Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Ni Mfululizo na sio mfururizo, alafu kwenye kiswahili hatuna masaa tuna saa.Viongozi mliopo umu, mjue na mtambue ambacho kinaendelea halmashauri ya wilaya ya Masasi wagombea wa upinzani wamekarishwa siku ya tatu mfurulizo pasipo maelekezo ya aina yeyote.
Hii inaonesha kwa namna gani DAS na watu wake wanaendelea kuhujumu wagombea.
Watu wanahojiwa karibu masaa matatu bila sababu za msingi.
Inaonesha lengo ni kuwakomoa wagombea
Cha msingi umeelewa alichokusudiaNi Mfululizo na sio mfururizo, alafu kwenye kiswahili hatuna masaa tuna saa.
Siku nyingine usirudie tena
Yote hayo inesemwa ni sehemu ya maonyesho ya ujinga /upummbavu wa ngozi nyeusiViongozi mliopo umu, mjue na mtambue ambacho kinaendelea halmashauri ya wilaya ya Masasi wagombea wa upinzani wamekarishwa siku ya tatu mfurulizo pasipo maelekezo ya aina yeyote.
Hii inaonesha kwa namna gani DAS na watu wake wanaendelea kuhujumu wagombea.
Watu wanahojiwa karibu masaa matatu bila sababu za msingi.
Inaonesha lengo ni kuwakomoa wagombea
Mwambie huyoCha msingi umeelewa alichokusudia
Umeelewa lakini?Ni Mfululizo na sio mfururizo, alafu kwenye kiswahili hatuna masaa tuna saa.
Siku nyingine usirudie tena
Ni maelekezo binafsi ya Mchengerwa.Viongozi mliopo humu, mjue na mtambue ambacho kinaendelea halmashauri ya wilaya ya Masasi. Wagombea wa upinzani wamekalishwa siku ya tatu mfululizo pasipo maelekezo ya aina yeyote.
Hii inaonesha kwa namna gani DAS na watu wake wanaendelea kuhujumu wagombea.
Watu wanahojiwa karibu masaa matatu bila sababu za msingi.
Inaonesha lengo ni kuwakomoa wagombea
SadViongozi mliopo humu, mjue na mtambue ambacho kinaendelea halmashauri ya wilaya ya Masasi. Wagombea wa upinzani wamekalishwa siku ya tatu mfululizo pasipo maelekezo ya aina yeyote.
Hii inaonesha kwa namna gani DAS na watu wake wanaendelea kuhujumu wagombea.
Watu wanahojiwa karibu masaa matatu bila sababu za msingi.
Inaonesha lengo ni kuwakomoa wagombea
4R za mamaViongozi mliopo humu, mjue na mtambue ambacho kinaendelea halmashauri ya wilaya ya Masasi. Wagombea wa upinzani wamekalishwa siku ya tatu mfululizo pasipo maelekezo ya aina yeyote.
Hii inaonesha kwa namna gani DAS na watu wake wanaendelea kuhujumu wagombea.
Watu wanahojiwa karibu masaa matatu bila sababu za msingi.
Inaonesha lengo ni kuwakomoa wagombea
Mchengerwa,Wanu, Abdul na mamake nchi itakapokuwa kwenye umwagaji damu WATAPANDA JET kukimbia nchi, CHAWA, Wapinzani, Watanzania wenye mapenzi mema tutangulize mama yetu TANZANIA kwanza kuliko Chama.Ni maelekezo binafsi ya Mchengerwa.
Umeona hilo kosa hukuona binaadam mwenzio anavyowatesa wenziwe? Halafu akishastaafu kazi anawaomba hao hao wamsemee anapodhulumiwa nyumba au shamba lakeNi Mfululizo na sio mfururizo, alafu kwenye kiswahili hatuna masaa tuna saa.
Siku nyingine usirudie tena
CCM hawana akili kabisa.Viongozi mliopo humu, mjue na mtambue ambacho kinaendelea halmashauri ya wilaya ya Masasi. Wagombea wa upinzani wamekalishwa siku ya tatu mfululizo pasipo maelekezo ya aina yeyote.
Hii inaonesha kwa namna gani DAS na watu wake wanaendelea kuhujumu wagombea.
Watu wanahojiwa karibu masaa matatu bila sababu za msingi.
Inaonesha lengo ni kuwakomoa wagombea