Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Chuki binafsi tu inakusumbua. Hata kuandika kunakusumbua .. Lissu yuko vizuri compare to other 14 .Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo.Lusu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote
Pili Lisu alitoka bila kusema watanzania nawaombeni kura zenu.Aliondioka tu utafikiri anaandoka kwenye kibao cha uraisi ya mkwewe hakuomba kura
Kwani wenu unaamini atashindajeAtashinda kwa kura zipi?
Kwa zile kura m29 za Tume.Atashinda kwa kura zipi?
Eti nawe unamkosoa Lissu ?!Haa...yaani ameendelea kulialia,kulalamika na kunung'unika basi. Bado anahoji kwanini mmenunua ndege,kwanini mnajenga Barabara njia 8, kwanini mnajenga flyover...? etc . Wakati majibu ya maswali hayo ni simple mambo hayo yanafanywa na matajiri..! Hivyo TZ ni nchi Tajiri....!
Mlihamasishana msiende kuboresha taarifa zenu kwenye daftari la mpiga kura wakati nec imetangaza!Kwa zile kura m29 za Tume.
Polee sana kilaza Yehodaya. Kwa uwezo aliouonesha Lissu kwenye kipindi cha dk 45 Jana najua ni lazima mchanganyikiwe. Nakuelewa kwa kweli kwa huu ujinga ukioleta humu, ni lazima mchanganyikiwe. Lissu kabadirisha mawazo ya watanzania wengi sana jana. Na ni ukweli anaenda kupata kura nyingi sana za kumuingiza Ikulu mwaka huu hapo tarehe 28 October. Maombi yangu ni kuwa Mungu ambariki na amwezeshe kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 kwa Jina Lake Takatifu Yesu Kristo. Amina!Chadema mna kazi ya ku m coach mgombea wenu hasa kwenye eneo la kunadi sera za Chadema yuko very weak
ndugu uko serious na hayo maneno unayoyasema kweli? jpm ni imara kuliko unavyofikiri lakini nafikiri unatania tu lakini kama uko serious basi utakuwa na matatizo huko kichwaniKaka lissu hahitaji kujinadi kwenye TV huyo kashinda kwa kishindo maana mpinzani wake ambaye ni Magufili ni dhaifu sana,
Wala tume iko huru kabisa.Hebu muulize,maana tume inafanya kazi kwa maelekezo kutoka ccm,huyo mpinzani atashindaje kwa mgano?
Yehodaya , Wewe mkereketwa unamchukia Lissu kwa uwezo wake. Lakini kumbuka mgombea wako , juzi amesema anampenda na angependa ampe kazi serikalini. Sasa wewe unapata wapi jeuri ya kuhoji uwezo wa Lissu ?!Chadema mna kazi ya ku m coach mgombea wenu hasa kwenye eneo la kunadi sera za Chadema yuko very weak
Kaka lissu hahitaji kujinadi kwenye TV huyo kashinda kwa kishindo maana mpinzani wake ambaye ni Magufili ni dhaifu sana,
HashindiKwani wenu unaamini atashindaje
Mlihamasishana msiende kuboresha taarifa zenu kwenye daftari la mpiga kura wakati nec imetangaza!
Huyo Lisu wenu atapigiwa kura na mawe?
Hao wapiga kura mili 29 wote robo tatu mzima ni wana ccm maana wajumbe wao walihamasisha kupitia nyumba kwa nyumba,
Mwaka huu Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura.
Duh una moyo mgumu hadi raha,yaani unaamini kabisa maji yanaweza panda mlima?Kaka lissu hahitaji kujinadi kwenye TV huyo kashinda kwa kishindo maana mpinzani wake ambaye ni Magufili ni dhaifu sana,
Pole sana kijana!Hao wapiga kura mili 29 wote robo tatu mzima ni wana ccm maana wajumbe wao walihamasisha kupitia nyumba kwa nyumba,
===
Baada ya Kumsikiliza Lissu wote hawa watamchagua Lissu
Tunataka watendaji sio waongeaji.Jiwe akihojiwa kwenye TV yeyote na mtangazaji yeyote (hata akiwa wa SIBUKA) itakuwa ni aibu ya mwaka kwa pumba atazotema. Refer mara ya mwisho kapigwa maswali na press serious kule Uganda, ilikuwa aibu tupu, hadi M7 akawa anaingilia kati. Na mara ya mwisho hapa TZ kuongea na press akaishia tu kusema Mayalla kwao maana yake njaa. Kifupi mkuu mwenyekiti wenu uelewa wake una mashaka sana. Na hawezi kuomba kuhojiwa na press hata siku moja, labda ajirekodi akiongea uongo wake then press warushe. Hata Lowassa na afya yake mgogoro anamshinda, 2015 alipiga interview na press Makini sana BBC Swahili. Hebu wewe hapo assume tu Magu anahojiwa kwenye Hardtalk ya BBC!!!!