Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Clip ya Yale mahojiano, nitaipata wapi ?!Lissu ni zaidi ya mgombea, kile alichokifanya jana pale ITV ni kama mwalimu, aliefanya kazi ya kuwaelewesha wapiga kura wasiojua sera za chama chake, naamini wengi watakuwa wamemuelewa watampa kura zao, wewe mleta mada unahangaika tu.
Magu anafeli kote, utendaji na uongeaji. Msomi gani wa PhD anashindwa kupangilia point zake or majibu yake ya maswali?Tunataka watendaji sio waongeaji.
Wagombea wengine kina nani maana magufuli anaogopa mediaWagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo. Lissu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote.
Pili, Lissu alitoka bila kusema Watanzania nawaombeni kura zenu. Aliondoka tu utafikiri anaandoka kwenye kikao cha harusi ya mkwewe, hakuomba kura.
Hicho kipindi kilikuwa ni cha wagombea kuomba kura? Aliyemwalika alihitaji aende na sera? Riziki ya mtu i miguuni mwake. Kama ni #yeye2020 atabaki yeye tu hata kama haja kidhi vigezo vyako.Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo. Lissu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote.
Pili, Lissu alitoka bila kusema Watanzania nawaombeni kura zenu. Aliondoka tu utafikiri anaandoka kwenye kikao cha harusi ya mkwewe, hakuomba kura.