Pre GE2025 Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenye uchungu na maisha Yako duni ni nani?

Kabla ya malalamiko Yako ya kichovu na Hadithi zako zisizo na maana kuhusu Rasilimali unazodia,zimekusaiaje na zimekuondolea umaskini kiasi gani?

Na Je saizi umeongezeka umaskini au umepunguziwa?
 
2025 kazini kuna kazi pigeni vya mwisho mwisho wajemeni
 
Maneno Yako meengi hayasiadiii wanavujiji kuondokana na umaskini ila hao hao unowaita Waarabu wake ndio wanakuletea pesa.
Huu ndio upumbavu ninao usema hapa kila mara. Unasubiri "uletewe pesa"?
Hao waliojenga hilo Bwawa, huoni kuwa ni pesa zetu hizo; au huna uwezo wa kutofautisha na haya matakataka anayoleta 'Chura'? Kama Bandari na mengineyo!
 
Huu ndio upumbavu ninao usema hapa kila mara. Unasubiri "uletewe pesa"?
Hao waliojenga hilo Bwawa, huoni kuwa ni pesa zetu hizo; au huna uwezo wa kutofautisha na haya matakataka anayoleta 'Chura'? Kama Bandari na mengineyo!
Pesa zenu mlizitoa wapi zaidi ya kujengwa na kukopeshwa? Kwa nini hamkufanya wenyewe?

Hicho hicho ndio muendelezo wake Sasa hivi wa kuwasaidia japo kufanya biashara ya carbon nyie hakuna mnachojua zaidi ya kupepesa mdomo Kwa malalamiko.

Hiyo hapo Mwendokasi Kuna kipi Cha maana mnafanya? Subiria Mwarabau aje awafundishe biashara,kwani wewe hujui kwamba Mataji wa Nchi hii ni Waarabu?
 
Watu na Samia wao , wengine wanamwaga povu 😂😂

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1814581100829720659?t=wr8ssxzD0tuu6QyC20fzjg&s=19
 
Mtasema mpaka mjambe!!! SAMIA SULUHU HASSAN NI MALIKIA WA NCHI
 
Mwenye uchungu na maisha Yako duni ni nani?

Kabla ya malalamiko Yako ya kichovu na Hadithi zako zisizo na maana kuhusu Rasilimali unazodia,zimekusaiaje na zimekuondolea umaskini kiasi gani?

Na Je saizi umeongezeka umaskini au umepunguziwa?
Unajua maana ya "umaskini" wewe?
Kuna umaskini zaidi ya kupelekwa utumwani tena? Ila safari hii mtatambua kuwa sisi siyo maskini tena wa namna hiyo.

"Mwenye uchungu na maisha yako duni ni nani?" Hili nalo ni swali unalotaka lijibiwe, kwamba hujui? Ndiyo maana watu wa aina yenu hamtakiwi kuwa karibu na uongozi wa nchi hii.
 
mbona anayo tayari, zile za jeshi zote anaweza kuzitumia apendavyo, yeye si amiri jeshi mkuu?
 
Utumwa upi unaopelekwa wewe? Bila Mwarabau kumpa Mafuta Nyerere Tanzania si inge collapse na kutishia kuwa ya kitumwa tena?

Narudia kuuliza ,nani mwenye uchungu na maisha Yako duni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…