Acha stori za kufikirika zisizo na msingiHukijui kinacho nihusu?
Wewe unadhani nami nipo hapa kuwapigania wajomba warudi kuwaweka waTanzania utumwani tena?
Akili yako haifanyi kazi sawasawa, ndiyo maana unakuja hapa na kujaza takataka humu jukwaani, ukifikiri watu hawaoni upumbavu uliomo ndani ya maandishi yako.
Rushwa 100%Hiyo sio Rushwa kweli?🤔
Kama mambo gani?Unajichekesha na nini hapa, wakati mambo mnayowafanyia waTanzania ni ya kishenzi. Wakitokea watu wa kuwateka vikaragosi kama nyinyi nisinge jihangaisha kabisa, kwa sababu nyinyi sasa ndio maadui wakubwa wa nchi hii.
Wewe ziite 'stori', lakini elewa wazi kwamba 'Chura Kiziwi', na genge lenu lote, hamlitakii taifa letu neema hata mara moja. Hili tunalikataa.Acha stori za kufikirika zisizo na msingi
Mkuu hamna hela yoyote imetolewa, hilo ni tukio la hadaa ili kuonyesha rais anakubalika sana. Na kama ni kweli wametoa hiyo hela ujue kumefanyika vitisho vya kutosha ili wakandarasi watoe hiyo hela, kwa matarajio kuwa watapewa upendeleo wa tender huko mbeleni.Hiyo sio Rushwa kweli?🤔
Tunatia aibu.Tunatia huruma
Uko sahihi kabisa, hilo ni jambo la kupanga ili kutakatisha pesa chafu za kuuza nchi. Na lengo la hilo igizo ni ili kuhadaa umma kuwa rais anakubalika na makundi yote. Ni so outdated strategies.Usidanganyike. Hao hawana uwezo wa kufanya hivyo.
Wanatumiwa tu kama njia ya kupitishia pesa toka kwa wafadhili; kama waarabu kuziingiza hapa kutununulia serikali mwakani.
Kwa bahati mbaya sana ni wewe na mimi, na wachache wetu watakaloliona igizo la namna hii na kutambua lengo lake mahsusi. Matukio ya namna hii yanawazoa watu wengi sana akili katika jamii yetu hii. Na hawa watu wanatambua hivyo ndiyo maana matukio ya aina hii yatakuwepo mengi sana kuelekea 2025.umma kuwa rais anakubalika na makundi yote. Ni so outdated strategies.
Wahandisi wa mchongo wa CCMView attachment 3047664
Kuna kundi au chama au muungano wa wajenzi wameingia siasa ghafla bin vuu!
Hili kundi sijui ni chama gani cha wajenzi, wabunifu majenzi au mainjinia kiko nyuma yao.
Wadau hebu tushirikiane, ni nani hawa waliochangia chopa ya mama kwa Tshs milioni 100?
Kila taasis wanajikomba kwa rais, kutukuza kujikomba and anything else you name itView attachment 3047664
Kuna kundi au chama au muungano wa wajenzi wameingia siasa ghafla bin vuu!
Hili kundi sijui ni chama gani cha wajenzi, wabunifu majenzi au mainjinia kiko nyuma yao.
Wadau hebu tushirikiane, ni nani hawa waliochangia chopa ya mama kwa Tshs milioni 100?
Sijui wameunganishwa na mtandao upi!Wahandisi wa mchongo wa CCM
Hawajachanga hata mia. Wamepewa hela na mhusika wakanunue halafu ionekane wamemzawadia.View attachment 3047664
Kuna kundi au chama au muungano wa wajenzi wameingia siasa ghafla bin vuu!
Hili kundi sijui ni chama gani cha wajenzi, wabunifu majenzi au mainjinia kiko nyuma yao.
Wadau hebu tushirikiane, ni nani hawa waliochangia chopa ya mama kwa Tshs milioni 100?
Wakwepa kodi hao wanajipendekeza wapate kandarasi serikalini.Wahandisi wa mchongo wa CCM