Waha /Abaha ni Wanyarwanda?

Waha /Abaha ni Wanyarwanda?

Waha ni warundi wanaoishi Tanzania, na kinacho sababisha waonekane ni wengi Sana kigoma na Tanzania kiujumla ni vile wanaingia Kila siku kutoka Burundi na kujazana kigoma baadae wanapanda dar es salaam na mikoa mingine
waha wengi wametapakaa mikoa mbalimbali wakifanya biashara mbalimbali
 
Ni ujinga wa waafrika kugombania makabila. Haya makabila yapo kote na yana muingiliano sana. Wamasai wapo Kenya na TZ. Waha, warundi na wanyarwanda ni kitu kimoja. Waluo wapo Kenya na TZ, Wanyakyusa wapo Malawi na TZ. Wangoni wametoka kusini. Kuna jamii kama wameru/wairaq huko Eritrea na Ethiopia. Jina lenyewe Tanganyika chanzo chake ni Congo yani TZ yote ilibidi iwe Congo. The list is endless. Hamna kipya hapa.

Tufafanulie unaposema tanzania asili yake ni Congo!! unatumia ramani ya mwaka gani au kigezo gani!

Leo ni kuelimishana kidogo na kujibu hoja
 
Kama ulizani umesikia yote !! si kweli
View attachment 2810568
Chanzo: Chronicles Rw


UCHAMBUZI!
Taarifa au Tetesi si hii ina ikweli kiasi gani??
Tuanze hapa

Karne ya 18 Pwani ya tanganika ilitawaliwa na mportugue ambaye alitawala pwan yote na baadae muarabu wa oman akamfurusha na kuikalia pwani ya tanganyika! hata hivo ukomo wake haukuhusisha maeneo ya ndani ya Tanganyika

Ujerumani ndio mkoloni wa kwanza kukalia eneo hili na kuliita Koloni la ujerumani
View attachment 2810796

Katika utawala wa mjerumani Rwanda na burundi zilikua Eneo la Tanganyika lililoitwa British East Africa kama inavoonikana kwenye raman.
Baada ya Vita ya kwanza Ujerumani ilipokonywa maeneo yake hivo Uingereza ilichukua eneo ambalo ujerumani mwaka 1920 ililikalia lakini haikuhusisha Rwanda na Burundi.

Hivo hakuna mahala sehemu yeyote ya tanganyika ishawai kuwa sehemu ya rwanda au burundi ila RWANDA NA BURUNDI zilikua sehemu ya tanganyika wakati wa utawala wa ujerumani mwaka tajwa hapo juu.
Unachanganya kati ya tawala za kiserikari na mahusiano ya watu au muingiliano wa jamii.

Ha, Twa, Hutu na Tutsi ni makabila yenye muingiliano mkubwa.

Ha na Hutu hata lugha zao zinashahabiana na salami yao ni Mwakeye.

Ila zilikuwa falme au tawala tofauti
Ndio maana kulikuwa na Urundi, Ruanda na Ujiji.

Kusema kabila la Ha ni wanyarwanda sio sawa ila kusema wapo Waha ni wanyarwanda inawezekana.

Leo hii Kuna wahutu ni Watanzania
Leo hii Kuna Watutsi ni Watanzania
Leo hii Kuna Watwa wachache ni Watanzania.
 
It always starts as a simple altercation before it turns out to be a sticky situation..... Kagame anapima upepo imeanza russia/ukraune (crimea), israel/palestina (gaza) itakuja rwanda/tanzania (kigoma).
 
warundi wanaongea kirundi mkuu

rwanda wanaongea kinyarwanda

Their language is a Bantu language,[5] and is called the Ha language, also called Kiha, Ikiha or Giha. It is closely related to the Kirundi and Kinyarwanda spoken in neighbouring Burundi and Rwanda, and belongs to the Niger-Congo family of languages
 
Unachanganya kati ya tawala za kiserikari na mahusiano ya watu au muingiliano wa jamii.

Ha, Twa, Hutu na Tutsi ni makabila yenye muingiliano mkubwa.

Ha na Hutu hata lugha zao zinashahabiana na salami yao ni Mwakeye.

Ila zilikuwa falme au tawala tofauti
Ndio maana kulikuwa na Urundi, Ruanda na Ujiji.

Kusema kabila la Ha ni wanyarwanda sio sawa ila kusema wapo Waha ni wanyarwanda inawezekana.

Leo hii Kuna wahutu ni Watanzania
Leo hii Kuna Watutsi ni Watanzania
Leo hii Kuna Watwa wachache ni Watanzania.

Ni ajabu huyu jamaa hajui Hilo.
 
Ignorance ni kubwa Sana Tz..
Ina maana hakuna anaejua kuwa wakati Ujerumani wanatawala Tanganyika...Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika??
Waliposhindwa vita Ujerumani ndo Waingereza wakawapa Belgium...Rwanda na Burundi...

Halafu kulikuwa na kambi za wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi miaka ya 60...hivi ambapo karibu wakimbizi wote walihamia Tz kimoja..

Kweli kabisa. Kuna sehemu moja nilitembelea pale Tabora inaitwa Ulyankulu , eneo karibia lote wamejaa warundi. Wengi wamezaliwa hapo wamekulia hapo. Mpaka Sasa wamekuwa watanzania, lakini asili yao ni Burundi.
 
Warudi tu kwao wanatusumbua ma ueukaji na nyungo kuna muha kapaa na kibuyu mda mfupi uliopita
 
Back
Top Bottom