Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa wanatumia wahuni kutimiza malengo yao ya kisiasani agizo la serikali..?? na pia hawawahitaji wale ambao wapo kinyume na taratibu
Vurugu za wahuni wanakagua passport kujua kama ni illegal au la?Wamesema "Illegal FOREIGNERS"
Hapo Ni kukaa na passport tuVurugu za wahuni wanakagua passport kujua kama ni illegal au la?
Vinginevyo, warudi nyumbani tuuze malonya Kariakoo[emoji23][emoji419][emoji375]Wito tayari umetolewa huko Bondeni kuwa wageni hawatakiwi baada ya tarehe 01.06.2023. Waambieni ndugu zetu huko wachukue tahadhari kabla ya hatari. Vinginevyo, warudi nyumbani tuuze malonya Kariakoo
View attachment 2631159
Nao wamezidi kung'ang'ania nchi ya watu.
Watarudishwa kwenye mifuko ya salfeti.
kama ni illegal sawa ila wanawajuaje kama hawa ni legal na wengine ni illegal.nafahamu wasauzi ni wazuri sana kujichukulia sheria mikoni mwao.Wamesema "Illegal FOREIGNERS"
kama nyinyi ma foreigner ni wachapakazi sana kwa nini msibaki kwenu muijenge nchi yenu kwa uchapakazi ???? South pamejaa, ondokeni rudini ma kwenu... Sipendi WaTZ waijaze SAfrika kama ambavyo sipendi Wasomali waijaze TZkwa kweli wasauzi hawawapendi kabisa waafrika wenzao na sijui hao wenzao walioko ughaibuni nao wafukuzwe?wazulu ni watu makatili sana wao ni wavivu lkn wachapakazi wanapoenda kwao wao inawauma.
tangu lini South africa walikagua kujua kuwa huyu ni legal au illegal.....ni agizo la serikali..?? na pia hawawahitaji wale ambao wapo kinyume na taratibu