[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Umeongea lugha gani bibi mbona sijakuelewa?
Katiba ndio mchawi wa maendeleo aliyevaa koti la kijani.Yaani natamani kwenye katiba ya nchi kungekua na kipengele cha marufuku kwa wanataaluma wote wa sayansi kujihusisha na kugombea uongozi katika mambo ya siasa.
Karibu sana Babu, kuna kahawa na kashata hapa upashe mwili jotoAnhaaaa...... OK.
Tanzania kutu itakua ni historia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babu yupo kwenye swaumu, ila mda wa kufuturu hua anaanza na K Vant.Karibu sana Babu, kuna kahawa na kashata hapa upashe mwili joto
Keshakufa kitambo, kama angekuwepo leo labda angekuwa na miaka zaidi ya 100!Huyu aliyekuwa anagombea nafasi nayeye yuko wapi , isije kuwa keshapotea kusikojulikana na watu wasiojulikana.
Hapana. Mi natumia korosho kuunga mkono juhudi za uzazi wa kufyatuaKaribu sana Babu, kuna kahawa na kashata hapa upashe mwili joto
K Vant ni K Vant tu. Yaaani labda unambie kubadili bilauri la kunywea. Nahofia ntamaliza mabaa na K Vant ni ileileShkamoo babu, nnaamini kabisa K Vant uliyokunywa jana ladha yake haikukupendeza. Weekend ya leo inabidi uchague K Vant yenye ladha na ubora unaokubalika na tibiesi.
Duu umenichekesha mbele za watuJamaa anaonekana alikua jembe sana katika kuyachanganya makemikali.
Isingekua kujiingiza kwenye siasa inawezekana angekua ashagundua dawa ya ukimwi kwa kutumia tu maganda ya korosho.
Hapo sawa Babu utaboost mambo...Hapana. Mi natumia korosho kuunga mkono juhudi za uzazi wa kufyatua
Kauka basi usimwambie bibi yakoHapo sawa Babu utaboost mambo...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kauka basi usimwambie bibi yako
Ewaaa... ndicho nlitaka ukijue. Usije ukanituhumu nimemeza viagraI have just heard you