Wagner wamepewa kazi ya kuishughulikia Poland?

Kama hakuna tishio kilichofanya Poland aka deploy jeshi mpakan mwa Belarus n nn???...jiongeze
 
War is a European thing acha waendelee kucharurana Kisha afrika na china zitaenda kuwasuluhisha
 
Ina maana silaha anazopewa Mukraine ni hatari kiasi cha kumfanya Putin ajizungushe zungushe kama mpira
 
Alafu nyinyi kenge mnaochambia magunzi huko vijijini ndanindani mnasema Wagner hawana madhara pale mpakani mwa Belarus na Poland.
Poland yenyewe inasema kundi la Wagner sio tu linaweza kuivuruga Poland bali linaweza kuivuruga NATO kwa upande wa mashariki.

Sasa nawauliza nyie wapiga punyeto, wasagaji, wachambia gunzi na mashoga wote wa humu kama mnajua walau mipaka ya NATO kwa upende wa mashariki ina urefu wa kilomita ngapi?
 
Kama weigner anapigana na nato wote anawatoa kamasi poland mbona anapita tu
 
😂😂😂😂
 
The effects of the Cannabis Sativa. Bangi ni mbaya sana.
 
Ina maana silaha anazopewa Mukraine ni hatari kiasi cha kumfanya Putin ajizungushe zungushe kama mpira
Silaha hata ikiwa ni gobore usiipuuze. Anachofanya Putin ndio sahihi kabisa katika vita.Na ni akili sana kusikiliza mipango ya kivita ya adui yako halafu hutoki kwenda kugombana naye kwa ulilolisikia bali unachukua hatua kujilinda.
Vifaru vyote vilivyotajwa vinatolewa kwa Ukraine alivifanyia ujasusi na akapata taarifa za muundo wake na vinavyofanya kazi halafu akatafuta countereffect zake.Matokeo haviwezi kupenya kwenye mashimo yaliyochimwa kulingana na upana na urefu wakt na vikipenya vinakutana na mabomu kila moja yanayoweza kukiripua.
Kule mbele kabisa kuna ndege ziko juu zinalenga shabaha kwa uhakika kabla ya kukutana na askari wa miguu waliojificha maeneo maalumu.

Russia's defensive lines are 'much more complex and deadly than anything experienced by any military in nearly 80 years,' retired general says

 
Unapigana kwenye kikosi kipi huko vitani ?
 
Kwa Poland ni kwenda kupoteza kabisa hili kundi la wagner na kiongozi wake mwenyewe!
Muda ni mwalimu mzuri mno!
 
Kwa Poland ni kwenda kupoteza kabisa hili kundi la wagner na kiongozi wake mwenyewe!
Muda ni mwalimu mzuri mno!
Hujawaza vizuri na itakuwa hujui utendaji kazi wa Wagner.Kumbuka hawa watakuwa wako ndani ya Belarus kwa sasa.Poland ikitaka iwashinde Wagner itabidi wapigane na Belarus.Sasa unawaonaje Belarus na tayari wameshapelekewa nyuklia na Urusi.Wakati huo huo Urusi inaweza kupeleka silaha yoyote ya kupigana na NATO kwenda Belarus ambazo zikitumika itakuwa ni kama vile silaha za NATO zinavyoingizwa Ukraine.
 
Poland hii hii ambayo inahistoria ya kubondwa Kila vita [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nyie mnachekesha hicho kikundwi cha wanywa vodka ndio cha kuishughulikia poland?
 
Hivi nyie mnachekesha hicho kikundwi cha wanywa vodka ndio cha kuishughulikia poland?
Ngoja utaona kadri siku zinavyokwenda.Polanda atahamanika kama simba aliyezungukwa na fisi.Akigeuka huku anavutwa nyama hii na huku ile mpaka atalegea au atakimbia.
 
Ngoja utaona kadri siku zinavyokwenda.Polanda atahamanika kama simba aliyezungukwa na fisi.Akigeuka huku anavutwa nyama hii na huku ile mpaka atalegea au atakimbia.
Unaota ndoto kwa influence ya ushabiki na mihemko
 
Mwendo mdogo mdogo mpaka wataelewa.
Umebakia mdogo mdogo...
Chelewa Chelewa utamkuta mtoto Sio wako[emoji15][emoji12]
Mwaka na uchafu sasa Camanda Zele amemfanya Putini aishi kwenye bunkers Kama buku
 
#15,,nilitaka kuyajua haya.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii dunia hii[emoji114][emoji114][emoji114]

Wagner wataendelea kumpapasa kiuno Poland mbele ya mkewe atalazimika aingie vitani.[emoji1787]

Kinachonichekesha,hutaki unaingia vitani,,,unataka unaingia vitani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…