na kuna pa mdomo guinea ipo uwingerezaUjuaji tu!
Guinea 🇬🇳 jina lake lipo hivyo-hivyo na Conakry ni mji mkuu. Pia, kuna Guinea-Bissau na Equatorial Guinea kwa Africa na Papua New Guinea kwa Oceania.
ziko 3 na equatoria guineaWahariri Tv zetu hebu wastueni watangaza mpira kati ya Guinea na Equatorial Guinea kombe la AFCON .Guinea ziko mbili Guinea Bissau na Guinea conakry geography wako zero
Timu inayocheza Leo na Equatorial Guinea ni Guinea Conakry watangaze hivyo sio tu kusema tu Guinea
Hebu wahini kusahihisha hilo
Hata wewe ni kilaza vile vile
Kuna guinea 3 Africa na moja IPO Asia
Equitorial guinea
Guinea Conakry
Guinea Bissau
Haya yote ni mataifa matatu tofauti na yapo Africa
Nyingine ni new Papua Guinea hiyo IPO Asia na Kuna black people vile vile
Ww ndo upo sahihi huyo mtoa mada nae kakosea. Hlf hz timu zote mwaka huu zimeshiriki afconNchi ziko tatu
1. Guinea
2. Guinea-Bissau
3. Equitorial Guinea
Guinea ya kwanza, inatamkwa hivyo hivyo kama Guinea bila kuongeza neno lolote
Ukiweza waambie Mods waffute huu uongo. Hakuna nchi duniani inaitwa Guinea Conakry. Hiyo ni Sawa na kusema kuna nchi inaitwa Kenya Nairobi. Conakry ni Mji Mkuu wa nchi inayoitwa Guinea.Wahariri Tv zetu hebu wastueni watangaza mpira kati ya Guinea na Equatorial Guinea kombe la AFCON .Guinea ziko mbili Guinea Bissau na Guinea conakry geography wako zero.
Timu inayocheza Leo na Equatorial Guinea ni Guinea Conakry watangaze hivyo sio tu kusema tu Guinea.
Hebu wahini kusahihisha hilo.
Hakuna nchi inayoitwa Guinea Conakry. Inaitwa Guinea.Wahariri Tv zetu hebu wastueni watangaza mpira kati ya Guinea na Equatorial Guinea kombe la AFCON .Guinea ziko mbili Guinea Bissau na Guinea conakry geography wako zero.
Timu inayocheza Leo na Equatorial Guinea ni Guinea Conakry watangaze hivyo sio tu kusema tu Guinea.
Hebu wahini kusahihisha hilo.
nilikuwa nasubiria comment yako mkuu nifunge madaUjuaji tu!
Guinea 🇬🇳 jina lake lipo hivyo-hivyo na Conakry ni mji mkuu. Pia, kuna Guinea-Bissau na Equatorial Guinea kwa Africa na Papua New Guinea kwa Oceania.
Faza na wewe ni kilaza ni PNG PAPUA NEW GUINEAHata wewe ni kilaza vile vile
Kuna guinea 3 Africa na moja IPO Asia
Equitorial guinea
Guinea Conakry
Guinea Bissau
Haya yote ni mataifa matatu tofauti na yapo Africa
Nyingine ni new Papua Guinea hiyo IPO Asia na Kuna black people vile vile
TBC fm ndiyo usiseme watangazaji muda mwingi wanaongea yakwao badala ya kutangaza mpiraWahariri Tv zetu hebu wastueni watangaza mpira kati ya Guinea na Equatorial Guinea kombe la AFCON .Guinea ziko mbili Guinea Bissau na Guinea conakry geography wako zero.
Timu inayocheza Leo na Equatorial Guinea ni Guinea Conakry watangaze hivyo sio tu kusema tu Guinea.
Hebu wahini kusahihisha hilo.
Hujasoma uandishi wa habari wewe .Mwandishi sio kasuku anapayuka tu Kuna kufanya analysis mfano Guinea ziko nyingi msikilizaji hutakiwi kumchukulia kama mtaalamu mbobezi wa jiografia anatakiwa aeleze Guinea ipi inacheza kusaidia hata mbumbumbu aliyefeli la saba kuelewa huo mpira anaotangaza anatangaza kwenye mass .Na mass communication Ina principle zake kuwa inatakiwa majority mass waelewe sio wasomi tu hicho unatangaza unageuka mtangazaji na mwalimu piaUkiweza waambie Mods waffute huu uongo. Hakuna nchi duniani inaitwa Guinea Conakry. Hiyo ni Sawa na kusema kuna nchi inaitwa Kenya Nairobi. Conakry ni Mji Mkuu wa nchi inayoitwa Guinea.
Vyombo vingi vya habari vina shida Hadi wapiga kamera unakuta mtu anatangaza taarifa ya habari ya mafuriko kamera badala ya kuonyesha mafuriko inamlenga tu mtangazaji wakati mtangazaji alitakiwa asikike tu audio picha za mafuriko ndizo zitawaleTBC fm ndiyo usiseme watangazaji muda mwingi wanaongea yakwao badala ya kutangaza mpira