare kuwa amewazidi.

Alafu inasemekana ujio wa Yesu ndio ulileta mabadilko kwenye jamii ambayo yaliibua hivyo vipaji vya hao wanasayansi wakuu na hili laweza kuwa sehemu ya jibu la swali la mkuu Da’Vinci yaani Wagiriki walipoteza ubunifu na umaarufu kwa sababu waling’ang’ania upagani wao wakati wenzao wakibadilika na kwenda na Ukristo.
 
Misri inapigiwa chapuo Sana kwenye huu hata kwenda nje swali alilouliza, wagiriki ndio wagunduzi wa mambo mengi ya sayansi mpaka siasa (democracy) ,hii ilitokana na utamaduni waliokuwa nao na dini kwani wagunduzi wengi kama sio wote walikuwa wanakaa maisha ya monastery au monks, industrial revolution nafikiri wao hawakujisumbua Sana na mabadiliko hayo ambayo yalianza kushape upya uchumi wa nchi zilizochangamkia hizo revolutions lakini bado wao wakaendelea kutumika kama wasomi wa Ku plan future ya nchi hizo, na hadi Sasa wanatumika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…