Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa 11-13 hawezi nyanyua angle grinder. Pia hawezi kugeuza yeti(grill) la 4Fx7F🤣🤣🤣🤣💺💺Hyohyo 11-13 mbona veta anaingia fresh tu.
Mtoto wa 11-13 hawezi nyanyua angle grinder. Pia hawezi kugeuza yeti(grill) la 4Fx7F🤣🤣🤣🤣.Pia hawezi kufanya maamuzi ya kiufundi mfano kukadiria bei ya kazi aliyoifanya 🤣🤣🤣🤣🪑💺Hyohyo 11-13 mbona veta anaingia fresh tu.
Sasa mkuu,ukiwapeleka kwa nguvu itasaidia nini? Hapo wazazi wakubaliane na hali halisi. Gharamia litoto linakuja na grade ya mwisho. Kama hawajisikii,ukimlazimisha hamna kitu. Wasaidiwe tu wanachojisikia,ila ukute wengine washajiunga JF, wameona lile jukwaa la mambo ya kileoKwahiyo miaka 7 yote wameambulia kuamini elimu ni kwa ajiri ya kuajiriwa!
Hata vijana wote waliohitimu wangekuwa mtaan bado elimu ina nafas yake katika utambuzi wa mambo.
Hawa wapelekwe kwa nguvu
Mchina anatengeneza ready made kibaoIdadi ya watu(wateja/wahitaji) wa nguo nayo imeongezeka sana🤣🤣🤣🤣🤣🪑💺💺
Inauma sana aisee.Sema ndo maisha.Safi sana kuliko kulipa mamilioni shuleni halafu urudi kuuza chips
Looo shost kanichoka jmnWanatosha nyie wengine someeni hata makenika woooi
Yaani bora umesema maana wabongo wanapenda huu uongo, aliyewaambia wahindi wanaishia la saba sijui nani, story za vijiweni, wahindi wanasomesha watoto wao jamani Tena shule nzuri na vyuo vikuu wanaenda Tena nje ya nchi kabisa.Ila tukikaa vijiweni tunadanganyana.Huu ni uongo,
Jamaa wana bachelor zao kibao,
Kina Mo wana bachelor, Jamaa wa lake ana bachelor, watoto wa Bakhresa wote wana bachelor, usiamini kuwa wahindi hawasomi,
Ajira ni pamoja na kujiajiri sio kuajiriwa tu, ndio maana wanataka wasomee fani kama welding ili wajiajiri.Kwahiyo miaka 7 yote wameambulia kuamini elimu ni kwa ajiri ya kuajiriwa!
Hata vijana wote waliohitimu wangekuwa mtaan bado elimu ina nafas yake katika utambuzi wa mambo.
Hawa wapelekwe kwa nguvu
Kabisa mkuu kule wanataka mtu aliemalza fom 4.Mtoto wa 11-13 hawezi nyanyua angle grinder. Pia hawezi kugeuza yeti(grill) la 4Fx7F🤣🤣🤣🤣💺💺
Kabisa mkuu.Wahindi wanasoma sana aisee.tusidanganyane hapa.Yaani bora umesema maana wabongo wanapenda huu uongo, aliyewaambia wahindi wanaishia la saba sijui nani, story za vijiweni, wahindi wanasomesha watoto wao jamani Tena shule nzuri na vyuo vikuu wanaenda Tena nje ya nchi kabisa.Ila tukikaa vijiweni tunadanganyana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata hivyo mafundi cherehani wametosha bwana khaa
Zenji local bakery wanapika mabofloWatu wapo interested na viporo vya wali na mihogo ukigeuka huku unakutana na kina bakresa na vikampun uchwara kibao.
Ukiachana na broken English hakuna faida nyingine ya kusoma elimu ya bongo zaidi ya ajiraKwahiyo miaka 7 yote wameambulia kuamini elimu ni kwa ajiri ya kuajiriwa!
Hata vijana wote waliohitimu wangekuwa mtaan bado elimu ina nafas yake katika utambuzi wa mambo.
Hawa wapelekwe kwa nguvu
Wahindi mbona ndio wanaongoza kuoperate kwenye viwanda mbalimbali TzInabidi tuanze kuishi kama wahindi. Asilimia kubwa ya wahindi wanawapeleka watoto shule ili wajue kusoma na kuandika tu na wakishafika umri wa miaka zaidi ya kumi, wanawaandaa kuja ku take care biashara zilizoanzishwa na wazazi wao