Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pia wajiandae kuzimia, maana fimbo zake si mchezo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Wajiandae na fimbo/ mikwaju ya vichwani.
Kama aliweza kumyima mgonjwa matibabu na isitoshe akamfukuza mpaka ubunge aliopewa na wananchi huyo ni binadamu kweli? Serious nikumuangalia huwa nawazaga huyu ni binadamu wa kawaida kweli? Yaani Mungu anakazi sana siku ya kiama.Pia wajiandae kuzimia, maana fimbo zake si mchezo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Hakuna aijuaye keshoKuna majimbo ya kutia nia harafu unapita kule mojawapo ni la Ndugai, Majaliwa, maana unajua huwezi pita ata shetani ashuke duniani
Alimtegemea binadamu mwenzake Bw.Jiwe..muache afe kibudu shenzytaipu!Kama aliweza kumyima mgonjwa matibabu na isitoshe akamfukuza mpaka ubunge aliopewa na wananchi huyo ni binadamu kweli? Serious nikumuangalia huwa nawazaga huyu ni binadamu wa kawaida kweli? Yaani Mungu anakazi sana siku ya kiama.
Aha hahaha, umbwa kabisa[emoji16][emoji16]Wajiandae na fimbo/ mikwaju ya vichwani.
Weeee! atawatandika wote hao bakora za pua anajua kucharaza fimbo yule mtu.Atawatandika bakora. Hawamjui Ndugai hawa. Yule aliyepigwa 2015 alipozwa kwa kupewa uDC sijui uDED.
Dawa waungane waweke mshindani mmoja dhidi ya Ndugai.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Lakini sio kokoAha hahaha, umbwa kabisa[emoji16][emoji16]
Tena afe mdomo waziAlimtegemea binadamu mwenzake Bw.Jiwe..muache afe kibudu shenzytaipu!
Ndugai atapeta japo sijui kama ataonja asali tena ya uspika.Kuna majimbo ya kutia nia harafu unapita kule mojawapo ni la Ndugai, Majaliwa, maana unajua huwezi pita ata shetani ashuke duniani
Wapumbavu tu ndo wataenda tia nia huko. Magu alishasema akiwa kwenye hayo majimbo, atawashangaa watakaochukua fomu kutaka kushindania hayo majimbo. Wenye majimbo yao kwa kazi walizofanya, waatakiwa kupita bila kupingwa.Kuna majimbo ya kutia nia harafu unapita kule mojawapo ni la Ndugai, Majaliwa, maana unajua huwezi pita ata shetani ashuke duniani