Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Hizi ni propaganda nyingine tu zisizo na tija kwa jamii, Haiingilii akilini habari kama hii ikose hata uthibitisho wa Picha ya geti lililovunjwa...

Habari kama hizi ni za kupuuza, maana zimejaa chuki na kutia hofu watanzania..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mtoa post ni mfuasi mtiifu wa Zitto Kabwe. Usitarajie chochote cha maana kutoka kwake zaidi ya spinning stories.
 
Kuna taarifa zinasambaa ambapo inasemekana wagonjwa wa COVID-19 walikuwa wamelazwa hopitali ya AMANA wamevunja Geti na kutoroka.

Inasemekana hii ni kutokana na kutelekezwa bila ya kupatiwa huduma na kutelekezewa maiti hospitalini.

Mwenye update kamili atujuze mimi nimepata Clip za Audio nimeshindwa kuziweka hapa.

Nambiwa wanapanda magari sasa sijui wanarudi makwao au wanaenda wapi!?

Mungu atunusuru kwakweli.
---

UPDATES MWANANYAMALA

Wagonjwa waleta vurugu


Wagonjwa hao wa corona wamedai wamechoka kukaa hospitalini hapo na sasa wanapiga makelele waruhusiwe waondoke.

Chanzo: radio1 breaking news
hatari hii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeishaaaaa, tumeishaaaa, tumeishaaaaa, nawaambieni tumeishaaaa. 😭😭😭😭😭😭🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿
Hahahahaaaaaa mkuu acha woga tuko vitani ukiwa mwoga unawahi kusepa.
 
Leo wagonjwa wa corona inasemekana wamekimbia hospitalini amana chanzo kikidahi kuwa ni huduma mbovu walizokuwa wakipewa na kupelekea hofu kutanda huko jijini dar, inasemekana na pieree liquid ni miongoni mwa watu waliotoroka ,
Jamaa kakimbia spidi za kipchoge mwanariadha wa kenya🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20200423-145239.png
    Screenshot_20200423-145239.png
    120.7 KB · Views: 2
Maweeeee.......kwa hiyo jamaa wanasambaza korona Dar sasa hivi
 
Hizi ni propaganda nyingine tu zisizo na tija kwa jamii, Haiingilii akilini habari kama hii ikose hata uthibitisho wa Picha ya geti lililovunjwa...

Habari kama hizi ni za kupuuza, maana zimejaa chuki na kutia hofu watanzania..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Amana ukatuletee ukweli wenyewe
 
Pengine wamehamasika na hotuba ya mtukufu rais akiwahutubia wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ikulu ya Chato
Heri kuwahi kujifukiza kwa malimao kuliko kukaa bila huduma
 
Back
Top Bottom