Ujuzi ni mwingi sana😂😂 Kwahyo pengo lipo sector gan tuende hko, maana kila sector kumejaa
Sasa kama mzanz mwenyew ni wale wa mwisho wa mwezi hata idea ya biashara Hana inakuaje hapoInabidi tuanze kuishi kama wahindi. Asilimia kubwa ya wahindi wanawapeleka watoto shule ili wajue kusoma na kuandika tu na wakishafika umri wa miaka zaidi ya kumi, wanawaandaa kuja ku take care biashara zilizoanzishwa na wazazi wao
Fresh baked cake haziwezi fanana na andazi la Bakresa katuuuuWatu wapo interested na viporo vya wali na mihogo ukigeuka huku unakutana na kina bakresa na vikampun uchwara kibao.
Sawa ngoja tuludi tu kwenye ususiUjuzi ni mwingi sana
1. Udobi
2. Coding
3. Ususi
4. Baking ( japo wapika cake pia wamejaa)
5. Fundi wa magari na vyombo vya moto
6. Camera installation,
7. Fundi friji, AC, Printer na vitu kama hivyo
N.k
Ngozi nyeusi itaishia kugombana na kuangamiza Mali tu ukikata kambaInabidi tuanze kuishi kama wahindi. Asilimia kubwa ya wahindi wanawapeleka watoto shule ili wajue kusoma na kuandika tu na wakishafika umri wa miaka zaidi ya kumi, wanawaandaa kuja ku take care biashara zilizoanzishwa na wazazi wao
🤣🤣🤣🤣Halafu wwHata hivyo mafundi cherehani wametosha bwana khaa
Ujuzi ni mwingi sana😂😂 Kwahyo pengo lipo sector gan tuende hko, maana kila sector kumejaa
Kweli tuache kwenda kwa Anna collection tuje kwako.🤣🤣🤣🤣Halafu ww
Kwahiyo niache nisisomee?
Ila ht Hawa wengi ujueUjuzi ni mwingi sana
1. Udobi
2. Coding
3. Ususi
4. Baking ( japo wapika cake pia wamejaa)
5. Fundi wa magari na vyombo vya moto
6. Camera installation,
7. Fundi friji, AC, Printer na vitu kama hivyo
N.k
NdioUjuzi ni mwingi sana
1. Udobi
2. Coding
3. Ususi
4. Baking ( japo wapika cake pia wamejaa)
5. Fundi wa magari na vyombo vya moto
6. Camera installation,
7. Fundi friji, AC, Printer na vitu kama hivyo
N.k
Kweli tuache kwenda kwa Anna collection tuje kwako.