Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Tume ina mapungufu yake, lakini mapungufu hayo siyo yanayoletwa hapa na Zitto pamoja na Hamad. Mtu kutolewa kwa madai ya kushindwa kukidhi sheria ni jambo linalotakiwa lilalamikiwe tofauti kabisa na wanavyolileta wenyewe hapa. Kwa mfano waje na sentensi kama "Msimamizi wa Uchaguzi amesema mgombea wetu si raia wakati ni raia halali" siyo kusema wamewekewa pingamizi ambavyo siyo kweli, au kusema wametolewa kwa sababu za kipuuzi bila kuzitaja.
Jambo la muhimu sasa ni kuhakikisha hao wagombea wa CCM wanabeba mshahara wa dhambi za CCM na wasimamizi wao wa uchaguzi. Maana ukweli ni kuwa ushetani wote unaofanywa na tume ni kwaajili ya kuhakikisha hao wagombea wa CCM wanapita bila kupingwa.

Sasa njia sahihi ni kudili na hao waliopitishwa bila kupingwa.

Wapiga kura wasiingie kwenye mtego wa kusema kuwa wagombea wa CCM hawahusiki, hata wakawatenga na uovu. Hao ndio wawe victims wa kwanza wa uonevu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
Sheria hizi zimewekwa kulinda masilahi ya CCM kwahiyo dawa ni watu kufanya maamuzi magumu na wapemba watawaonyesha.
 
Hii nimeipata hapo kwenye Gazeti la ZanzibarLeo online. Huyu mzee anaposema kuwa wasimamizi wametoka bara ni usalama wa Taifa na wametumwa na Magufuli wakati mwingine ni kusensitize watu kutaka machafuko ya bure tu; halafu ndiyo ile ila ya ubaguzi wa watu wa bara. Aisha Nahboub Juma na Abuubakar Hassan Chumu ni wazenji pure. Anasema kuwa kumi wamenguliwa kwa kutotimiza masharti, ila kuna mmoja tu aliyekuwa amewekewa pingamizi na ameweza kuyapangua pingamizi hilo.

Taarifa zilizoanza kuja hapa nyingi zilikuwa siyo za ukweli; Zito alianza eti wagombea wote 18 wa ACT huko Pemba wameenguliwa wakati taarifa rasmi haisemi hivyo. Ndiyo maana nimekuwa nasisitiza tupatiwe taarifa rasmi siyo kudakia maneno ya wanasiasa tu.




View attachment 1553736
We jamaa acha kusumbua watu fuatilia vizuri social media ujuwe kinachozungumzwa. Maalim alisema waliwaengua 18 baadae nane wakabaki 10. Na juzi wameshamtoa mmoja hivyo sasa bado 9.
 
Ni mpumbavu pekee ndiye atakayeamini kuna hoja ya kuwaengua wagombea wa upinzani tu. Ukiwa mwendawazimu utaamini kuwa hata huku bara, kuwaengua wagombea 95% wa upinzani wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, kulikuwa na sababu za msingi. Lazima uwe mpumbavu wa kupitiliza kuliamini hilo.

Huwezi kumwondoa Rais Magufuli kwenye haya maovu yote. Lazima ndiye mhusika mkuu kwa 100%. Uchaguzi haujaanza kufanyika leo, kwa nini mambo yote ya hovyo kuhusiana na uchaguzi, haki za watu, uhuru wa watu, uhuru wa vyombo vya habari, yote yatokee kwenye utawala wake tu?

Lakini zingatia pia kauli zake zile za ajabu ajabu za kuwaagiza wasimamizi wa uchaguzi wasiwatangaze washindi wagombea kupitia vyama vya upinzani, hata kama wameshinda!! Hivi Taifa hili limewahi kuwa na kiongozi aliyewahi kutoa kauli kama hiyo?

Kwa hiyo tunajua chanzo cha haya maovu yote. Kila mmoja anajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Kichuguu pamoja na kuwa amepata exposure kwa kuishi miongoni mwa nchi zilizostaarabika, jamaa bado ni kiazi sana.

Niliwahi kujadili naye hapa issue ya Lissu kufanya kampeni kabla ya muda nikajiridhisha kuwa uelewa wake ni mdogo na leo naona anarudia upupu huo huo hapa, anachojua yeye ni kunakili vifungu vya sheria asivyoelewa hata tafsiri yake.
Mbaya zaidi eti anaamini hii tume na ccm wanaweza kutenda haki.

Ukitazama tangu mchakato wa uchaguzi uanze utagundua kuwa haya hayatokei kwa bahati mbaya. Issue ya mapingamizi inakuja baada ya plan zingine kufeli.

Ilianza kwa kuwanyima fomu wagombea, ikafatiwa na kukataa kuzipokea fomu wanaporejesha, kuwateka wagombea, kuwabambika kesi zisizo na dhamana ili wasirejeshe fomu na baada ya yote haya kufeli kwa baadhi ya wagombea, plan ya mwisho imekuwa ni mapingamizi.
 
Basi kama matokeo ya pemba hayajatangazwa; kwa nini kuwe na kelele? Pale waliandika matokeo ya awali, yaani bado kuna mengine yanakuja lakini kelele zimekuwa nyingi sana. Taarifa kamili zikija tutazijadili lakini siyo kuongea speculations tu.
Mwenendo na historia ya CCM kwenye uchaguzi inafahamika. Hulka ya Rais Magufuli kwenye masuala ya demokrasia, uhuru wa watu na haki za raia inafahamika.

Bila kusimama kidete, ukasubiria haki kwenye utawala wa awamu hii, ni sawa na kusubiria embe chini ya mchongoma.

Jambo la muhimu ni kutoa amri kwa Tume, ndani ya siku 5, wagombea wote nchi nzima wawe wamerudishwa isipokuwa wale waliojiondoa wenyewe. Nje ya hapo hakuna uchaguzi. Ujinga na primitivity iliyoletwa na utawala wa awamu hii, tuukatae kwa nguvu zetu zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama ulivyosema ni kuwa "imedhaniwa kuwa wamewekewa mapingamizi na wagombea wenzao." Huenda hawakuwekewa mapingamizi na wagombea wenzao bali kuna sababu nyingine za kisheria ambazo hawakukidhi na hizo ndizo hatujaambiwa. Kwanza kukiwa na mapingamizi huwa wanaambiwa kuwa kuna pingamizi hili kutoka kwa mgombea fulani, hebu tlitolee melezo yako; siyo kwama unakatwa tu.
Mkuu nakuona unapata tabu sana kutetea hizi mambo. Barua ya/ za waliodaiwa kuweka pingamizi zipo na wamekanusha kuweka hayo mapingamizi, ila wewe unasema huenda kuna sababu ingine. Hiyo sababu ingine unayodhani huenda ikawepo ni ipi??
 
Kwahiyo tume unaijua vizuri na hizo habari za Zanzibar Leo ndio unazisimamia? Kwamba mapungufu ya kisheria yamejitokeza kwa wagombea upinzani tu kama ilivyokua bara?
Tatizo anachagua upande mi namsoma muda mrefu sana, ni mtu aliyejipambanua na katika kujipambanua anasahau sio yeye mwenye macho na masikio ya kufahamu yanayojiri Zanzibar.
 
what are you talking about, unaambiwa wameenguliwa kwa barua za wagombea wa ccm ambao wamekuja kukana, wewe unataka ku assume huenda kulikuwa na sababu zingine, kuwa ccm hakufanyi uwe na akili zaidi kuliko kuwa opposition, nchi yetu sote mitazamo tu ndio tofauti, arghh!
Hiyo hoja ya kudai huenda kulikua na sababu nyingine ndo amejikita nayo. Nimemuuliza hiyo sababu ingine ni ipi ilihali hao wanaodaiwa kuweka pingamizi wamekataa tena kwa maandishi? Kutetea hizi mambo inabidi uwe na akili za pwagu
 
Mkuu nakuona unapata tabu sana kutetea hizi mambo. Barua ya/ za waliodaiwa kuweka pingamizi zipo na wamekanusha kuweka hayo mapingamizi, ila wewe unasema huenda kuna sababu ingine. Hiyo sababu ingine unayodhani huenda ikawepo ni ipi??
Huyu Kichuguu ni wa kumpuuza tu muacheni aandike ujinga wake yamkini analipwa kwa alifanyalo.

Mgombea anataarifiwa na tume kuwa amewekewa pingamizi na mgombea fulani ambaye naye anakana kuweka pingamizi tena kwa barua then yeye anatueleza upumbavu kuwa inawezekana kuna sababu nyingine. Yaani tume yenyewe imetoa hiyo taarifa kisha yeye anajaribu kutuaminisha vinginevyo.

Mtu anayenukuu taarifa kutoka Zanzibar leo kama credible source ya kucross check integrity ya taarifa iliyoanzia ccm ni moja kwa moja hajielewi. Kwa maneno mengine haelewi hilo gazeti mmiliki wake ni nani. Sasa mtu wa namna hii anapaswa kupuuzwa tu.
 
Ji ni walalamikaji sana hata pasipo na sababu? Katika makosa makubwa kwa viongozi ni kuwaaminisha watu wako kuwa wao wanaonewa tu. Bbaadaye wanaweza kukata tamaa kujishughulisha na lolote wakiamini wanaonewa tu au kujikua wankuwa wavunjifu wa sheria pas na sababu ya maana.
"Makosa makubwa ya kiuongozi ni kuwaaminisha watu wanaonewa"... mkuu mbona mambo yako wazi hivi wenye makosa yanayopelekea kuenguliwa ni opposition tu? Kwamba kati ya wagombea wote bara na visiwani opposition ndo wenye dosari.

Sasa kama wenye dhamana ambao ni tume ndo walalamikiwa wakuu na viongozi wa opposition wanaona hili kuna ubaya gani wakiwaambia wafuasi wao? Ati wewe unadai ni makosa kuwaaminisha watu wanaonewa, enyi watetezi wa mfumo kandamizi kuweni na roho ya ubinadamu huku duniani tunapita tu.
 
Tume ina mapungufu yake, lakini mapungufu hayo siyo yanayoletwa hapa na Zitto pamoja na Hamad. Mtu kutolewa kwa madai ya kushindwa kukidhi sheria ni jambo linalotakiwa lilalamikiwe tofauti kabisa na wanavyolileta wenyewe hapa. Kwa mfano waje na sentensi kama "Msimamizi wa Uchaguzi amesema mgombea wetu si raia wakati ni raia halali" siyo kusema wamewekewa pingamizi ambavyo siyo kweli, au kusema wametolewa kwa sababu za kipuuzi bila kuzitaja.


Wewe unafanya kazi tume mkuu? Taarifa au majibu ya NEC/ZEC umeisikia na kuiona?

Kitu nakubaliana na wewe ni wanasiasa wetu kuwa makini na kufuatilia mambo kabla ya kuyatolea taarifa.

Tatizo ni hapo tume inapokua haiaminiki.
 
Na hao wanaokata wagombea wawe makini maana kama wanaenda kinyume na sheria na wenzao siyo wajinga watakusanya ushahidi baada ya uchaguzi waonekane walioshinda hawakushinda kihalali ije igeukie kwao, siku zote kabla hujafanya maamuzi unatakiwa uangalie Kama upo sahihi.
 
Huyu Kichuguu pamoja na kuwa amepata exposure kwa kuishi miongoni mwa nchi zilizostaarabika, jamaa bado ni kiazi sana.

Niliwahi kujadili naye hapa issue ya Lissu kufanya kampeni kabla ya muda nikajiridhisha kuwa uelewa wake ni mdogo na leo naona anarudia upupu huo huo hapa, anachojua yeye ni kunakili vifungu vya sheria asivyoelewa hata tafsiri yake.
Mbaya zaidi eti anaamini hii tume na ccm wanaweza kutenda haki.

Ukitazama tangu mchakato wa uchaguzi uanze utagundua kuwa haya hayatokei kwa bahati mbaya. Issue ya mapingamizi inakuja baada ya plan zingine kufeli.

Ilianza kwa kuwanyima fomu wagombea, ikafatiwa na kukataa kuzipokea fomu wanaporejesha, kuwateka wagombea, kuwabambika kesi zisizo na dhamana ili wasirejeshe fomu na baada ya yote haya kufeli kwa baadhi ya wagombea, plan ya mwisho imekuwa ni mapingamizi.
Fact.
 
Huyu Kichuguu ni wa kumpuuza tu muacheni aandike ujinga wake yamkini analipwa kwa alifanyalo.

Mgombea anataarifiwa na tume kuwa amewekewa pingamizi na mgombea fulani ambaye naye anakana kuweka pingamizi tena kwa barua then yeye anatueleza upumbavu kuwa inawezekana kuna sababu nyingine. Yaani tume yenyewe imetoa hiyo taarifa kisha yeye anajaribu kutuaminisha vinginevyo.

Mtu anayenukuu taarifa kutoka Zanzibar leo kama credible source ya kucross check integrity ya taarifa iliyoanzia ccm ni moja kwa moja hajielewi. Kwa maneno mengine haelewi hilo gazeti mmiliki wake ni nani. Sasa mtu wa namna hii anapaswa kupuuzwa tu.
Ni wakupuuzwa hakika.
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
nani kaweka hayo mapingamizi
 
Hii nimeipata hapo kwenye Gazeti la ZanzibarLeo online. Huyu mzee anaposema kuwa wasimamizi wametoka bara ni usalama wa Taifa na wametumwa na Magufuli wakati mwingine ni kusensitize watu kutaka machafuko ya bure tu; halafu ndiyo ile ila ya ubaguzi wa watu wa bara. Aisha Nahboub Juma na Abuubakar Hassan Chumu ni wazenji pure. Anasema kuwa kumi wamenguliwa kwa kutotimiza masharti, ila kuna mmoja tu aliyekuwa amewekewa pingamizi na ameweza kuyapangua pingamizi hilo.

Taarifa zilizoanza kuja hapa nyingi zilikuwa siyo za ukweli; Zito alianza eti wagombea wote 18 wa ACT huko Pemba wameenguliwa wakati taarifa rasmi haisemi hivyo. Ndiyo maana nimekuwa nasisitiza tupatiwe taarifa rasmi siyo kudakia maneno ya wanasiasa tu.




View attachment 1553736
Gazeti Zanzibar leo ni gazeti la CCM, wengi wetu tunalifahamu. Ni gazeti la mrengo fulani... ulitegemea liandike nini?
 
Ni wakupuuzwa hakika.
Mtu anayejaribu kujifanya anatetea haki kwa kutumia sheria mbovu ni mpumbavu tu, kama ni muumini wa haki angewashauri hao ccm kwanza walete katiba ya maana inayoweka misingi ya haki.

Jitu linahangaika kutetea tume ambayo imeteuliwa na ccm tena kwa kuweka makada ambao kwa uwazi wamewahi kuomba ridhaa za kugombea kwa tiketi ya ccm. Ccm hiyo hiyo ambayo at a certain point ni miongoni mwa wagombea kwenye chaguzi zinazo simamiwa na tume hiyo hiyo utarajie watende haki.

Magufuli alitamka hadharani kuwa awape gari, awalipe mishahara kisha wamtangaze mpinzani kashinda?

Haya yanayotokea unaona ni wasimamizi wa uchaguzi wanajaribu kujihakikishia ajira zao kwa kuhakikisha wanawaengua wapinzani mapema kabisa ili kutii agizo la Magu.
Kichuguu
 
No, mama yake au baba yake kwa kweli no, Wao sio waliotenda kosa na hawahusiki...tusiende huko jamani!
Hata me sipendi tufike huko, ila kuna kila dalili tukafika. Nadhani ni wakati muafaka hata hao ndugu zao wawasihi ili kunusuru usalama wao, muda ni sasa hawa watu wakichoka hatutaweza kuwawekea mpaka wa visasi vyao.

Cha ajabu taifa lina wanaojiita wazee, viongozi wa kiroho nk wote wapo kimya wakishuhudia nchi ikivurugwa badala yake wamekazana kuhubiri amani bila kuwaasa watawala kutenda haki.
 
kama ulivyosema ni kuwa "imedhaniwa kuwa wamewekewa mapingamizi na wagombea wenzao." Huenda hawakuwekewa mapingamizi na wagombea wenzao bali kuna sababu nyingine za kisheria ambazo hawakukidhi na hizo ndizo hatujaambiwa. Kwanza kukiwa na mapingamizi huwa wanaambiwa kuwa kuna pingamizi hili kutoka kwa mgombea fulani, hebu tlitolee melezo yako; siyo kwama unakatwa tu.
Na kwa nini iwe "huenda..."? Kwani mambo haya si inabidi yawekwe wazi kwa mujibu wa sheria? Hio ficha ficha maana yake nini?
 
Mtu anayejaribu kujifanya anatetea haki kwa kutumia sheria mbovu ni mpumbavu tu, kama ni muumini wa haki angewashauri hao ccm kwanza walete katiba ya maana inayoweka misingi ya haki.

Jitu linahangaika kutetea tume ambayo imeteuliwa na ccm tena kwa kuweka makada ambao kwa uwazi wamewahi kuomba ridhaa za kugombea kwa tiketi ya ccm. Ccm hiyo hiyo ambayo at a certain point ni miongoni mwa wagombea kwenye chaguzi zinazo simamiwa na tume hiyo hiyo utarajie watende haki.

Magufuli alitamka hadharani kuwa awape gari, awalipe mishahara kisha wamtangaze mpinzani kashinda?

Haya yanayotokea unaona ni wasimamizi wa uchaguzi wanajaribu kujihakikishia ajira zao kwa kuhakikisha wanawaengua wapinzani mapema kabisa ili kutii agizo la Magu.
Kichuguu
Amejikita kukosoa dosari za upinzani na kwamba wafuate sheria nilimuuliza katika wagombea wote bara na visiwani mbona ni opposition ndo wanaonekana kukosea na hatimae kuenguliwa?

Rejea uchaguzi wa serikalini za mitaa, haya yanayojitokeza sasa ndo yaleyale ya 2019 kwenye serikali za mitaa. Kihistoria kila tunapofanya chaguzi kuna upuuzi fulani unafanywa na tume, na kuna hawa wanaojitoa akili kuona makosa ya upande mmoja ni aibu kubwa hii.

Huyu ni wakupuuzwa tu.
 
Back
Top Bottom