Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

acha kuwafananisha hao viumbe wengine na Yesu
 
Katika movie bora kabisa kwangu ya vita ni 300 ni bonge la movie
 
Katika movie bora kabisa kwangu ya vita ni 300 ni bonge la movie
300 film by Zack Snyder ni story ya kweli kabisa iliyotokea. Ni kama vile ilivyo series ya Spartacus.
Leonidas alikua kiongozi mzuri ila hashauriki Ego yake alishindwa kuimeza. Mwisho kabisa kama angemsikiliza yule mlemavu yasingempata
btw warumi ndio waligundua threesome ila ilikua ya wanaume watupu. Wapuuzi wanapenda sana mapenzi ya jinsia moja
 
Spartacus ile series sio ya kuangalia na wakwe ama watoto kuna ujinga mle hatari ila ni bonge la series kuna ujumbe mkubwa sana mle kwa watu tunaopenda history
 
Nini kiliwakuta waTanzania? Hamna wapambanaji Kama akina kinjikitile,milambo,mkwawa na abushiri? Usiwazungumzie wenzako
Hao si inajulikana wazi jamii waliachana na tamaduni zao kutokana na matokeo ovu ya ile mkutano kule Berlin
 
Spartacus ile series sio ya kuangalia na wakwe ama watoto kuna ujinga mle hatari ila ni bonge la series kuna ujumbe mkubwa sana mle kwa watu tunaopenda history
History ni ya kweli kabisa, ngono zilizomi sio halisi lakini ila mkuu unakaaje na mama mkwe mnaangalia series/muvi tena za kizungu??
 
Mkuu ukiachana na imani(Si kwamba nakejeri) Yesu alikuwa na uwezo gani mpaka wewe kumchukulia moja ya Watu wenye akili Zaidi.
Yesu anamzidi hata Isaac Newton kweli.
 
Mkuu ukiachana na imani(Si kwamba nakejeri) Yesu alikuwa na uwezo gani mpaka wewe kumchukulia moja ya Watu wenye akili Zaidi.
Yesu anamzidi hata Isaac Newton kweli.
Kwani hujui Isaac mwenyewe anasanda Kwa Yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…