Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.

Acha kujitoa ufahamu kila kitu kiko wazi na labda anayejitia upofu yeye mwenyewe

Magufuli mwenyewe ameshatangaza wazi kuwa hawezi kuteua wakurugenzi awalipe mishahara na magari kisha watangaze wapinzani kushinda.

Hizi figisu kutoka kwa wakurugenzi ni sehemu ya kutekeleza agizo.

Magufuli ana uwezo wa kuagiza wakugurugenzi wake na NEC watende haki, akikaa kimya tunajua na yeye anahusika kwenye michezo hii ya dhulma dhidi ya wananchi!
 
Amejikita kukosoa dosari za upinzani na kwamba wafuate sheria nilimuuliza katika wagombea wote bara na visiwani mbona ni opposition ndo wanaonekana kukosea na hatimae kuenguliwa?

Rejea uchaguzi wa serikalini za mitaa, haya yanayojitokeza sasa ndo yaleyale ya 2019 kwenye serikali za mitaa. Kihistoria kila tunapofanya chaguzi kuna upuuzi fulani unafanywa na tume, na kuna hawa wanaojitoa akili kuona makosa ya upande mmoja ni aibu kubwa hii.

Huyu ni wakupuuzwa tu.

Huyo mzee apuuzwe, yuko biased, hayuko balanced anadhani michezo hii ya kuvuruga chaguzi katika utawala huu imeanza mwaka huu, wakati tuliyaona

1. Kuanzia kununua wapinzani njaa ili waunge mkono juhudi na bila haya kutumia fedha kodi za wananchi kurudia chaguzi unnecessarily

2. Chaguzi za marudio kufanyika kwa uhuni mtupu, tuliona hadi polisi wanabeba masanduku ya kura

3. Kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa ndo aibu ya karne, wanaengua takriban 95% ya wagombea wa upinzani

4. Leo wanaanza kuleta figisu, uharibifu wa uchaguzi waziwazi kabisa, watu wanaporwa fomu chini ya mtutu wa bunduki, wakurugenz wanafunga ofisi wapinzani washindwe kurudisha fomu, yanaandaliwa maingamizi feki

Nakuunga mkono, Huyu mzee Apuuzwe!
 
Huyo mzee apuuzwe, yuko biased, hayuko balanced anadhani michezo hii ya kuvuruga chaguzi katika utawala huu imeanza mwaka huu, wakati tuliyaona

1. Kuanzia kununua wapinzani njaa ili waunge mkono juhudi na bila haya kutumia fedha kodi za wananchi kurudia chaguzi unnecessarily

2. Chaguzi za marudio kufanyika kwa uhuni mtupu, tuliona hadi polisi wanabeba masanduku ya kura

3. Kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa ndo aibu ya karne, wanaengua takriban 95% ya wagombea wa upinzani

4. Leo wanaanza kuleta figisu, uharibifu wa uchaguzi waziwazi kabisa, watu wanaporwa fomu chini ya mtutu wa bunduki, wakurugenz wanafunga ofisi wapinzani washindwe kurudisha fomu, yanaandaliwa maingamizi feki

Halafu huyu mzee anakuja hapa JF kutetea upumbavu na Ukhanithi

Nakuunga mkono, Huyu mzee Apuuzwe!
Kuna muda kama anakua neutral Ila ukipitia maandishi yake unagundua side yake. Hajifichi na yuko radhi kutetea huo upuuzi eti kwa mgongo wa kufuata sheria. Tume itende haki kinyume na hapo ni uhanithi kama alivyosema Maalim Seif.

Kuna jambo litawakuta hawatakaa waamini by the time wanataka upinzani ukae mezani wajadiliane nao muda hautokua upande wa wadhalimu.
 
Tume ina mapungufu yake, lakini mapungufu hayo siyo yanayoletwa hapa na Zitto pamoja na Hamad. Mtu kutolewa kwa madai ya kushindwa kukidhi sheria ni jambo linalotakiwa lilalamikiwe tofauti kabisa na wanavyolileta wenyewe hapa. Kwa mfano waje na sentensi kama "Msimamizi wa Uchaguzi amesema mgombea wetu si raia wakati ni raia halali" siyo kusema wamewekewa pingamizi ambavyo siyo kweli, au kusema wametolewa kwa sababu za kipuuzi bila kuzitaja.
yaani wewe unaamini maneno ya tume ya uchaguzi ya ccm lakini huamini maneno ya upinzani sasa tukueleweje
 
Hujui kuwa Magufuli na Lipumba waliwekewa pingamizi na Lissu; kuhusu hizo taarifa nilizoweka zimetoka kwa wasimamizi wa uchaguzi Zanzibar na wakatoa na majina ya waliopitishwa kugombea. Mpaka sasa ni kumi tu ambao hawakukidhi matakwa ya sheria, na mmoja aliyekuwa amewekewa pingamizi yeye amelipangua. Hiyo ndiyo lugha waliyotumia, sasa kama Maalim anajua wameonewa basi atueleze sababu alizaoabiwa kuhusu kuenguliwa kwao; siyo kupiga kelele tu. Wasimamizi wa uchaguzi wamesema tu kuwa hawakukidhi matakwa ya sheria, kwa hiyo sote hatujui ni sheria zipi hawakukidhi.



Kwa vile tumeambia ni kutokukidhi sheria, sababu zipo nyingi; hapo nilikuwa natoa mfano tu ambao Maalim anaweza kutuarifu, nimetumia mfano wa uraia siyo kwamba ndiyo sababu iliyotumika kwa sababu mpaka sasa pande zote mbili hazijasema zaidi ya tamko hilo la wasimamizi wa uchaguzi, na malalamiko ya ACT


Magufuli na Lipumba waliwekewa pingamizi na Lisu , hilo tunajua hebu tuambie nani kawawekea pingamizi hawa wagombea ubunge wa ACT kutoka Pemba ???? ni Tume au nani ???
 
Hujui kuwa Magufuli na Lipumba waliwekewa pingamizi na Lissu; kuhusu hizo taarifa nilizoweka zimetoka kwa wasimamizi wa uchaguzi Zanzibar na wakatoa na majina ya waliopitishwa kugombea. Mpaka sasa ni kumi tu ambao hawakukidhi matakwa ya sheria, na mmoja aliyekuwa amewekewa pingamizi yeye amelipangua. Hiyo ndiyo lugha waliyotumia, sasa kama Maalim anajua wameonewa basi atueleze sababu alizaoabiwa kuhusu kuenguliwa kwao; siyo kupiga kelele tu. Wasimamizi wa uchaguzi wamesema tu kuwa hawakukidhi matakwa ya sheria, kwa hiyo sote hatujui ni sheria zipi hawakukidhi.



Kwa vile tumeambia ni kutokukidhi sheria, sababu zipo nyingi; hapo nilikuwa natoa mfano tu ambao Maalim anaweza kutuarifu, nimetumia mfano wa uraia siyo kwamba ndiyo sababu iliyotumika kwa sababu mpaka sasa pande zote mbili hazijasema zaidi ya tamko hilo la wasimamizi wa uchaguzi, na malalamiko ya ACT
kwa mara nyengine we mpuuzi wa ccm msikilize maalim kaeleza hizo wanazosema hawakukidh matakwa ya kisheria
 
Hao wagombea wa CCM Kama wao hawahusiki wajitoe kwenye uchaguzi majimbo yabaki wazi
 
[
Wewe jamaa na elimu yako yote hii bado unatetea ujinga huu.

ukabila na ukanda unawamaliza
QUOTE="Kichuguu, post: 36532919, member: 348"]
Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.
[/QUOTE]
 
yaani wewe unaamini maneno ya tume ya uchaguzi ya ccm lakini huamini maneno ya upinzani sasa tukueleweje
Nishaweka msimamo, huyo ni waku puuzwa. Unafahamu kujadiliana na mtu ambaye ana mahaba na tume+JPM regime inabidi uwe mnafiki nami kwenye hili unafiki sitaki.
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
wewe ni extremely useless, i thought ungeonyesha kifungu ambacho kinachosema

1. Tume inawezakumwengua mgombea bila sababu na hakuna kuhoji wala kupinga.
2. Tume inaweza foji barua za pingamizi ili kumwondoa mgombea.
Kama kifungu hicho hakipo basi hiyo ref uliyoonyesha hapo sio mahali pake.
Hivi kufoji mibarua na misahihi sio jinai? Watanzania tuache kutete ujinga, mpaka sasa hiyo tume imekosa kabisa uhalali wa kuwepo!
 
wewe ni extremely useless, i thought ungeonyesha kifungu ambacho kinachosema

1. Tume inawezakumwengua mgombea bila sababu na hakuna kuhoji wala kupinga.
2. Tume inaweza foji barua za pingamizi ili kumwondoa mgombea.
Kama kifungu hicho hakipo basi hiyo ref uliyoonyesha hapo sio mahali pake.
Hivi kufoji mibarua na misahihi sio jinai? Watanzania tuache kutete ujinga, mpaka sasa hiyo tume imekosa kabisa uhalali wa kuwepo!
Wewe ndiyo bure kabisa kwa sababu ni kama unaoengea kwa kutumia uji kichwani; hakuna anayesema Tume imemwengua mtu bila sababu, kwanza hawakuenguliwa na tume bali walienguliwa na Msimamizi wa Uchaguzi, pili wasimamizi wa uchaguzi majimbo ya Pemba hawajatanganza majina yaliyopitishwa (mpaka jana walikuwa bado hawajapitisha). Wagombea wote wana haki ya kukata rufaa kwenye tume, lakini kabla hawajapeleka malalamiko yao kwenye tume wanapiga kelele.

haklafu unaona jinsi ulivyo mpungufu, unasema tume imefoji barua wakati swala lao halijafika kwenye tume, halafu pia hujaonyesha kama kweli kuna barua za kufoji bali unaungaunga maneno ya kusikia tu. Mtu yeyote akianza kuongeza kwa kwa jazba, ubongo huwa unakosa nguvu kabisa.
 
kwa mara nyengine we mpuuzi wa ccm msikilize maalim kaeleza hizo wanazosema hawakukidh matakwa ya kisheria
Nimemsikia; ameongea bila kuwa na uhakikia akitumia neno "nasikia" wengine kumi wameruhusiwa lakini bado nane.
 
[
Wewe jamaa na elimu yako yote hii bado unatetea ujinga huu.

ukabila na ukanda unawamaliza
QUOTE="Kichuguu, post: 36532919, member: 348"]
Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.
[/QUOTE]

Unapoongea bila objectivity utafikia conclusion za aina yako; mimi ninaangalia mambo kwa mapana na merfu siyo kiufinyu kama wewe. Ukisikia kuwa wameenguliwa unapiga kelel kabla hujawa na uhakika kama yanayosemwa ni kweli au vipi. hata maalim angekuwa na uhakika angesema wazi wazi lakini alikuwa anaogea kwa vitisho na kuhisi kuonewa bila kufafanua ni nini kimetokea; mwishoni alisema tu anasikia wengine wameruhusiwa lakini bado wengine hawajaruhusiwa.
 
Kama tume inadanganya haina uhalali wa kuendesha uchaguzi.
Uchaguzi uhairishwe iundwe tume nyingine huru.
Hilo lingekuwa wazo zuri endapo likafanyika kwa nchi nzima ya Tanzania.Kiukweli Tume ya Uchaguzi yaani NEC/ZEC haikidhi kuitwa Huru kwa vigezo vyovyote halali.Imeundwa kimkakati na imejaa Makada wa CCM Mpya na hata baadhi ya watumishi wa idara nyeti.Haiwezi kutenda haki.
Tusipotezeane muda kubishania jambo la dhahiri namna hii kama mazuzu wanaocheza kombolela.
Tunataka Katiba na ndani yake Tume Huru na Taasisi za Serikali ziundwe upya.Hili lifanyike kabla/ikibidi baada ya uchaguzi.Nina uhakika Watanzania Mara hii wameamua kuyapata mabadiliko kwa kura zao au vinginevyo ikibidi.Watawala wawe makini!
 
Modified Jecha Style?
Tume ina mapungufu yake, lakini mapungufu hayo siyo yanayoletwa hapa na Zitto pamoja na Hamad. Mtu kutolewa kwa madai ya kushindwa kukidhi sheria ni jambo linalotakiwa lilalamikiwe tofauti kabisa na wanavyolileta wenyewe hapa. Kwa mfano waje na sentensi kama "Msimamizi wa Uchaguzi amesema mgombea wetu si raia wakati ni raia halali" siyo kusema wamewekewa pingamizi ambavyo siyo kweli, au kusema wametolewa kwa sababu za kipuuzi bila kuzitaja.
 
Hiyo minong’ono ya kwamba kapewa sumu ipo Mkuu maana Mkapa alishaanza kuwa mwiba kwa huyo anayejiita KICHAA kwa kupinga kuendelea kuwepo madarakani baada ya awamu mbili na pia kutaka uwepo wa Tume huru ya Uchaguzi.

Hivi kifo cha Mzee hakiwezi kuwa kimesababishwa na haya madai??
 
Back
Top Bottom