Pre GE2025 Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii ni nchi ya wapumbavu, as imejaa upumbavu wa kiwango kikubwa sana.. hao ni wahandisi, ngoja maticha waje, then madokta watamalizia huku wanasheria wakijiandaa kupindisha matokeo hulo tume huru!!
Pole ndugu yangu unaongea kwa uchunguz mno lkn binaadamu hatuwez kufanana akili na maamuzi
 
Hii Kali....
 
Kazi kweli kweli....
 
Usidanganyike. Hao hawana uwezo wa kufanya hivyo.
Wanatumiwa tu kama njia ya kupitishia pesa toka kwa wafadhili; kama waarabu kuziingiza hapa kutununulia serikali mwakani.
Una hoja mkuu.....Kuna namna hapa..
 
Shule hazina matundu ya vyoo, nyie wakanda mkajende vyoo watoto wakanyee sehemu safi,; hivo ndiyo kumuunga mkono Rais. Hata bila nyie Mama SSH atashinda kuwa RAIS.
 
Wanatoa rushwa. Kwanza wana uhakika gani samia ndio atakua mgombea wa ccm. Ni uchawa tu unafanywa.
 
Hela za waarabu wameamua kuzitakatisha kwa staili hii
 
Hawa Waandisi si ndio wanagawiwa pesa zetu kisiasa kwa mgongo wa Miundo mbinu, Unakuta kibanda cha mlinzi milioni 30, Choo milioni 60, Barabara ya rami Bilioni kadhaa afu mwezi tu imetoboka yote.

Sishangai wanarudisha sadaka ya Shukran kwa Mama Abdul kwa kuwafungulia malango ya upigaji.
 
Huu Ni ujambqzi wa ccm
 
Wahuni hawa hawana identity

Associations zina majina

Wakandarasi association yao inaitwa -CATA

Architects association yao inaitwa -
-AAT

Quantity surveyors association inaitwa TIQS

Engineers association yao inaitwa ASET

Hawa wahuni wanatoka association Gani?
 
Magu aliporomoka kwenye helicopter siku moja hakupanda tena mpaka umauti wake
Ubaya Ubwela
 
Kumbe wewe ndio mtekaji? 😂😂
Unajichekesha na nini hapa, wakati mambo mnayowafanyia waTanzania ni ya kishenzi. Wakitokea watu wa kuwateka vikaragosi kama nyinyi nisinge jihangaisha kabisa, kwa sababu nyinyi sasa ndio maadui wakubwa wa nchi hii.
 
Ila wangesema watainunulia ufipa, hapa ungesema kale kamsemo kenu, eti wamejitambua. Kaeni kimya wakandarasi nao wanauhuru wa kuwa kuchangia watakapoo. Hiii ndio demokrasia ya uhuru wa utashi.
 
Kipi kinachokuhusu?
Hukijui kinacho nihusu?
Wewe unadhani nami nipo hapa kuwapigania wajomba warudi kuwaweka waTanzania utumwani tena?
Akili yako haifanyi kazi sawasawa, ndiyo maana unakuja hapa na kujaza takataka humu jukwaani, ukifikiri watu hawaoni upumbavu uliomo ndani ya maandishi yako.
 
Hii ni nchi ya wapumbavu, as imejaa upumbavu wa kiwango kikubwa sana.. hao ni wahandisi, ngoja maticha waje, then madokta watamalizia huku wanasheria wakijiandaa kupindisha matokeo hulo tume huru!!
Kazi kweikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…