Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe
We jidanganye tu 😂Hili ni kosa kubwa sana wamefanya ccm hyo majimbo tunayarudisha yalipokua mwanzo
Mwalimu Ryoba yeye hakugombea?Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerew
Mwezi mchanga huyo anajulikanaVp Pdidy uzi uzi wetu huu mpya wa betting tena wameuondoa?
Anaweza akateuliwa
Tuonyeshe huo uzi. Make wabongo hamchelewi kuanza kuchukua pointNiliwahi Ku predict kwamba wengi wa waliounga juhudi watarudishwa majina yao ili kuwatia moyo
Jee umepata kijiuliza Jimbo la Segerea John Mrema alishika nagasi ya ngapi? leo ndio mgombea wa Chadema. kawaida tuu kwenye mavyama.Najiuliza Katambi,Gwajima walipata kura pungufu kwenye maoni lakini wameingizwa kwa force...hakuna uwezekano wa wagombea hawa kudidimia zaidi katika mchuano?maana ni kama watu wasiowapigia kura lazima wataongezeka sasa vile wamebandikiwa mtu ambaye si chaguo lao
Ngoja kimeguke kwa faida ya upinzani hasa CHADEMA. Lakini viongozi wa CHADEMA wajiandae kujibu tuhuma zilizokuwa zinazitoa na hao wahamiaji dhidi ya M/Kiti kwa kuwa wanazo siri nyingi kuliko anayobwatuka mgombea wao wa Urais.Hapa naiona dalili ya chama kumeguka
gwajiboya kashashindwa Mdee tena 2020Wangemsimamisha Nani mkuu!
Mpaka muda huu Mdee anatota Kwa majimaji, jasho halikwishi, anaagiza maji kila mara, mambo ya mikopo ayaweke Sawa
Mimi najiuliza, GWAJIMA watamfunga nini ili asiongee vile? Maana Kati ya watu waongeaji ni Gwajima, ukimpa dk moja ya kujieleza utamwachia hata kama anamakosa ya jinai
Mwenye chama ndio ameshaamua ambaye hataki aondoke.Hapa naiona dalili ya chama kumeguka
Kwa wafia chama wenzetu kweli inauma sana!! Ni kamanumefiwa na mwanao!!Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali aliyelia Bungeni waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerew
Mkuu mtoa hoja...ili hoja yako iwe nzuri zaidi ungetuwekea a matokeo yao kura za maoni katika kila jimbo husika... ingependeza zaidi kuonyesha uhalisia wa hoja yako.Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali aliyelia Bungeni waliorudishwa ni pamoja na
Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerew