Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Wazee wa mathe... Mimi sina cha kuongozea maana hio formula haijanipatia hata mia!!
But this doesn't make this useless
Huwezi kuwa scientist usiitumie hio fomula.
Ni kana ANATOMY human skeleton mii hainisaidii kitu ila madokta inawasaidia.
Chemistry ina wasaidia wafamasia,lab technitian.
Kila kitu kinatumika mahala hata kama wewe hukitumii
 
Kilichoharibu kabisa genetic codes za wagiriki na waitaliano kutoka kuwa magenius mpaka kuwa mazwazwa kama sasa hivi ni kutumia vifaa vilivyotengenezwa kwa Lead(Pb) katika matumizi yao ya winery, wametumia vifaa hivyo kuivisha vinyo mpaka kwenye vifaa vya kunywea, walkuwa wakiweka vinyo kwenye vikombe vya Lead inakuwa tamu sana mpaka wakavipa jina la kuvifisia kumbe wanajiua! Wale walio na mwanga kidogo wa kemia wanajua madhara ya heavy metals haswa Lead(Pb) na Mercury(Hg). Hizi metals zinaathiri kuanzia kwenye ubongo, reproductive systems mpaka genes!
Nadhani ndo hyo sababu( yaani walitumia vifaa hivyo bila kujua zaidi ya miaka 4000)
Kwa hio hizo jamii wote walikuwa walevi, inawezekana kweli?
 
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.
1. Imhotep
2.Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Sasa Yesu ni binadamu
 
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.
1. Imhotep
2.Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Newton?
 
Mbona bado wapo kuna Mgiriki anaitwa Giannis Antetokounmpo Huko Marekani wanamtambua vizuri
 
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.
1. Imhotep
2.Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Hapa unaweza kuelezea mmoja mmoja ili tuone akili zao.
 
Mzee baba ulitakiwa kuwalaumu waafrika maana hao wagiriki ni chamtoto kabsa, technologia yote na theories zote za kisayansi walizowakalilisha walimu wenu wa uongo ni copied from ancients Africans, yaan karbia 90% ya sayans na technologia zlianzia afrika zkaja ugiriki, then kwa waarabu&wahind&wachina na watu wamwisho ni warumi au wazungu wotee.

na ndvyo ilivyo, mm nna ushahidi nitajie jambo lolote kubwa unalojua kavumbua mgiriki au mrumi kama halina mkono wa muafrika nyuma, ni vile tulimuhasi MUUMBA wa Afrika, akatupiga laana ya usahaulifu, yaan kila kitu tulchofanya kimesahaulika, kuna baazi ya muvies zmejarbu kuwafungua waafrika kuhusu ukuu wa muafria, lkn sie kwa kukaza akili hatuelewi, mfano kuna muvi ya Avatar ya mwaka 2009 December 19 by james cameron imejarbu kueleza nn kiliikumba jamii kama hii ya black people, pia kuna muvie ya Black panther ya juzi tu hapo nayo imejarbu kwambaal kuonesha ukuu wa muafrika japo kidogo sana lkn vichwa ngumu hamuelewi zaid ya kutizama actions bila kutafakari ujumbe wa muvi hiyo,,

Pia kuna masalia na mabaki ya technology za zaman ambazo mpka leo hii baaz ya watawala wetu wanatuficha kwa kutuhujumu na kuzikabizi kwa mabeberu(JIULIZE KWANINI SAMIA NA KIBARAKA WAKE NDALICHAKO WALISITISHA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA?), pia mujue kuwa hata lile sanduku la agano ambalo ktk biblia zenu za uongo zimelipotosha ukwel wake, ukwel ni kwamba lipo Afrika na linatafutwa zaid ya yanavyotafutwa madini yoyote hapa dunian, na wanaolitafta wanafanya siri, kupitia mawakala wao na maspy wao ambao wanakuja kama watalii, wana dini(catholic), wavumbuz wa mali kale, wawekezaji na mamluki wengine, na hili linafanywa kwa siri sana maana hata waafrika hamtambui hili jambo, na hamuwez kutambua mpka pale akil zetu zitakapoamka kutoka ktk usingiz wa kiroho ambao umesababishwa na sie kushika maadili na imani za hovyo, pia laana ya kumuhasi Muumba wa Dunia ambaye ni zaid ya Uungu wa imani zote za kigen, huyu afananishwi na lolote, hajawai onekana na hatowai onekana kwa kiumbe kama mtu, zaid utahisii uwepo wake kupitia nguvu zake(Roho mtakatifu) Ama nguvu za asiri, ama nature ambayo ina control kila kitu hapa dunian.

Huwa nasikitika sana kuwaona waafrika wanamtukuza mtu mweupe yaani hiyo ni zaid ya kufuru, najua wengi hamjabahatika kupata ukomboz wa fikra ndyomaana bado hamuelewi nachokisema, kila ukionacho hiv leo si kipya, bali kilikuwepo kwa namna nyingine, leo kipo kwa namna nyingne ambayo n namna ya uongo wa kubuni kutoka ktk ukweli halisi....AMKENI WAAFRIKA, WEW NDYE mungu wa dunia baada ya Yule asiefananishwa na lolote, naposema MUUMBA namaanisha zaidi ya Umungu, Muumba wa kwel ni zaid ya umungu wenu mliokalilishwa na imani zakipuuzi hizo....Amkeni wakati ni sasa.
.View attachment 1902057
Broo Ushindi unaonekana unajua Mambo mengi lkn na weye pia unaonekana unatuficha sijui kwa kuogopa au kwa kuhofia maisha yako lkn changa moto zipo sana tunaomba kuwa muwazi na utujuvye .Davinci kaleta hii mada sio yy anajua bali sote tunataka kujifunza na kujua so lete vitu Ushindi.
 
Ukifunua vitabu vya sekondari kila definition utaona inaanza "it's greek Word" hata lugha rasmi ya Binomial nomenclature ni Greek tuseme Biology na sayansi kwa ujumla lugha yake ni Kigiriki.

Kwanini?
Asiilimia 70% ya wanafalsafa, Wanasayansi, Wagunduzi wote wanatoka Ugiriki. Kwa ufupi Sayansi imeanzia Misri ya kale na kutapakaa ulaya hasa ugiriki huko ndiko ilikofanyiwa kazi vizuri wewe chunguza kila mwanafalsafa anatoka Ugiriki.

Ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo mia moja ambapo kila mji ulikua na utawala wake, Mji wa Athens na Sparta ndio ilikua miji mikubwa na yenye nguvu zaidi, japo miji hii mra nyingi ilikua inapigana kwa ajili ya kugombania ardhi lakini vilikua vimejiunga pamoja ili kujilinda na uvamizi wa kutoka nje.

Enzi hizo Ugiriki ilikua Ugiriki kweli kuna madume ya haja hasa (Alpha, Beta peoples) mwaka 480 BC Mfalme Leonidas wa Sparta aliongoza jeshi la wanaume 300 tu kupambana na mfalme Xerxes kutoka Persia mwenye jeshi la watu 10000+ lakini waliwachinja hasa richa ya uchache wao. Japo Leonidas aliahindwa ila alijitahidi kuziwia uvamiI huo ambapo baadae Mfalme Xerxes alikuja kuuwawa na mrithi wa leonidas Themistocles

✓✓Kumbuka mfalme Xerxes ndio mfalme aliyemuoa Ester wa kwenye biblia ambae ester alitumia penzi kuziwia kuuwawa kwa Wayahudi wotewaliokua Babeli. (Kaa kumbukumbu zangu zipo sawa) Wafalme wa Persia waliitwa Ahasuerus. (Ahusuhero).

Sasa waku nini kiliwapata hawa watu? Gunduzi zote zilizofanywa kwao haziwanufaishi. Nilitegemea Ugiriki iwe miongoni mwa Super power county ila hata G7 haipo sijui G20.

Nini kiliwatokea? Sasa hivi hamna tena watu wenye akili au??
Mkuu hizo nchi zimeandikwa katika kitabu cha Daniel.
 
Dhambi zimezidi Greece nilikuwepo huko miaka ya karibun ushoga nje nje Yani nilistaajabu nilikuwa mji wa Piraeus
Nimesikia huko Piraeus ni balaa utamkuta tour guy kutoka kanisani anakupeleka katika storiya ya mambo ya dini mukiwa peke yenu mara hufurama anakwambia umpige nao ,baadhi wa vijana wengi enzi za ubaharia walikuwa wanakwenda Piriosi wanakuja wagiriki na kuchukua vijana wankukodi mpk kwake unampiga yy na mkewe au unampiga mkewe akipata midadi anakuondosha anaendelea na mchezo wenyewe mabaharia wakiwaita wamanga watoto wa kigiriki nasikia ni wazuri balaaa.
 
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.
1. Imhotep
2.Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Usimsahau Galileo Galilei
 
Hapo kwenye maandishi umenena vyema.
Hope hata Yale mapango yetu ya Tanzania yakiyochorwa maandishi na picha ambazo watz tumeshindwa kuyatafsiri yana maana ndani yake.

Kuna Yale maandishi/michoro ya kule kondoa sijui Kolo pana Elimu ya kale pale.
Yes pamoja na kusoma sayansi but napenda historia nimefatilia maandishi yakale ktk vitabu vya zamani Sana nimebahatika kupata kalamu za kizamani zipatazo 100+View attachment 1902649View attachment 1902650
Hii ni herufu za kiarabu au lugha ya kiarabu na imeandikwa Alqalam hadi wathalathuun .Kalamu thalithini na moja naona ni mambo ya hisabu
 
Nakubali sana mada zako chief, kupitia huu uzi nimejifunza mengi hakika JF ni zaidi ya shule.
Hapa Upo college kabisa .Mungu ambariki sana mwanzishi wa JF ana vision sana na Allah ampe afya na akili kubwa .
 
Hii ni herufu za kiarabu au lugha ya kiarabu na imeandikwa Alqalam hadi wathalathuun .Kalamu thalithini na moja naona ni mambo ya hisabu
Umeona sahihi yaani wakati natafuta juu ya maandishi ya kale ndo nikaenda yapata kwa wazee wazamani sanaa ambao nao walipata maandishi hayo na kuyaweka katika Alifabeti za kiarabu na Wala haiathiri maana yoyote maana herufi ni zile zile mkuu waweza weka kutoka kiarabu kwenda Alfabeti tulizozizoea.
 
Back
Top Bottom