Uchaguzi 2020 Wagombea waliohamia CCM wapitishwa na chama kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Wagombea waliohamia CCM wapitishwa na chama kugombea Ubunge

Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Makundi - Ukerewe

Lijua kali kawakosea nini sasa na kesho anaitwa mahakamani.
 
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali alielia bungeni.waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerew
Mwalimu Ryoba yeye hakugombea?
 
Chadema mmeacha kujadili mafuriko mmeanza kujadili teuzi za Ccm[emoji2][emoji2]
 
Najiuliza Katambi,Gwajima walipata kura pungufu kwenye maoni lakini wameingizwa kwa force...hakuna uwezekano wa wagombea hawa kudidimia zaidi katika mchuano?maana ni kama watu wasiowapigia kura lazima wataongezeka sasa vile wamebandikiwa mtu ambaye si chaguo lao
Jee umepata kijiuliza Jimbo la Segerea John Mrema alishika nagasi ya ngapi? leo ndio mgombea wa Chadema. kawaida tuu kwenye mavyama.
 
Hapa naiona dalili ya chama kumeguka
Ngoja kimeguke kwa faida ya upinzani hasa CHADEMA. Lakini viongozi wa CHADEMA wajiandae kujibu tuhuma zilizokuwa zinazitoa na hao wahamiaji dhidi ya M/Kiti kwa kuwa wanazo siri nyingi kuliko anayobwatuka mgombea wao wa Urais.
 
Wangemsimamisha Nani mkuu!

Mpaka muda huu Mdee anatota Kwa majimaji, jasho halikwishi, anaagiza maji kila mara, mambo ya mikopo ayaweke Sawa

Mimi najiuliza, GWAJIMA watamfunga nini ili asiongee vile? Maana Kati ya watu waongeaji ni Gwajima, ukimpa dk moja ya kujieleza utamwachia hata kama anamakosa ya jinai
gwajiboya kashashindwa Mdee tena 2020
 
Upinzani mnapiga kelel kuliko...

Naona Magu kacheza na akili zenu hapa mnajifariji na kutema sumu mkijidai ccm damu na wajumbe[emoji3][emoji3][emoji3].

Icho kikosi walichopanga upinzani kuchomoka siyo rahisi.
 
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali aliyelia Bungeni waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerew
Kwa wafia chama wenzetu kweli inauma sana!! Ni kamanumefiwa na mwanao!!

Miaka 5 unakipigamia chama jimboni ufe wewe chama kipone..kura za maoni unaongoza vibaya...anakuja mvamizi wa chama anapata kura 2 afu eti anabebwa...aisee inaumaa!!
 
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali aliyelia Bungeni waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerew
Mkuu mtoa hoja...ili hoja yako iwe nzuri zaidi ungetuwekea a matokeo yao kura za maoni katika kila jimbo husika... ingependeza zaidi kuonyesha uhalisia wa hoja yako.
 
Wenye Uchungu na CCM wamekatwa Waliokuwa Wanaitukana CCM Wateuliwa Poleni Wafia Ccm
 
Back
Top Bottom