Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Sasa kama hadi Piere liquid katoroka siitakuwa kashaingia bar
 
mabomu ya nyukilia yametegwa mitaani na very soon yanalipuka ...……...yaani apo mBio tuu ndiyo zitakazo tuokoa
 
Polisi pia wanawaogopa, wakiwasogelea wanaambukizwa.
Hiyo si hospitali tena ni mahabusu ya wahisiwa.
 
Sawa kama ni kweli, jikinge na fuata ushauri wa wataalamu. Mambo mengine Mungu anajua yeye
 
aibu yako[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…