Waha acheni uchawi. Muuza sambusa kafungua duka la vifaa vya pikipiki vya jumla

Waha acheni uchawi. Muuza sambusa kafungua duka la vifaa vya pikipiki vya jumla

Mie ninachoamini mtu had anatoboa kapambana na nikiona mtu katoboa namuheshimu sana mana pesa haiji kizembe...

Hata ka karoga kuroga sio kazi rahisi ka kuroga rahis nawe karoge...

Pesa inatafutwa kwa jasho wazee iwe kihalali au sio kihalali mtu akitoboa chukulia kama motisha kwako sio kutia majungu...
 
Na wewe kuwa mchawu ufungue kampuni ya kuchimba mafuta.


MTU huwa vile afikiriavyo. Wewe ndio mchawi Kwa fikra zako.
 
Itakuwa kuna mtu kwao kafariki kisha akarithi mali..
Fanya uchunguzi kwanza mkuu,ongea nae akupe minutes kabla hujapigilia msumari kwamba ni uchawi.
 
Nakubali biashara ni hatua, ila hatua alizopiga huyu muha ni uchawi kabisa. Alikuwa akitembeza sambusa.

Ukihesabu kwenye ile pot yake ni kama sambusa 50-100 kwa siku. Hapo hupata 25k-50k kwa siku, ukiondoa gharama za kuandaa, muda na chakula, lets say kwa siku anapata faida ya 10-20k. Kuumwa na matatizo mengine pia lazima tuyahesabu.

Duka la kawaida la vifaa vya pikipiki ni atound 5ml -10ml. Duka la jumla mtaji wake si chini ya milioni 25.

Sasa kutoka kwenye kutembeza sambusa mpaka kufungua duka la milioni zaidi ya 25 ghafla inawezekana vipi kama si uchawi? Acheni uchawi.

Angepitia hatua kadhaa mpaka kumiliki duka kubwa kiasi hichi sawa, sasa huyu dogo kapotea kuuliza yuko wapi naambiwa yuko Ilala kafungua duka la jumla la vifaa vya pikipiki.

Ikumbukwe kodi ya fremu Ilala lazima uandae kama milioni 5 hivi wakati wa kuanza biashara.
Maisha ni good connection tu ukiipata tu tayari umeyatoa!!
 
Ila ungesikia anagongwa ungefurahia kusikia kafungua Duka la Jumla unakonda.
 
20230403_150739.jpg
IMG-20220725-WA0016.jpg
IMG-20220725-WA0016.jpg
 
Nakubali biashara ni hatua, ila hatua alizopiga huyu muha ni uchawi kabisa. Alikuwa akitembeza sambusa.

Ukihesabu kwenye ile pot yake ni kama sambusa 50-100 kwa siku. Hapo hupata 25k-50k kwa siku, ukiondoa gharama za kuandaa, muda na chakula, lets say kwa siku anapata faida ya 10-20k. Kuumwa na matatizo mengine pia lazima tuyahesabu.

Duka la kawaida la vifaa vya pikipiki ni atound 5ml -10ml. Duka la jumla mtaji wake si chini ya milioni 25.

Sasa kutoka kwenye kutembeza sambusa mpaka kufungua duka la milioni zaidi ya 25 ghafla inawezekana vipi kama si uchawi? Acheni uchawi.

Angepitia hatua kadhaa mpaka kumiliki duka kubwa kiasi hichi sawa, sasa huyu dogo kapotea kuuliza yuko wapi naambiwa yuko Ilala kafungua duka la jumla la vifaa vya pikipiki.

Ikumbukwe kodi ya fremu Ilala lazima uandae kama milioni 5 hivi wakati wa kuanza biashara.
Cha kufanya hapo ni hiki, ukiwa na uhitaji wa vifaa vya pikipiki just nenda ukanunue kwake.
 
Nakubali biashara ni hatua, ila hatua alizopiga huyu muha ni uchawi kabisa. Alikuwa akitembeza sambusa.

Ukihesabu kwenye ile pot yake ni kama sambusa 50-100 kwa siku. Hapo hupata 25k-50k kwa siku, ukiondoa gharama za kuandaa, muda na chakula, lets say kwa siku anapata faida ya 10-20k. Kuumwa na matatizo mengine pia lazima tuyahesabu.

Duka la kawaida la vifaa vya pikipiki ni atound 5ml -10ml. Duka la jumla mtaji wake si chini ya milioni 25.

Sasa kutoka kwenye kutembeza sambusa mpaka kufungua duka la milioni zaidi ya 25 ghafla inawezekana vipi kama si uchawi? Acheni uchawi.

Angepitia hatua kadhaa mpaka kumiliki duka kubwa kiasi hichi sawa, sasa huyu dogo kapotea kuuliza yuko wapi naambiwa yuko Ilala kafungua duka la jumla la vifaa vya pikipiki.

Ikumbukwe kodi ya fremu Ilala lazima uandae kama milioni 5 hivi wakati wa kuanza biashara.
Utafuta wa waha makabila mengi haya wezi muha anaweza kujichimbia sehemu kwenye utafutaji miaka mtano na kuzima simu hataishi bila kumpigia simu mkewe wala wazazi wake

Aishi na kuvaa vilaka kula mala 1 kwa kutwa kila siku ataakikisha anaweka sh 5000 kwa mwezi 150000 kwa mwaka 1800000 kwa miaka mitano milioni 9 akifungua duka la mchele mbaghara tunasema wachawi,mbona makabila yote yanaloga tu
 
Kuna jamaa mmoja alikua fundi baiskeli konk maeneo ya msasani, Laki ni ghafla akapotea kwenye ofisin ya ufundi baiskeli,juzi namkuta kwenye mduka mkubwa wa vifaa vya ujenzi nikashangaa,kuliza naambiwa sio moja Hilo duka yapo mengine nikachoka kabisa
 
Hivi Kuna uchawi kabisa wa kumletea mtu hela? Kwamba umelala zako huna hata thumni. Unaamka asubuhi unakuta mihela kabatini au mezani zimeletwa kiuchawi!?
Uwezo wa akili ya mtu mvivu unapoishia ndipo uchawi unapoanzia. Uwezo wa akili ya mtu intelligent unapoishia ndipo sayansi inapoanzia.
 
Nakubali biashara ni hatua, ila hatua alizopiga huyu muha ni uchawi kabisa. Alikuwa akitembeza sambusa.

Ukihesabu kwenye ile pot yake ni kama sambusa 50-100 kwa siku. Hapo hupata 25k-50k kwa siku, ukiondoa gharama za kuandaa, muda na chakula, lets say kwa siku anapata faida ya 10-20k. Kuumwa na matatizo mengine pia lazima tuyahesabu.

Duka la kawaida la vifaa vya pikipiki ni atound 5ml -10ml. Duka la jumla mtaji wake si chini ya milioni 25.

Sasa kutoka kwenye kutembeza sambusa mpaka kufungua duka la milioni zaidi ya 25 ghafla inawezekana vipi kama si uchawi? Acheni uchawi.

Angepitia hatua kadhaa mpaka kumiliki duka kubwa kiasi hichi sawa, sasa huyu dogo kapotea kuuliza yuko wapi naambiwa yuko Ilala kafungua duka la jumla la vifaa vya pikipiki.

Ikumbukwe kodi ya fremu Ilala lazima uandae kama milioni 5 hivi wakati wa kuanza biashara.
Waha na uchawi ndugu. Muha akijuwa jirani yake anakunya mara 3 kwa siku anakasirika na kumroga ili awe anakunya yeye.
 
Back
Top Bottom