Danny Tweyz
New Member
- Nov 1, 2018
- 1
- 3
Baadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira
Nani kasema hawasomi?Huu ni uongo,
Jamaa wana bachelor zao kibao,
Kina Mo wana bachelor, Jamaa wa lake ana bachelor, watoto wa Bakhresa wote wana bachelor, usiamini kuwa wahindi hawasomi,
Mfumo baba mfumo unasema kuna pyramid hakuna hexagon au pentagon ni pyramid yaan chini mnaanza wengi alafu wanaofika kule juu ni wachache wengine wote wanafia njiani kwa hio KUFELI kupoMwanafunzi haendi shuleni kufeli
Kukataa shukle siyo kuamka, bali ni kulala usingizi wa ponoWatoto Wameamka safi sana
Hapo kweli🤣🤣🤣🤣🪑💺Mchina anatengeneza ready made kibao
Elimu haina mwisho,mi nadhani wakishapata ujuzi na wakijiajiri,nafikiri Kwa hapo baadae kama watahitaji kujiendeleza wanaweza fanya hivyo kuliko kupoteza muda na kuendelea kuwa mizigo kwa wazazi,ndugu na jamaa! Ukizingatia elimu yetu haimwandai mtu kujiajiri.Kwahiyo miaka 7 yote wameambulia kuamini elimu ni kwa ajiri ya kuajiriwa!
Hata vijana wote waliohitimu wangekuwa mtaan bado elimu ina nafas yake katika utambuzi wa mambo.
Hawa wapelekwe kwa nguvu
ao watoto wanauelewa mdogo tu. asa kama kila mtu akienda veta nan atafanya kazi hospitalin .akati kila mwaka mahospital na ofisi zinaongekeka .swala la ajira ni bahati tu af ni bora mtuBaadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira.
Wanafunzi hao wamesema hali hiyo imewakatisha tamaa ya kuendelea na masomo ya sekondari badala yake kuamua kutafuta shughuli nyingine za kiuchumi ikiwemo mafunzo ya ufundi.
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe, mmoja wa wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shuleni, mkazi wa Kata ya Turwa wilayani Tarime mkoani Mara, Elizabeth Charles amesema binti yake alikataa kuandikishwa na kutaka apelekwe chuo cha ufundi cherehani kutokana na wahitimu wengi kuwa mitaani bila kazi maalum.
kwa elimu ipi ulitaka waambulie mengineyo?Kwahiyo miaka 7 yote wameambulia kuamini elimu ni kwa ajiri ya kuajiriwa!
Hata vijana wote waliohitimu wangekuwa mtaan bado elimu ina nafas yake katika utambuzi wa mambo.
Hawa wapelekwe kwa nguvu
ubungo hata drs la 7Alafu watoto wetu wakisoma ma international wakaja kurisi viti vyetu vya ubunge na uwaziri mnaanza kulalamika tunapeana vyeo Kwa kujua[emoji1787][emoji1787]
daktar wa miaka hii anafundishwa na mgonjwaSasa huoni tuta kuwa na scarcity ya wasomi miaka ya mbeleni kama madaktar, mainjinia, walimu n.k
kwa elimu ipi hiyo?Ila watambue kuwa "elimu ni ufunguo wa maisha " ambao wapo mtaani kwa kuwa ufunguo wanao kuna siku watafungua mahali na maisha yatasonga mbele.
Upo sahihi ila mimi nina maoni tofauti kidogo. Ni bora mzazi amsomeshe mtoto hadi kidato cha nne na ahakikishe ametoka shule walau anafahamu lugha ya kiingereza vizuri na kufaulu ni muhimu pia.Kwahiyo miaka 7 yote wameambulia kuamini elimu ni kwa ajiri ya kuajiriwa!
Hata vijana wote waliohitimu wangekuwa mtaan bado elimu ina nafas yake katika utambuzi wa mambo.
Hawa wapelekwe kwa nguvu
Kila mtu fundi unategemea itakuaje?Baadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira.
Wanafunzi hao wamesema hali hiyo imewakatisha tamaa ya kuendelea na masomo ya sekondari badala yake kuamua kutafuta shughuli nyingine za kiuchumi ikiwemo mafunzo ya ufundi.
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe, mmoja wa wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shuleni, mkazi wa Kata ya Turwa wilayani Tarime mkoani Mara, Elizabeth Charles amesema binti yake alikataa kuandikishwa na kutaka apelekwe chuo cha ufundi cherehani kutokana na wahitimu wengi kuwa mitaani bila kazi maalum.
Hao ni bakora tuu vinginevyo watakuwa vibaka na makahabaWatoto Hawa bado ni wadogo sana wengi ni miaka 11-13.hawawezi kuingia kitaa sasa.ila wakimaliza kidato Cha nne hapo labda,maana watakuwa na miaka 14-16🤣🤣🤣🤣🪑💺
Wahindi wengi wanasoma vizuri elimu ya msingi tu na ordinary level. Wakikaribia 20 yrs hapo wanachomekwa kwenye biashara za wazazi. Wakishakaa kwenye mfumo wanaanza kufukuzia professional certifications kama uhasibu, ukandarasi n.k. Degree ni kitu wanatafta mwisho kabisa wakiwa tayari wana hela.Kabisa mkuu.Wahindi wanasoma sana aisee.tusidanganyane hapa.
Ikitoa ajira ikasema inataka freshers na mwanao kashasota hadi miaka 30 hana ajira inakuwa imesaida nini? Kikubwa mi napambana wanangu wote waende Ulaya. Mission ni kuukimbia ukoloni mweusi wa CCM. Bora mwanangu akahangaike na maisha ulaya kuliko bongo humu.ao watoto wanauelewa mdogo tu. asa kama kila mtu akienda veta nan atafanya kazi hospitalin .akati kila mwaka mahospital na ofisi zinaongekeka .swala la ajira ni bahati tu af ni bora mtu
kuwa na elimu mana uwezi jua je serikali ikitoa ajira itakuwaje?