waha wengi wametapakaa mikoa mbalimbali wakifanya biashara mbalimbaliWaha ni warundi wanaoishi Tanzania, na kinacho sababisha waonekane ni wengi Sana kigoma na Tanzania kiujumla ni vile wanaingia Kila siku kutoka Burundi na kujazana kigoma baadae wanapanda dar es salaam na mikoa mingine
Ni ujinga wa waafrika kugombania makabila. Haya makabila yapo kote na yana muingiliano sana. Wamasai wapo Kenya na TZ. Waha, warundi na wanyarwanda ni kitu kimoja. Waluo wapo Kenya na TZ, Wanyakyusa wapo Malawi na TZ. Wangoni wametoka kusini. Kuna jamii kama wameru/wairaq huko Eritrea na Ethiopia. Jina lenyewe Tanganyika chanzo chake ni Congo yani TZ yote ilibidi iwe Congo. The list is endless. Hamna kipya hapa.
Unachanganya kati ya tawala za kiserikari na mahusiano ya watu au muingiliano wa jamii.Kama ulizani umesikia yote !! si kweli
View attachment 2810568
Chanzo: Chronicles Rw
UCHAMBUZI!
Taarifa au Tetesi si hii ina ikweli kiasi gani??
Tuanze hapa
Karne ya 18 Pwani ya tanganika ilitawaliwa na mportugue ambaye alitawala pwan yote na baadae muarabu wa oman akamfurusha na kuikalia pwani ya tanganyika! hata hivo ukomo wake haukuhusisha maeneo ya ndani ya Tanganyika
Ujerumani ndio mkoloni wa kwanza kukalia eneo hili na kuliita Koloni la ujerumani
View attachment 2810796
Katika utawala wa mjerumani Rwanda na burundi zilikua Eneo la Tanganyika lililoitwa British East Africa kama inavoonikana kwenye raman.
Baada ya Vita ya kwanza Ujerumani ilipokonywa maeneo yake hivo Uingereza ilichukua eneo ambalo ujerumani mwaka 1920 ililikalia lakini haikuhusisha Rwanda na Burundi.
Hivo hakuna mahala sehemu yeyote ya tanganyika ishawai kuwa sehemu ya rwanda au burundi ila RWANDA NA BURUNDI zilikua sehemu ya tanganyika wakati wa utawala wa ujerumani mwaka tajwa hapo juu.
Ni lugha moja mkuu hata sisi wa kigoma tunaielewawarundi wanaongea kirundi mkuu
rwanda wanaongea kinyarwanda
Ndio maana ukiwa unaomba passport ukisema we ni mkigoma utaambiwa ulete mpaka kaburi la bibi wa shangazi yake mjomba....
Kagame anaweza kutamani hilo lakini uwezo huo hana. Kanchi kama mkoa tuHiyo kigoma yote muirudishe rwanda,Burundi na kongo
Ova
Ni lugha moja mkuu hata sisi wa kigoma tunaielewa
warundi wanaongea kirundi mkuu
rwanda wanaongea kinyarwanda
Unachanganya kati ya tawala za kiserikari na mahusiano ya watu au muingiliano wa jamii.
Ha, Twa, Hutu na Tutsi ni makabila yenye muingiliano mkubwa.
Ha na Hutu hata lugha zao zinashahabiana na salami yao ni Mwakeye.
Ila zilikuwa falme au tawala tofauti
Ndio maana kulikuwa na Urundi, Ruanda na Ujiji.
Kusema kabila la Ha ni wanyarwanda sio sawa ila kusema wapo Waha ni wanyarwanda inawezekana.
Leo hii Kuna wahutu ni Watanzania
Leo hii Kuna Watutsi ni Watanzania
Leo hii Kuna Watwa wachache ni Watanzania.
Ni ajabu huyu jamaa hajui Hilo.
Ni ajabu huyu jamaa hajui Hilo.
Wahangaza wa ngala si watusi
Watusi walio wengi ni warefu
Wahangaza wengi n wafupi
Yawezekana walitoka rwanda lakini si kutoka kabila la watusi
Ignorance ni kubwa Sana Tz..
Ina maana hakuna anaejua kuwa wakati Ujerumani wanatawala Tanganyika...Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika??
Waliposhindwa vita Ujerumani ndo Waingereza wakawapa Belgium...Rwanda na Burundi...
Halafu kulikuwa na kambi za wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi miaka ya 60...hivi ambapo karibu wakimbizi wote walihamia Tz kimoja..
Soon Zitto Kabwe atalikana kabila lake
Ila Zitto sio muha. Zitto ni mcongo.