Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,403
Hapa ndio alikua anatengeneza dawa ya kuondoa kutu nini?Naam Mkemia katika ubora wake, ndani ya mzuzu.View attachment 1101275
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndio alikua anatengeneza dawa ya kuondoa kutu nini?Naam Mkemia katika ubora wake, ndani ya mzuzu.View attachment 1101275
Hawawezi kukosekana mkuu, ila kufunguka ndio bado sijaonaHivi kweli humu jukwaani hakuna hata mtu mmoja aliefundishwa kemistri na huyu mkemia wetu, atupe wasifu wake kipindi alichokua anachezea chaki.
Hapo nazani alikuwa kwenye ngazi ya Masters, masuala ya kutu kayafanya juzi kati ya 2006 na 2009 ambapo tayari alishakuwa mzeeHapa ndio alikua anatengeneza dawa ya kuondoa kutu nini?
Naskiaga alikua bonge la ticha, yaani hata kichwa yako ikiwa mbovu kama yangu ila akikupigisha pindi lazima uelewe.Hawawezi kukosekana mkuu, ila kufunguka ndio bado sijaona
Umeongea lugha gani bibi mbona sijakuelewa?Tanzania kitumbua itakua ni historia
Uzuri masomo ya sayansi hayahitaji kujua kuongea kingereza kivile...Naskiaga alikua bonge la ticha, yaani hata kichwa yako ikiwa mbovu kama yangu ila akikupigisha pindi lazima uelewe.
Jamaa anaonekana alikua jembe sana katika kuyachanganya makemikali.Hapo nazani alikuwa kwenye ngazi ya Masters, masuala ya kutu kayafanya juzi kati ya 2006 na 2009 ambapo tayari alishakuwa mzee
Bibi una uhakika kabisa siku ya leo haujaonja K Vant?Nimrmesharekebisha
Naam Mkemia katika ubora wake, ndani ya mzuzu.View attachment 1101275
Siasa inaharibu sana taaluma za watu.Jamaa anaonekana alikua jembe sana katika kuyachanganya makemikali.
Isingekua kujiingiza kwenye siasa inawezekana angekua ashagundua dawa ya ukimwi kwa kutumia tu maganda ya korosho.
Hata sijui ni nani mkuuHuyu mwenzake hajala shavu kweli
Kama ni kweli basi unapaswa utembee kifua mbere maana upo pazuli.Leo mtoto mzuri ninaanda bible study za kesho
Ila mkemia enzi za ujana wake alikua hendisam sana.
Hajachuja bwana u handisam unazidi
Yaani kwa jinsi unavyompenda mkemia babu Asprin angechelewa kidogo tu mkemia ndio angekua babu yangu.
Anhaaaa...... OK.God forbid, just kidding. Ila mkemia anapenda spring chicken mimi ni grandma kwenye choice zake.
Yaani natamani kwenye katiba ya nchi kungekua na kipengele cha marufuku kwa wanataaluma wote wa sayansi kujihusisha na kugombea uongozi katika mambo ya siasa.Siasa inaharibu sana taaluma za watu.
Mtu akishajiingiza kwenye siasa ni vigumu tena kufanya tafiti kuhusu taaluma yake ya ubobezi badala yake atakuwa busy na propaganda za kisiasa tu.
HahahaaaHapa ndio alikua anatengeneza dawa ya kuondoa kutu nini?
Shkamoo babu, nnaamini kabisa K Vant uliyokunywa jana ladha yake haikukupendeza. Weekend ya leo inabidi uchague K Vant yenye ladha na ubora unaokubalika na tibiesi.Anhaaaa...... OK.