Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Tume ina mapungufu yake, lakini mapungufu hayo siyo yanayoletwa hapa na Zitto pamoja na Hamad. Mtu kutolewa kwa madai ya kushindwa kukidhi sheria ni jambo linalotakiwa lilalamikiwe tofauti kabisa na wanavyolileta wenyewe hapa. Kwa mfano waje na sentensi kama "Msimamizi wa Uchaguzi amesema mgombea wetu si raia wakati ni raia halali" siyo kusema wamewekewa pingamizi ambavyo siyo kweli, au kusema wametolewa kwa sababu za kipuuzi bila kuzitaja.

Hiyo ndio sababu waliyosema hao walioenguliwa au unasema wewe ??
 
Mbona Magufuli naye aliwekewa pingamizi; mgombea anawekewa pingamizi, anapewa taarifa ya maandishi kuhusu pingamizi lile, analijibu, na uamuzi kutolewa. Halafu tafuta habari vizuri utagundua kuwa Zanzibar kulikuwa na pingamizi moja tu na lilijibiwa na aliyewekewa likapangulia. Hao wengine ni kwa sababu hawakukidhi masharti ya kisheria, lakini wanakuja kudanganya kuwa eti waliwekewa mapingamizi hewa, badala ya kutaja mapungufu ya kisheria waliyosababisha waenguliwe.


Unao ushahidi wa hichi unachokisema ???
 
Hii nimeipata hapo kwenye Gazeti la ZanzibarLeo online. Huyu mzee anaposema kuwa wasimamizi wametoka bara ni usalama wa Taifa na wametumwa na Magufuli wakati mwingine ni kusensitize watu kutaka machafuko ya bure tu; halafu ndiyo ile ila ya ubaguzi wa watu wa bara. Aisha Nahboub Juma na Abuubakar Hassan Chumu ni wazenji pure. Anasema kuwa kumi wamenguliwa kwa kutotimiza masharti, ila kuna mmoja tu aliyekuwa amewekewa pingamizi na ameweza kuyapangua pingamizi hilo.

Taarifa zilizoanza kuja hapa nyingi zilikuwa siyo za ukweli; Zito alianza eti wagombea wote 18 wa ACT huko Pemba wameenguliwa wakati taarifa rasmi haisemi hivyo. Ndiyo maana nimekuwa nasisitiza tupatiwe taarifa rasmi siyo kudakia maneno ya wanasiasa tu.




View attachment 1553736
Kuna tofauti kati ya Unguja na Pemba. Huu mfano ulioutoa ni kutoka Unguja sio Pemba.
Amandla....
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
Ingekuwa hawajakata rufaa wasingesema wanasubiri maamuzi ya Tume. Na kama wanachama wa vyama pinzani wamesema kuwa wao hawajaweka mapingamizi basi pingamizi hizo zimewekwa na wasimamizi wa uchaguzi au zimewekwa kwa kutumia fomu za kughushi. Wanachofanya wanachama/wapenzi wa chama cha ACT-WAZALENDO ni kutoa tahadhari kwa taasisi yenye mamlaka ni kuwa hawatakubali kuenguliwa kwa kuonewa. Kama wataenguliwa itakuwa ni wajibu wa NEC kuifahamisha na kuihakikishia jamii kuwa uamuzi wao uliongozwa na sheria na taratibu zilizopo na sio vinginevyo.

Amandla...
 
kama ulivyosema ni kuwa "imedhaniwa kuwa wamewekewa mapingamizi na wagombea wenzao." Huenda hawakuwekewa mapingamizi na wagombea wenzao bali kuna sababu nyingine za kisheria ambazo hawakukidhi na hizo ndizo hatujaambiwa. Kwanza kukiwa na mapingamizi huwa wanaambiwa kuwa kuna pingamizi hili kutoka kwa mgombea fulani, hebu tlitolee melezo yako; siyo kwama unakatwa tu.
what are you talking about, unaambiwa wameenguliwa kwa barua za wagombea wa ccm ambao wamekuja kukana, wewe unataka ku assume huenda kulikuwa na sababu zingine, kuwa ccm hakufanyi uwe na akili zaidi kuliko kuwa opposition, nchi yetu sote mitazamo tu ndio tofauti, arghh!
 
Kwa maandishi wamejibu hawakumuekea pingamizi mgombea yeyote yule wa ACT wazalendo,huo au hayo yaliyojiri ni mzigo wao tume ya Taifa ya uchaguzi na sio wagombea wa CCM.

Sasa ninaloliona ni CCM kukimbia mauti maana Pemba hawacheki na mtu katika kutafuta haki yao,hawaogopi kauli za Tanzania ni nchi ya amani wala kauli za Baba wataifa alituachia nchi yenye utulivu na amani na inahitaji kulindwa zinazopendwa sana kutumiwa na wakuu wa polisi na wakuu wa CCM,wanasema wanaojificha chini ya kauli hizo watafute pa kwenda kuzitumia sio Pemba. kauli hizo zitafaa pale ambapo haki inatendeka.

Imekuwa ni kawaida wakuu wa polisi kumtaja Mwalimu Nyerere kwa kisingizio cha kulinda amani hawamsemi wala kumtaja kwa ajili ya kulinda haki,huyo Mwalimu Nyerere yupi wanaemtaja ?

Hivi hawa wakuu wa polisi huko kulinda kwao haki ndio wanaona wayafanyayo CCM ni sawa ? Kuenguliwa na kuondolewa wagombea kwa visa kama hivyo hapo wanategemea wananchi watulie kwa kuogopa kuvunja amani ? Tanzania nzima hakuna hata CCM mmoja alienguliwa na tume ya uchaguzi na zaidi utasikia Polisi mnatumika kusaidia kuengua na mnawaogopa CCM kama miungu yenu,inawezekana mkawaogopa kwa sababu ndio wanaowashusha na kuwapandisha vyeo,mmesahau kuwa nyinyi ni kwa ajili ya wananchi wote bila ya kujali itikadi zao za vyama kama kuetetea muwatetee wote. Kama hilo hamuliwezi basi hamfai kuwemo katika jeshi hilo,kinachosomeka ni kuwa nyinyi ni mapandikizi ya CCM ndani ya Jeshi hilo.

Watu kama nyinyi linapotokea la kutokea ndio wa mwanzo kukamatwa kwa kuwa ndio asasi inayotoa sapoti kubwa kwa CCM katika kipindi hiki cha uchaguzi,mnawasaidia bila kificho,ijapokuwa sio wote,kuna vipenzi vya Mungu hao hawana muhali na wanatekeleza majukumu yao ipasavyo,ingawa mwisho wake hukutwa na matatizo ya fitna.

Polisi haswa wakuu wa Polisi na iwe wapo hapo kama mapandikizi ya CCM au wamefikia hapo kwa weledi wao,ni bora muelewe sio polisi wote,wala usalama wote wala majeshi yote yanaishobokea CCM,wako wengine ni wapenzi wa vyama vingine na wapo wasio na upande wowote,wapo ndugu zao wapo upinzani na wao wanaliangalia zoezi hili la uchaguzi kwa kina na wanafuatilia kwa ukaribu kama walivyo wananchi wengine. Inakuwaje polisi anaefyetua risasi kwenye maandamano ya vyama vya upinzani inafikia anajulikana kwa jina ?

CCM walioandika barua kukana kuwa hayo mapingamizi yaliyotumia majina yao kuwa wao ndio walioandika na kuweka mapingamizi hayo wanastahili pongezi kubwa sana sana,wameonyesha uungwana wa kiwango cha juu na imani yao katika kupata haki kwa ridhaa za wananchi bila ya kusaidiwa na Chama kufanya udanganyifu.Wamekataa ushindi wa haramu maana mshahara atakaopata atakula yeye na familia yake kwa ushindi wa haramu itakuwa wanakula haramu kwa muda wote,sasa uharamu unawarudia waliotayarisha mapingamizi ya uwongo
Pemba will not surrender to CCM never.
Jifunzeni kujaza fomu vizuri.
 
Sipendi malalamishi we ukijua mpuuzi fulani kahusika kumuengua mtu wetu tafuteni ni mtu Kijiji gani mnaenda kumuengua mama yake au baba yake huko atokako uone Kama watapokea maelekezo ya kingese haya
Hapana mkuu, wazazi tusiwahusishe tutakuwa tunawaonea maana kwa Pemba si aghalabu kumkuta mzazi yuko upinzani. Dawa ni kuwagusa wao wenyewe ama watoto wao au wake zao na hapo baada ya kuwakosa wenyewe! Wakikatwa vichwa wasimamizi wawili watatu haki ya nani hawatakubali kupokea maelekezo ya kijingakijinga!
 
Unao ushahidi wa hichi unachokisema ???
Hujui kuwa Magufuli na Lipumba waliwekewa pingamizi na Lissu; kuhusu hizo taarifa nilizoweka zimetoka kwa wasimamizi wa uchaguzi Zanzibar na wakatoa na majina ya waliopitishwa kugombea. Mpaka sasa ni kumi tu ambao hawakukidhi matakwa ya sheria, na mmoja aliyekuwa amewekewa pingamizi yeye amelipangua. Hiyo ndiyo lugha waliyotumia, sasa kama Maalim anajua wameonewa basi atueleze sababu alizaoabiwa kuhusu kuenguliwa kwao; siyo kupiga kelele tu. Wasimamizi wa uchaguzi wamesema tu kuwa hawakukidhi matakwa ya sheria, kwa hiyo sote hatujui ni sheria zipi hawakukidhi.

Hiyo ndio sababu waliyosema hao walioenguliwa au unasema wewe ??

Kwa vile tumeambia ni kutokukidhi sheria, sababu zipo nyingi; hapo nilikuwa natoa mfano tu ambao Maalim anaweza kutuarifu, nimetumia mfano wa uraia siyo kwamba ndiyo sababu iliyotumika kwa sababu mpaka sasa pande zote mbili hazijasema zaidi ya tamko hilo la wasimamizi wa uchaguzi, na malalamiko ya ACT
 
Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.
Wewe jifanye kujua! Hivi unawajua Wapemba wewe?
 
Kuna tofauti kati ya Unguja na Pemba. Huu mfano ulioutoa ni kutoka Unguja sio Pemba.
Amandla....
Basi kama matokeo ya pemba hayajatangazwa; kwa nini kuwe na kelele? Pale waliandika matokeo ya awali, yaani bado kuna mengine yanakuja lakini kelele zimekuwa nyingi sana. Taarifa kamili zikija tutazijadili lakini siyo kuongea speculations tu.
 
Kwa maandishi wamejibu hawakumuekea pingamizi mgombea yeyote yule wa ACT wazalendo,huo au hayo yaliyojiri ni mzigo wao tume ya Taifa ya uchaguzi na sio wagombea wa CCM.

Sasa ninaloliona ni CCM kukimbia mauti maana Pemba hawacheki na mtu katika kutafuta haki yao,hawaogopi kauli za Tanzania ni nchi ya amani wala kauli za Baba wataifa alituachia nchi yenye utulivu na amani na inahitaji kulindwa zinazopendwa sana kutumiwa na wakuu wa polisi na wakuu wa CCM,wanasema wanaojificha chini ya kauli hizo watafute pa kwenda kuzitumia sio Pemba. kauli hizo zitafaa pale ambapo haki inatendeka.

Imekuwa ni kawaida wakuu wa polisi kumtaja Mwalimu Nyerere kwa kisingizio cha kulinda amani hawamsemi wala kumtaja kwa ajili ya kulinda haki,huyo Mwalimu Nyerere yupi wanaemtaja ?

Hivi hawa wakuu wa polisi huko kulinda kwao haki ndio wanaona wayafanyayo CCM ni sawa ? Kuenguliwa na kuondolewa wagombea kwa visa kama hivyo hapo wanategemea wananchi watulie kwa kuogopa kuvunja amani ? Tanzania nzima hakuna hata CCM mmoja alienguliwa na tume ya uchaguzi na zaidi utasikia Polisi mnatumika kusaidia kuengua na mnawaogopa CCM kama miungu yenu,inawezekana mkawaogopa kwa sababu ndio wanaowashusha na kuwapandisha vyeo,mmesahau kuwa nyinyi ni kwa ajili ya wananchi wote bila ya kujali itikadi zao za vyama kama kuetetea muwatetee wote. Kama hilo hamuliwezi basi hamfai kuwemo katika jeshi hilo,kinachosomeka ni kuwa nyinyi ni mapandikizi ya CCM ndani ya Jeshi hilo.

Watu kama nyinyi linapotokea la kutokea ndio wa mwanzo kukamatwa kwa kuwa ndio asasi inayotoa sapoti kubwa kwa CCM katika kipindi hiki cha uchaguzi,mnawasaidia bila kificho,ijapokuwa sio wote,kuna vipenzi vya Mungu hao hawana muhali na wanatekeleza majukumu yao ipasavyo,ingawa mwisho wake hukutwa na matatizo ya fitna.

Polisi haswa wakuu wa Polisi na iwe wapo hapo kama mapandikizi ya CCM au wamefikia hapo kwa weledi wao,ni bora muelewe sio polisi wote,wala usalama wote wala majeshi yote yanaishobokea CCM,wako wengine ni wapenzi wa vyama vingine na wapo wasio na upande wowote,wapo ndugu zao wapo upinzani na wao wanaliangalia zoezi hili la uchaguzi kwa kina na wanafuatilia kwa ukaribu kama walivyo wananchi wengine. Inakuwaje polisi anaefyetua risasi kwenye maandamano ya vyama vya upinzani inafikia anajulikana kwa jina ?

CCM walioandika barua kukana kuwa hayo mapingamizi yaliyotumia majina yao kuwa wao ndio walioandika na kuweka mapingamizi hayo wanastahili pongezi kubwa sana sana,wameonyesha uungwana wa kiwango cha juu na imani yao katika kupata haki kwa ridhaa za wananchi bila ya kusaidiwa na Chama kufanya udanganyifu.Wamekataa ushindi wa haramu maana mshahara atakaopata atakula yeye na familia yake kwa ushindi wa haramu itakuwa wanakula haramu kwa muda wote,sasa uharamu unawarudia waliotayarisha mapingamizi ya uwongo
Pemba will not surrender to CCM never.


Maendeleo hayana vyama!
 
Wewe jifanye kujua! Hivi unawajua Wapemba wewe?
ni walalamikaji sana hata pasipo na sababu? Katika makosa makubwa kwa viongozi ni kuwaaminisha watu wako kuwa wao wanaonewa tu. Bbaadaye wanaweza kukata tamaa kujishughulisha na lolote wakiamini wanaonewa tu au kujikua wankuwa wavunjifu wa sheria pas na sababu ya maana.
 
Ji ni walalamikaji sana hata pasipo na sababu? Katika makosa makubwa kwa viongozi ni kuwaaminisha watu wako kuwa wao wanaonewa tu. Bbaadaye wanaweza kukata tamaa kujishughulisha na lolote wakiamini wanaonewa tu au kujikua wankuwa wavunjifu wa sheria pas na sababu ya maana.
Waambie watu wako kwa Pemba wanacheza na moto.
 
Basi kama matokeo ya pemba hayajatangazwa; kwa nini kuwe na kelele? Pale waliandika matokeo ya awali, yaani bado kuna mengine yanakuja lakini kelele zimekuwa nyingi sana. Taarifa kamili zikija tutazijadili lakini siyo kuongea speculations tu.
Sio speculations. Wasimamizi wa uchaguzi Pemba wameishatoa maamuzi yao kuhusu nani anastahili kugombea ubunge na nani hastahili. Katika maeneo mengi wasimamizi hao wameamua kuwa wagombea wa ACT-Wazalendo hawastahili na ACT-Wazalendo wamekata rufaa kupinga maamuzi hayo. Ni haki yao kuufahamisha umma kuwa wamekata rufaa na mategemeo yao kuwa haki itatendeka. Kuwataka wasilalamikie maamuzi yaliyofanyika hadi yote yatoke ni kama kumwambia mtu asilalamike mtu anapomkata kidole bali asubiri mpaka pale atakapomkata kichwa.

Amandla...
 
Mi nadhani kwakuwa dola imeamua kutotenda haki mchana kweupee basi walioonewa wadili na ndugu za watesi wao ndio suluhisho ili kuliponya taifa kuliko kumwaga damu ya maelfu wasio na hatia mnamtafuta mke/mume/mtoto wa afisa wa nec mnamalizana nae wakifanyiwa hata watatu tuu huu upumbavu utakoma punde.


Tume inadanganya haina uhalali wa kuendesha uchaguzi.
Uchaguzi uhairishwe iundwe tume nyingine huru.
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
Mgombea hana kosa lolote, unamuengua mtu kwa uhuni tu. Halafu eti aliyeenguliwa aanze kupoteza muda wa kukata rufaa. Huo ujinga Watanzania tuukatae.

Tume ni jukumu lao kuhakikisha wasimamizi ni watu thabiti, wenye hekima, dhamira njema na uwezo. Wameyaweka mashetani kuwa wasimamizi wa uchaguzi, na wanajua ni shetani. Hayo mashetani hayakemewi, hayaonywi, hayazuiwi, hayaondolewi wala kuadhibiwa. Yanaachwa yafanye mambo yote ya ushetani kwa uhuru, halafu eti wagombea wapoteze muda wao kukatia rufaa maamuzi ya kishetani yaliyofanywa na hawa wakala wa shetani. HAPANA.

Kama Tume haitaki kuwaondoa mashetani kusimamia uchaguzi, wananchi wayaondoe haya mashetani kwa namna yoyote inayowezekana. Tutaendelea kuruhusu watu waendawazimu kuichezea haki ya wananchi wetu mpaka lini?

Wananchi wayaadhibu vikali haya mashetani yanayovuruga haki za wapiga kura. Kumwadhibu mhalifu, ni kazi takatifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo upumb.avu kwa sasa waachiwe CCM wenyewe. Mgombea hana kosa lolote, unamuengua mtu kwa uhuni tu. Halafu eti aliyeenguliwa aanze kupoteza muda wa kukata rufaa. Huo ujinga Watanzania tuukatae.

Tume ni jukumu lao kuhakikisha wasimamizi ni watu thabiti, wenye hekima, dhamira njema na uwezo. Wameyaweka mashetani kuwa wasimamizi wa uchaguzi, na wanajua ni shetani. Hayo mashetani hayakemewi, hayaonywi, hayazuiwi, hayaondolewi wala kuadhibiwa. Yanaachwa yafanye mambo yote ya ushetani kwa uhuru, halafu eti wagombea wapoteze muda wao kukatia rufaa maamuzi ya kishetani yaliyofanywa na hawa wakala wa shetani. HAPANA.

Kama Tume haitaki kuwaondoa mashetani kusimamia uchaguzi, wananchi wayaondoe haya mashetani kwa namna yoyote inayowezekana. Tutaendelea kuruhusu watu waendawazimu kuichezea haki ya wananchi wetu mpaka lini?

Wananchi wayaadhibu vikali haya mashetani yanayovuruga haki za wapiga kura. Kumwadhibu mhalifu, ni kazi takatifu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tume inadanganya mchana kweupe je siku ya kuhesabu kura Usiku si ndio balaa .haina uhalali wa kuendesha uchaguzi.
Uchaguzi uhairishwe iundwe tume nyingine huru.
 
kama ulivyosema ni kuwa "imedhaniwa kuwa wamewekewa mapingamizi na wagombea wenzao." Huenda hawakuwekewa mapingamizi na wagombea wenzao bali kuna sababu nyingine za kisheria ambazo hawakukidhi na hizo ndizo hatujaambiwa. Kwanza kukiwa na mapingamizi huwa wanaambiwa kuwa kuna pingamizi hili kutoka kwa mgombea fulani, hebu tlitolee melezo yako; siyo kwama unakatwa tu.
Kwa vyovyote hakuna sababu zozote. Uchaguzi haujaanza kufanyika leo kwenye awamu hii. Kwa ujumla huu utawala ni utawala wa shetani.

Kwani walifanya nini kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa? Hao wagombea na hivi vyama vya siasa vimetua leo toka Jupiter?

Kama awamu zote watu hujaza fomu na kugombea, kwa nini leo watu wote wadakwe na upumbavu kiasi cha kushindwa kujaza fomu.

Wajinga wengi wamejaa CCM, kwa nini hakuna hata mmoja toka CCM aliyeenguliwa? Kwa nini mambo mengi ya hovyo yametokea awamu hii?

Kwa sasa inaonekana Taifa lipo chini ya laana. Mtawala akilaanika, Taifa hulaanika pia. Kuna mabaya yanatokota kuliandama Taifa kutokana na watawala ambao ni mawakala wa shetani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.
Hakuna hoja ya kuwaengua wagombea wa upinzani tu. Usiamini kuwa hata huku bara, kuwaengua wagombea 95% wa upinzani wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, kulikuwa na sababu za msingi.

Huwezi kumwondoa Rais Magufuli kwenye haya maovu yote. Lazima ndiye mhusika mkuu kwa 100%. Uchaguzi haujaanza kufanyika leo, kwa nini mambo yote ya hovyo kuhusiana na uchaguzi, haki za watu, uhuru wa watu, uhuru wa vyombo vya habari, yote yatokee kwenye utawala wake tu?

Lakini zingatia pia kauli zake zile za ajabu ajabu za kuwaagiza wasimamizi wa uchaguzi wasiwatangaze washindi wagombea kupitia vyama vya upinzani, hata kama wameshinda!! Hivi Taifa hili limewahi kuwa na kiongozi aliyewahi kutoa kauli kama hiyo?

Kwa hiyo tunajua chanzo cha haya maovu yote. Kila mmoja anajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom