Uchaguzi 2020 Wagombea wengine mkienda kuhojiwa na Media msifanye kosa kama la Tundu Lissu, hakwenda na sera na hakuomba kura

Uchaguzi 2020 Wagombea wengine mkienda kuhojiwa na Media msifanye kosa kama la Tundu Lissu, hakwenda na sera na hakuomba kura

Lissu ni zaidi ya mgombea, kile alichokifanya jana pale ITV ni kama mwalimu, aliefanya kazi ya kuwaelewesha wapiga kura wasiojua sera za chama chake, naamini wengi watakuwa wamemuelewa watampa kura zao, wewe mleta mada unahangaika tu.
Clip ya Yale mahojiano, nitaipata wapi ?!
 
Kiukweli jamaa hajajipanga kisera na hata hoja zake hazina mashiko ni heri angegombea ubunge tu maana naona kama urais sio mda wake kwa sasa
 
Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo. Lissu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote.

Pili, Lissu alitoka bila kusema Watanzania nawaombeni kura zenu. Aliondoka tu utafikiri anaandoka kwenye kikao cha harusi ya mkwewe, hakuomba kura.
Wagombea wengine kina nani maana magufuli anaogopa media
 
Wagombea mkienda kuhojiwa vitu vya Television mwende na summary ya sera zote ukiulizwa sera some kwenye summary yako chapchap taja zote haraka imo kumpa nafasi mwandishi kukuhoji kwenye Hayo maeneo. Lissu alienda mikono mitupu anadhindea kutaja zote.

Pili, Lissu alitoka bila kusema Watanzania nawaombeni kura zenu. Aliondoka tu utafikiri anaandoka kwenye kikao cha harusi ya mkwewe, hakuomba kura.
Hicho kipindi kilikuwa ni cha wagombea kuomba kura? Aliyemwalika alihitaji aende na sera? Riziki ya mtu i miguuni mwake. Kama ni #yeye2020 atabaki yeye tu hata kama haja kidhi vigezo vyako.
 
Back
Top Bottom