Wagombea uchaguzi jimbo la Chato enzi hizo

Wagombea uchaguzi jimbo la Chato enzi hizo

Uyu mkemia mkuu ndio yule anae Pima mkojo wawatu wasio julikana
 
Yaani natamani kwenye katiba ya nchi kungekua na kipengele cha marufuku kwa wanataaluma wote wa sayansi kujihusisha na kugombea uongozi katika mambo ya siasa.
Katiba ndio mchawi wa maendeleo aliyevaa koti la kijani.

Maslahi duni kulingana na taaluma ndio yanafanya watu waache taaluma zao na kudandia mambo mengine ikiwemo siasa ila watoboe mapema.

Sheria ikiwepo na kuweka mipaka kwenye jambo hili mambo yataenda vizuri sana
 
Huyu aliyekuwa anagombea nafasi nayeye yuko wapi , isije kuwa keshapotea kusikojulikana na watu wasiojulikana.
 
Shkamoo babu, nnaamini kabisa K Vant uliyokunywa jana ladha yake haikukupendeza. Weekend ya leo inabidi uchague K Vant yenye ladha na ubora unaokubalika na tibiesi.
K Vant ni K Vant tu. Yaaani labda unambie kubadili bilauri la kunywea. Nahofia ntamaliza mabaa na K Vant ni ileile
 
Jamaa anaonekana alikua jembe sana katika kuyachanganya makemikali.
Isingekua kujiingiza kwenye siasa inawezekana angekua ashagundua dawa ya ukimwi kwa kutumia tu maganda ya korosho.
Duu umenichekesha mbele za watu
 
Back
Top Bottom