Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Watanzania tuambiane ukweli mh rais alichoongea Jana na uhalisia uliopo uko mtaani majibu mnayo kazi kwetu akili za kuambiwa changanya na zako
 
Bashite ataanza na mzee wa liquid atasema popote alipo akamatwe
 
Kwa wehu wa hii nchi, na hapo bado. Maiti zitapanga msululu barabarani maana hata wanajeshi anaojivunia watapukutika na kuogopa kuziokota. UNLESS TUNABADILISHA HUU UHUNI WA KU HANDLE HII CATASTROPHE
 
kutokana na ukaidi wa wabongo, corona virus imeamia Tz, haiwezi kuisha kwa akili hizi za kubeti, za hawa wanao omba uthibitisho ndipo waamini kuwa corona inaweza kufanya maajabu, idiots nyinyi!
 
Kwa wehu wa hii nchi, na hapo bado. Maiti zitapanga msululu barabarani maana hata wanajeshi anaojivunia watapukutika na kuogopa kuziokota. UNLESS TUNABADILISHA HUU UHUNI WA KU HANDLE HII CATASTROPHE
Mke wa Billgate alikuwa anatuongea sisi?
 
Huu ugonjwa wa kutaka uthibitisho ushahidi wa kila kitu ni ugonjwa mpya katika Jukwaa hill.Mfano kama mtu aliyeleta taarifa hii ni mmoja wa waliotoroka apige picha mwisho ashikwe.Tuombe ushahidi kwenye vitu vinavyoweza kuthibitishwa.
Ushahidi muhimu,! We hujui tu watu wanavyokula matango pori kupitia social media siku hizi

Kiufupi hata hapa JF trust imeshuka sana. Kinachoharibu ni uchadema na uccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ndiyo matunda ya nchi za Afrika kuwekeza kwenye dini, uganga, uchawi na ujinga! Basi hizo dini, uganga na uchawi viokoe jahazi sasa!Lazima kila jamii iwekeze kwenye sayansi na tafiti, hakuna namna
 
Shida wahudumu wa Afya hawana PPE hivyo hawawezi kurisk maisha yao wakati viongozi wamejifungia manyumbani mwao.

Mafunzo ya kuhuduma waathirika hayana maana kama vitendea kazi PPE, madawa na ventilators hakuna so unategemea huduma watatoaje kwa mazingira ya namna hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe acha kukurupuka unataka uambiwe habari zipi, aliye kuambia tupo salama nani? Huoni corona inavyo sambaa hata kwa mfano wa nchi zingine?
Wewe hauko salama?

Una ushahidi wa ndugu, jirani au rafiki mwenye maambukizi aliyetoroka kituoni?

Unachukua hatua gani kulinda uhai wako, wa familia, jirani, ndugu, na marafiki zako?

UMOJA NI NGUVU
 
Mleta taarifa huyo huyo nae ka comment mara kibao anauliza kama habali ni za kweli, sasa aliandika vipi bila kwenda kuangalia kisha ndo aje kuandika, hum kuna wazushi sana , mpaka ifike October mutaandika mpaka bongo zenu zifumuke.
umepitia ITV?!
 
Wewe hauko salama?

Una ushahidi wa ndugu, jirani au rafiki mwenye maambukizi aliyetoroka kituoni?

Unachukua hatua gani kulinda uhai wako, wa familia, jirani, ndugu, na marafiki zako?

UMOJA NI NGUVU
watu mnapenda Ligi
yaani mpaka ITV wametangaza bado mnabisha tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…