1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Ndugai atapeta japo sijui kama ataonja asali tena ya uspika.
Ngoja tuendelee kusubiriHuyu jamaa atakuwepo? View attachment 1509015
Taarifa kutoka Kongwa zinaeleza kwamba mpaka jana watia nia 8 walishachukua fomu za kugombea ubunge Jimbo la Kongwa ambalo lilikuwa chini ya Job Ndugai ambaye pia alikuwa Spika wa bunge la 11 , ambalo wadau wa siasa wanadai lilivunja rekodi , haifahamiki lilivunja rekodi gani .
Bali kinachofahamika ni kuzomewa kwa Job Ndugai na wapiga kura wa Kongwa kwenye mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Mwenyekiti wa ccm Ndugu Magufuli .
Majina yao haya hapa : Moris Zaidi , Dr Samora Mshang'a , Apiov Lywiva , Dr Philemon Saigodi , Dotto Chibupa , Martin Chihimba na Sahewa Elias (majina yanaweza kuongezeka kwa vile muda bado una
Hao wote washauriane washirikiane wamkampeinie mmoja ili walinvoe hilo joka la kibisa!!Washauri watia wote wasisahau; kwa usalama wao wahakikishe wanavaa helmet muda wote
Ha ha ha noma sana mkuuAlipewa u-DC yuko huku wilayani kwangu! Naona safari hii amegwaya, hataki tena kwenda kupigwa fimbo!
Hiyo ndio demokrasia
Kama ilivyokuwa kwa Jiwe, ndivyo itakavyokuwa kwa Majaliwa, Ndugai. Na wa Lumumba vilevile wataimba na kushangilia kwa mapambioKuna majimbo ya kutia nia harafu unapita kule mojawapo ni la Ndugai, Majaliwa, maana unajua huwezi pita ata shetani ashuke duniani
Kale kazee hatari sana ilikuwa almanusura DC wangu aage dunia! Huwa kanatembea na fimbo huku kwetu tunaziita "Nkoma" ni ngumu hatari ikitua kisogoni lazima utoe kamasi mpaka lile la utotoni!
Msekwa aliwahi kukosa ubunge ukereweKuna majimbo ya kutia nia harafu unapita kule mojawapo ni la Ndugai, Majaliwa, maana unajua huwezi pita ata shetani ashuke duniani
Basi tutamchagua mpinzaniWapumbavu tu ndo wataenda tia nia huko. Magu alishasema akiwa kwenye hayo majimbo, atawashangaa watakaochukua fomu kutaka kushindania hayo majimbo. Wenye majimbo yao kwa kazi walizofanya, waatakiwa kupita bila kupingwa.
Watia nia hao wajue hata Ukatibu tarafa au kata hawata upata.
Kwani siku hizi hatembei na rungu?Taarifa kutoka Kongwa zinaeleza kwamba mpaka jana watia nia 8 walishachukua fomu za kugombea ubunge Jimbo la Kongwa ambalo lilikuwa chini ya Job Ndugai ambaye pia alikuwa Spika wa bunge la 11 , ambalo wadau wa siasa wanadai lilivunja rekodi , haifahamiki lilivunja rekodi gani .
Bali kinachofahamika ni kuzomewa kwa Job Ndugai na wapiga kura wa Kongwa kwenye mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Mwenyekiti wa ccm Ndugu Magufuli .
Majina yao haya hapa : Moris Zaidi , Dr Samora Mshang'a , Apiov Lywiva , Dr Philemon Saigodi , Dotto Chibupa , Martin Chihimba na Sahewa Elias (majina yanaweza kuongezeka kwa vile muda bado unaruhusu )