uhakika ni 100%Una hakika? Chama cha wazee inakuwaje kiwe na wagombea wote vojana
Eti bwana, wakati kwa wasomi hata waliokwishafariki, potea kwa muda mrefu na hawajulikani walipo, na watoto ambao miaka yao imekuwa 'inflated' ni wagombea wenye sifa!π€£π€£π€£kama hoja ya msingi inavyoeleza gentleman,
hivi kweli wagombea uongozi vijanaa wasomi wa vyuo vikuu wa CCM wakosee kujaza fomu, ukilinganisha na wale wa upande wa pili, tena ni wazee wenye uoni hafifu, eti ndio wameshinikizwa kugombea uongozi, baada ya vijanaa wao walisusa kujiandikishaπ
dah inasikisha sana aise, yaa mgombea anakosea zaidi ya mara tano, fomu imefutwa futwa unadhani utadhani ina majibu ya kuibia π€£
Ulitakiwa utoe mifano ya baadhi ya wagombea, majina, elimu na mitaa wanayogombea.Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kuwa madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania
na kwa utaratibu huu wa succession plan, CCM itaendelea kuwapa fursa vijanaa wasomi nafasi za uongozi ili kuwaongoza wa Tanzania kwa kipindi choteπEti bwana, wakati kwa wasomi hata waliokwishafariki, potea kwa muda mrefu na hawajulikani walipo, na watoto ambao miaka yao imekuwa 'inflated' ni wagombea wenye sifa!π€£π€£π€£
mifano iko wazi, na sio maneno matupu.Ulitakiwa utoe mifano ya baadhi ya wagombea, majina, elimu na mitaa wanayogombea.
Hahahaha π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ kwa hiyo king msukuma ni msomi??Gentleman,
msukuma is a Doctor with PhD, huwezi mlinganisha na mbowe au sugu in academic status.
na by the way,
vijanaa wasomi wa CCM kwenye uchaguzi huu wa Serikali za mitaa ndiyo madiwani na wabunge wa siku zijazo π
Mwenyekiti wa wenu form 4 alipata DV ngapi??na kwa utaratibu huu wa succession plan, CCM itaendelea kuwapa fursa vijanaa wasomi nafasi za uongozi ili kuwaongoza wa Tanzania kwa kipindi choteπ
mifano iko wazi, na sio maneno matupu.
usiache kuhudhuria kampeni za CCM nchi nzima zinazoendekea kwa kasi zaidi.
acha uvivu gentleman mambo ni wazi mchana kweupe π
kwenye Uchaguzi huu wa serikali za mitaa, CCM imewapa fursa na nafasi vijana wasomi wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali nchini kugombea uongozi katika nafasi ya Mwenyekiti wa mitaa na vijiji..Mwenyekiti wa wenu form 4 alipata DV ngapi??
kwenye Uchaguzi huu wa serikali za mitaa, CCM imewapa fursa na nafasi vijana wasomi wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali nchini kugombea uongozi katika nafasi ya Mwenyekiti wa mitaa na vijiji..Mwenyekiti wa wenu form 4 alipata DV ngapi??
Enzi za Wilbrod Slaa nakumbuka miaka ya 2010 vyama vyote walikuwa na harakati vyuoni. Mnyika, Silinde, na wengineo walitokea vyuoni. Leo hii mkuu wa chuo gani atabakia kwenye nafasi akiruhusu harakati za siasa kwa vyama vya upinzani. Naona tumebakia CCM kutamba peke yetu vyuoni. Hii ni sawa na kumfunga mtu mikono halafu unamtaka mpigane, utamuua tu.Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kuwa madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania
vijanaa hao wasomi wa vyuo vikuu, wameamua kutumia ujuzi wao katika kuchochea maendeleo katika jamii zinazo wazunguka . Huu ni uzalendo wa kiwango cha juu sana.Kwamba hawa vijana wasomi watakijanasha Chama au sio
CCM wanatosha. Wana hekima na busara za kiwango cha juu mno,Enzi za Wilbrod Slaa nakumbuka miaka ya 2010 vyama vyote walikuwa na harakati vyuoni. Mnyika, Silinde, na wengineo walitokea vyuoni. Leo hii mkuu wa chuo gani atabakia kwenye nafasi akiruhusu harakati za siasa kwa vyama vya upinzani. Naona tumebakia CCM kutamba peke yetu vyuoni. Hii ni sawa na kumfunga mtu mikono halafu unamtaka mpigane, utamuua tu.
Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kuwa madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania
Chadema wameleta wanasheria wengi waliomaliza vyuo currently.Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kuwa madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania
Ndio ujionee maajabuna wameshindwa wote kwenye mapingamizi π