Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndio alikua anatengeneza dawa ya kuondoa kutu nini?
HIlo swali nimeuliza mara kadhaa na sijapata jibu!!Hivi kweli humu jukwaani hakuna hata mtu mmoja aliefundishwa kemistri na huyu mkemia wetu, atupe wasifu wake kipindi alichokua anachezea chaki.
Why?Watu wanaofuga ndevu si wa kuwaamini!
Huyu jamaa wa nyuma yake ni nani?uje kukuta ni waziriNaam Mkemia katika ubora wake, ndani ya mzuzu.View attachment 1101275
Mimi pia sijamtambuaHuyu jamaa wa nyuma yake ni nani?uje kukuta ni waziri
Ila sasahv kuna traffic lightsBiharamulo ndio lilikua jimbo, chato kilikua bado ni kijiji.
Huyu kweli anaweza kukufundisha "Quantum theory" ukaelewa? Kwa elimu yake ya kukariri na kugezeaHivi kweli humu jukwaani hakuna hata mtu mmoja aliefundishwa kemistri na huyu mkemia wetu, atupe wasifu wake kipindi alichokua anachezea chaki.
Mbona kaacha kufuga ndevu??
vipi alikuwa analipenda hilo jina???Nkunkuna nkunkuna.ndio jina la utani tulikuwa tukikutana enzi hizo.
lina maana gani hilo jina?Nkunkuna nkunkuna.ndio jina la utani tulikuwa tukikutana enzi hizo.
Kuna kitabu kina hii picha kama sijakosea..nadhani atanikumbushaNaam Mkemia katika ubora wake, ndani ya mzuzu.View attachment 1101275
umenikumbusha marehemu mzee phares kabuye. miaka ile kiumri nikuwa bado mdogo, ila nilikuwa nafatilia sana session za bunge kupitia tvt(sasa tbc1).
BROTHER LYAMUYA SALAMA ??Hii kemikali aliyokuwa anachanganya hapa ndio inayotuua sasa hivi au ni nyingine
BRO BRAZIL KWEMA??Hii kemikali aliyokuwa anachanganya hapa ndio inayotuua sasa hivi au ni nyingine
isipokuwa Maalim Seif SharrifWatu wanaofuga ndevu si wa kuwaamini!