Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa anakula maisha hata wasiojua kusoma wanakula maisha pia issue alifaulu au alibumba?? Kwani Mbowe hali maisha uliposema alifeli?!he is recognized Dr,
Kiongozi wa wananchi na anakul maisha tu sambamba na madactari wengine 🐒
mbowe na hayati Mrema wamehitimu digrii ya kwanza mwaka moja, na wote wamesoma online 🤣Sawa anakula
Sawa anakula maisha hata wasiojua kusoma wanakula maisha pia issue alifaulu au alibumba?? Kwani Mbowe hali maisha uliposema alifeli?!
Lete evidencembowe na hayati Mrema wamehitimu digrii ya kwanza mwaka moja, na wote wamesoma online 🤣
kua mgeni katika siasa za Tanzania sa zingine ni usumbufu, but sii mbaya,Lete evidence
Mwenyekiti wenu alipata div gani form4 mbona hutaki kujibu 😄 🤣 😂 😆.??!!kua mgeni katika siasa za Tanzania sa zingine ni usumbufu, but sii mbaya,
sheria ilibadilishwa na kulazimu mgombea urais awe na degree, na hao wangwana hawakua nazo, hali hiyo ikawalazimu wafanye kila liwezekanalo ili wapate degree ili kigezo hicho kisiwe changamoto tena kwao mbeleni 🐒
Jibu swaliandika uzi maalumu wadau wakueleze gentleman,
hata hivyo,
kwa mujibu wa sheria, mgombea urais Tanzania lazima awe na elimu kuanzia degree moja 🐒