Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile misemo ya soma uwe kama fulan imeaza kutoweka saivNdio maana nawafundisha vijana wangu biashara, ukulima na kujitegemea katika umri wao mdogo huku nikiwaambia wasi danganywe na walimu au mtu yoyote kuhusiana na kitu kinachoitwa ajira
Huu ni uongo,Inabidi tuanze kuishi kama wahindi. Asilimia kubwa ya wahindi wanawapeleka watoto shule ili wajue kusoma na kuandika tu na wakishafika umri wa miaka zaidi ya kumi, wanawaandaa kuja ku take care biashara zilizoanzishwa na wazazi wao
Haya mambo ya kupata ajira kwa urahisi ni hadi uwe na pesa au refa mbele ni ujinga ni bora mtoto asome kutoa ujinga akimaliza umtafutie jambo la kufanyaIle misemo ya soma uwe kama fulan imeaza kutoweka saiv
Hili nalo nendeni mkalitizameBaadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira.
Wanafunzi hao wamesema hali hiyo imewakatisha tamaa ya kuendelea na masomo ya sekondari badala yake kuamua kutafuta shughuli nyingine za kiuchumi ikiwemo mafunzo ya ufundi.
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe, mmoja wa wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shuleni, mkazi wa Kata ya Turwa wilayani Tarime mkoani Mara, Elizabeth Charles amesema binti yake alikataa kuandikishwa na kutaka apelekwe chuo cha ufundi cherehani kutokana na wahitimu wengi kuwa mitaani bila kazi maalum.
#Manake hali ishakuwa Tete,unawekeza 30 Million Kwa kujinyima mtoto anamalizia chuo huna kitu Wala mtaji wa kumpa anakaa kijiweni,japo elimu ni Kwa ajiri yakupata maarifa miaka 17 mtu anasoma nini anagundua nini huko shule.Wana hoja
Wanatosha nyie wengine someeni hata makenika woooiNdio
Aah tunahitaji ma designer wengi bado🤣
iko hivi, wanafunzi wasome kile ambacho watakitumikia bila kukwamishwa na mitihani ya necta, yaani mwanafunzi anasoma pcb kuanzia form one mpaka chuo kikuu anatunikia cheti cha kuhitimu na kisha kwenda kufanya kazi aliyoisomea. Mtindo wa sasa wa kusoma unakutana na mtihani wa form fou au six unafeli kwa alama kidogo tu unarudi nyumbani huku umejaza maarifa mengi kichwani yasiyokusaidia kuajiriwa. Wahitimu wa vyuo vikuu tu ndio bado wa uhakika wa kuajiriwa tofauti na hawa walioishia form four na six kwa dhana ile ya kufeli mtihani na kukosa sifa za kuajiriwa kwa cheti chenye alama za kutambuliwa. Mwanafunzi haendi shuleni kufeli watunga sera walijue hilo. Watu wanaenda shule kupata stadi na maarifa ya kufanya shughuli zao na za umma.Sasa huoni tuta kuwa na scarcity ya wasomi miaka ya mbeleni kama madaktar, mainjinia, walimu n.k
Shule waache tu iwapo wanasoma kwa ajili ya ajiraBaadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira.
Wanafunzi hao wamesema hali hiyo imewakatisha tamaa ya kuendelea na masomo ya sekondari badala yake kuamua kutafuta shughuli nyingine za kiuchumi ikiwemo mafunzo ya ufundi.
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe, mmoja wa wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shuleni, mkazi wa Kata ya Turwa wilayani Tarime mkoani Mara, Elizabeth Charles amesema binti yake alikataa kuandikishwa na kutaka apelekwe chuo cha ufundi cherehani kutokana na wahitimu wengi kuwa mitaani bila kazi maalum.
Nabodo!!!🤣🤣🤣🤣🪑💺Watoto Wameamka safi sana
Idadi ya watu(wateja/wahitaji) wa nguo nayo imeongezeka sana🤣🤣🤣🤣🤣🪑💺💺Hata hivyo mafundi cherehani wametosha bwana khaa
Ni wazo zuri sana🤣🤣🤣🤣🪑💺Wamalize angalau form four
Watoto Hawa bado ni wadogo sana wengi ni miaka 11-13.hawawezi kuingia kitaa sasa.ila wakimaliza kidato Cha nne hapo labda,maana watakuwa na miaka 14-16🤣🤣🤣🤣🪑💺4m4 ni kupoteza mda🤒
Elimu inageuka mateso sàsa😜Maisha yamebadilisha kitasa elimu sio ufunguo tena...