LGE2024 Wagombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na vijiji ni vijana wasomi ukilinganisha na vyama vingine

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sawa, tutegemee vijana wengi zaidi kujitokeza kuomba kuchaguliwa kwenye udiwani na ubunge wakichuana na wazee wao. Huo mchujo ndani ya vyama utakuwa shughuli pevu
 
Sawa anakula
he is recognized Dr,
Kiongozi wa wananchi na anakul maisha tu sambamba na madactari wengine πŸ’
Sawa anakula maisha hata wasiojua kusoma wanakula maisha pia issue alifaulu au alibumba?? Kwani Mbowe hali maisha uliposema alifeli?!
 
Sawa anakula

Sawa anakula maisha hata wasiojua kusoma wanakula maisha pia issue alifaulu au alibumba?? Kwani Mbowe hali maisha uliposema alifeli?!
mbowe na hayati Mrema wamehitimu digrii ya kwanza mwaka moja, na wote wamesoma online 🀣
 
Lete evidence
kua mgeni katika siasa za Tanzania sa zingine ni usumbufu, but sii mbaya,

sheria ilibadilishwa na kulazimu mgombea urais awe na degree, na hao wangwana hawakua nazo, hali hiyo ikawalazimu wafanye kila liwezekanalo ili wapate degree ili kigezo hicho kisiwe changamoto tena kwao mbeleni πŸ’
 
Mwenyek
Mwenyekiti wenu alipata div gani form4 mbona hutaki kujibu πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜†.??!!
 
Mwenyek

Mwenyekiti wenu alipata div gani form4 mbona hutaki kujibu πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜†.??!!
andika uzi maalumu wadau wakueleze gentleman,

hata hivyo,
kwa mujibu wa sheria, mgombea urais Tanzania lazima awe na elimu kuanzia degree moja πŸ’
 
Ccm wangekuwa wanajiamini na hao vijana wao wasomi basi wasingewakata wagombea wazee wa Upinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…