Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Ilikua kama ishu ya smelta kuwa haiwezekani tatizo la umeme na waimba pambio wakashikia bangoYaani utege bwawa halafu upunguze uwepo wa maji?!Zilikuwa swaga za ki-IPTL ili tuendelee kukamuliwa kwenye umeme wa mafuta mazito toka DOWANS and the likes!Wakati ule hata ripoti za wataalamu zilikuwa zinachakachuliwa kirahisi mno! Kwa sasa asilimia kubwa maji yanaishia baharini badala ya kunufaisha wakulima