Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mkemia enzi za ujana wake alikua hendisam sana.Hapa nywele zilificha ile nundu aliyoiona Kipanya.
HahaahaIla mkemia enzi za ujana wake alikua hendisam sana.
Lazima atakuwa kaachia bonge moja la shuzi kumsadifu uliyemsadifisha.Namuona mkemia mkuu hapo ana ndevu kama Riki rozi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bibi ungekua unakula mema ya nchi sasa hivi,God forbid, just kidding.
Kuna jamaa anaitwa albogastus vedastus lukumbuzya huyu aligombea upande wa chadema kama sikosei sikui yuko wapi
Biharamulo ndio lilikua jimbo, chato kilikua bado ni kijiji.Jimbo la chato au biharamulo?
Naskia huyo mwenzake ndo alishinda.Biharamulo ndio lilikua jimbo, chato kilikua bado ni kijiji.
Naam Mkemia katika ubora wake, ndani ya mzuzu.