Wagombea ndani ya CHADEMA kwa sasa inabidi waseme wako timu ipi (Mbowe au Lissu), ili watu wajue!

Wagombea ndani ya CHADEMA kwa sasa inabidi waseme wako timu ipi (Mbowe au Lissu), ili watu wajue!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Hakuna haja tena ya kusema sana sera zako, wewe tuambie tu uko timu ipi au hauna timu, hiyo inatosha wajumbe kujua unasimama na sera zipi.

Ikiwa mko wengi na msimamo wenu wa kitimu unafanana, basi kipimo ni namna unavyoipigania hiyo timu, hakuna maneno mengi.

Ikiwa msimamo wako kitimu haujulikani au hutaki kusema wazi, tegemea kushindwa kirahisi kabisa.
 
Sawa

Unazungumzia wagombea wa ni nini?

Bavicha, Bazecha na Bawacha Wote ni Team TAL
 
Utamdanganya mgeni njia ya kufika wakati wa kwenda

Njia ya kurudi kamwe hutamdanganya

Mbowe aliwadanganya
Sasa zamu yake
 
Back
Top Bottom