Wagombea wa Upinzani wamewekwa Ofisi ya Wilaya siku 3 kwa mahojiano, Masasi

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Viongozi mliopo humu, mjue na mtambue ambacho kinaendelea halmashauri ya wilaya ya Masasi. Wagombea wa upinzani wamekalishwa siku ya tatu mfululizo pasipo maelekezo ya aina yeyote.

Hii inaonesha kwa namna gani DAS na watu wake wanaendelea kuhujumu wagombea.
Watu wanahojiwa karibu masaa matatu bila sababu za msingi.
Inaonesha lengo ni kuwakomoa wagombea
 
Ni Mfululizo na sio mfururizo, alafu kwenye kiswahili hatuna masaa tuna saa.
Siku nyingine usirudie tena
 
Yote hayo inesemwa ni sehemu ya maonyesho ya ujinga /upummbavu wa ngozi nyeusi
 
Ni maelekezo binafsi ya Mchengerwa.
 
Sad
 
4R za mama
 
Ni maelekezo binafsi ya Mchengerwa.
Mchengerwa,Wanu, Abdul na mamake nchi itakapokuwa kwenye umwagaji damu WATAPANDA JET kukimbia nchi, CHAWA, Wapinzani, Watanzania wenye mapenzi mema tutangulize mama yetu TANZANIA kwanza kuliko Chama.

Ni wakati sasa wa kukataa USHENZI huu, kumkataa mama Abdul na WANUFAIKA wake wote.


Mama Abdul akifanikiwa miaka mitano tena, Tanzania itakuwa hovyo kwenye masuala mbalimbali,shime watanzania , TUKATAE USHENZI huu🤔🤔🤔
 
Wakomae tu, 4R zinafanya kazi kuwafahamu zaidi wasijekuwa wahamiaji haramu
 
Ni Mfululizo na sio mfururizo, alafu kwenye kiswahili hatuna masaa tuna saa.
Siku nyingine usirudie tena
Umeona hilo kosa hukuona binaadam mwenzio anavyowatesa wenziwe? Halafu akishastaafu kazi anawaomba hao hao wamsemee anapodhulumiwa nyumba au shamba lake
 
CCM hawana akili kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…